Mwanamke asiepokea simu kwa wakati ni mwepesi sana ku deal nae.
Asubuhi ukiwa unatoka, tafuta sababu yoyote ile usimuachie hela ya matumizi, mwambie hata kuna mtu atakupigia simu akuletee, au unaeza kumwambia nitakupigia baadae nikuelekeze sehemu ukachukue.
Ikifika mida mpigie, piga mara moja tu, asipopokea usipige tena, sasa yeye ukifika muda wa uhitaji wake ataanza kukupigia, akipiga usipokee.
Kama anajuana na watu wengine ofisini kwako atawapigia, akipiga mjibu easy tu kama anavyokujibu yeye, nilisahau simu kwenye draw ofisini.
Kama hana contact za ofisini kwako, mkaushie mpaka kama saa kumi jioni hivi.
Hapa kama hujaacha hela ya kula utakua umemnyoosha vizuri, usihofu kuhusu watu wengine kwenye familia kushinda njaa, kwenye kuitaka heshima nyumbani kwako lazima waumie wanaohusika na wasiohusika.
Saa kumi flani ndio unampigia, unamwambia simu uliisahau kwenye kabati la ofisini.
Ukimchezea michezo hii mara tatu mara nne fulani, ataanza kukaa karibu na simu, maana ukimuahidi chochote, mida ikifika ni simu moja tu, asipopokea wewe ni mikausho.
Kuna time itafika, hata ukibeep kidogo mwenyewe anapiga fastaaaa.
Jifunze kutumia power uliyokua nayo kurahisisha mambo madogo kama hayo