Hivi hii Tabia ya wanawake (wake zetu) kuacha simu ovyo ni ya wanawake wote ama mimi tu?

Hivi hii Tabia ya wanawake (wake zetu) kuacha simu ovyo ni ya wanawake wote ama mimi tu?

Huu ugonjwa nahisi kwao hauna tiba. Yaani nilijua ni mimi tu huku.

Mpaka unabaki kumuuliza hiyo ni simu ya mezani ama?
Hata mimi nilijua kuwa ni mimi tu ndo ana shida hiyo. Sasa huku kazini wengine hawarusiwi kuingia na simu ni baadhi ndo tunarusiwa sasa akikuomba apige simu kwakwe una mpa atapiga mara utamsikia ana lalamika kwa hasira simu haijapokelewa.Shida sana mkuu
 
Wakuu sio mara moja au mbili ni mara kadhaa hasa ukipiga simu haipokelewi kwa wakati.

Ukija kuuliza unaambiwa simu ilikuwa mbali,ilikuwa ndani mimi nilikuwa naosha vyombo/nafua.

Visingizio hivi ni vya miaka na miaka haijawahi kubadirika kitu.

Kuna muda itakupasa upige simu kwa jirani maana yake umepiga zaidi ya mara5 haipokelewi.Na kwa sababu una shida unaamua kumtumia jirani yako walau ampelekee au amwambie apokee simu na kweli anakutafuta.

Si hivyo tu unaweza ukawa home ghafla anakwambia Baba p naomba uipigie simu yangu siioni sijui nimeweka wapi!!

Ukija kuipigia utakuta imewekwa kwenye manguo machafu au popote pale.

Mwanzo nilijua ni makusudi Nika mnyang'anya simu kubwa na kumpa kiswaswadu mambo yakawa Yale Yale.

Tena ukiwapo nyumbani inaweza achwa kitandani kutwa nzima Hana habari akipigiwa wewe ndo unamwabia ijia simu yako unapigiwa akimaliza kuongea anaicha sebreni. Ukimuuliza nini mana ya kuwa na simu Sasa........? Pona yako simu kupokelewa basi ukute anacheza game au yupo mtandaoni YouTube huko.

Hii changamoto mara nyingi nilijua mimi tu. Nikiwa kazini wengi huwa wanakuja kupiga simu nyumbani kwao kwa kutumia simu yangu.

Ukimpa simu anapo kurudishia utasikia analalamika huyu mwanamke sijui anashida gani yaani anapokeaga simu akijisikia yeye..ukija muuliza bona hukupokea simu yangu anaeleza sababu za kipuuzi tu.

Mdau wewe unadiri vipi na changamoto hii?View attachment 3245584
Mleta uzi wewe ni msukuma? Samahani lakini.
 
ukiona hivyo tambua ya kwamba hana mambo mengi , mwanamke ambaye kila simu ikipigwa anapokea haraka haraka alafu hataki simu yake mtu mngine ashike mara nyingi anakuwa ni kicheche na mara nyingi wanawake wa design hiyo wanakuwa sio watu wakijipodoa sana, kiana flani wanakuwa rafu rafu flani hivi kipa umbele chao ni kuangalia mambo yanayoleta ustawi katika familia lakini ukiona mwanamke kila ukipiga simu anapokea haraka haraka alafu anakuwa mtu wakijipodoa podoa,anatumia tumia baadhi ya kimikali ili avutie na kunukia alafu ni mwanamke wa nyumbani, hiyo ni dalili kwamba huyo ni mdangaji .
 
ukiona hivyo tambua ya kwamba hana mambo mengi , mwanamke ambaye kila simu ikipigwa anapokea haraka haraka alafu hataki simu yake mtu mngine ashike mara nyingi anakuwa ni kicheche na mara nyingi wanawake wa design hiyo wanakuwa sio watu wakijipodoa sana, kiana flani wanakuwa rafu rafu flani hivi kipa umbele chao ni kuangalia mambo yanayoleta ustawi katika familia lakini ukiona mwanamke kila ukipiga simu anapokea haraka haraka alafu anakuwa mtu wakijipodoa podoa,anatumia tumia baadhi ya kimikali ili avutie na kunukia alafu ni mwanamke wa nyumbani, hiyo ni dalili kwamba huyo ni mdangaji .
Sikupingi mkuu
 
Wakuu sio mara moja au mbili ni mara kadhaa hasa ukipiga simu haipokelewi kwa wakati.

Ukija kuuliza unaambiwa simu ilikuwa mbali,ilikuwa ndani mimi nilikuwa naosha vyombo/nafua.

Visingizio hivi ni vya miaka na miaka haijawahi kubadirika kitu.

Kuna muda itakupasa upige simu kwa jirani maana yake umepiga zaidi ya mara5 haipokelewi.Na kwa sababu una shida unaamua kumtumia jirani yako walau ampelekee au amwambie apokee simu na kweli anakutafuta.

Si hivyo tu unaweza ukawa home ghafla anakwambia Baba p naomba uipigie simu yangu siioni sijui nimeweka wapi!!

Ukija kuipigia utakuta imewekwa kwenye manguo machafu au popote pale.

Mwanzo nilijua ni makusudi Nika mnyang'anya simu kubwa na kumpa kiswaswadu mambo yakawa Yale Yale.

Tena ukiwapo nyumbani inaweza achwa kitandani kutwa nzima Hana habari akipigiwa wewe ndo unamwabia ijia simu yako unapigiwa akimaliza kuongea anaicha sebreni. Ukimuuliza nini mana ya kuwa na simu Sasa........? Pona yako simu kupokelewa basi ukute anacheza game au yupo mtandaoni YouTube huko.

Hii changamoto mara nyingi nilijua mimi tu. Nikiwa kazini wengi huwa wanakuja kupiga simu nyumbani kwao kwa kutumia simu yangu.

Ukimpa simu anapo kurudishia utasikia analalamika huyu mwanamke sijui anashida gani yaani anapokeaga simu akijisikia yeye..ukija muuliza bona hukupokea simu yangu anaeleza sababu za kipuuzi tu.

Mdau wewe unadiri vipi na changamoto hii?View attachment 3245584
bro hiyo ni dunia nzima wanawake ndo walivyo, wanakera sana
 
Siku nikipata mwanamke wa namna hiyo, nikajihakikishia kabisa beyond reasonable doubt kwamba yupo hivyo naturally, nitasaliti kambi kataa ndoa mapema asubuhi hadi yanikute ndo narudi tena
Mkuu kuna vitu vya muhimu unataka uwasiliane na mkeo muda huo na unapiga simu haipokelewi
hujui huwa wanakera sana
 
Back
Top Bottom