didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Unaminyiwa mzee na ninakuhakikishia kabla hata ya kufa mke wako ataolewa kwingne
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu kweli eti 😀hapana sio wote! ni wale wanawake waliostaarabika na kuheshimu ndoa zao!
Hawa wengine mkia wa ngiri juu wenye michepuko kibao simu ipo mkononi 24/7 na akilala inawekwa chini ya mto.. Passiword kila kona..ana mpaka dating apps hatari sana
Sahihi mkuu kuna muda huwa natumia simu yake hata siku 2 akipigiwa ndo nampa na sijawahi ona shida.Changamoto ni hiyo moja wewe una shida hapo nyumbani na simu haipokelewi aisee unakereka hadi basiMkuu, ukiona mkeo anapokea simu haraka jua unagongewa,manake atataka kila mala awe na simu mkononi,ili hata huyo hawala yake akimtafta bahati mbaya wewe upo amuwahi kumtuliza kuwa "jamaa yupo" huyo wewe uliyenae anakuonesha indicator kuwa yeye hachepuki na unaweza kushka simu yake wakati na muda wowote kumkagua! Asanaleki,akibadilika utamjua.
Mwanzani nilikuwa nataka hadi kumpiga kwa hasira maana leo umesema wee baada ya siku moja anauria lakini nikwambie mbinu zote hadi kumnyang'anya simu nimewahi lakini wapi.Ina kera basi tuMajukumu mkuu yqnamweka busy hakumbuki mambo ya simu tena unatakiwa ushukuru Mungu hana mambo mengi huyo ila inaonekana hujamweka chini seriously na kumweleza kwamba hii changamoto inakukwaza sana naamini akiona userious wako atabadilika
Mkuu ulikuwa unatikisa kiberit au unatafuta kiki kwa pikpikiHiyo tabia mimi nimeshtaki mpaka kwa babamkwe lakini badotu.
Unapewa majibu marahisi sana wakati upo serious.
Sasa nikaomba anitumie namba ya mdadawakazi iliniwe nampata wakati simuyake ipokitandani, ugomviu wikinzima.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Ndo maana "Kataa ndoa wanashinda"Alafu kweli eti 😀
Mama simu kaibwa mno kisimani hadi tulichoka kununua.Kuna simu tulimpa saa5 asubuhi mpya hadi saa11 jioni imeibwa kwa kuisahau kisimani ilibdi tucheke tu na kumuacha kwanza bila simu kwa mudaMimi sijaoa ila nimeshauza simu za mama yangu kibao huko nyuma nilipokuwa jobless
Kwanini mkuu.Mkuu ulikuwa unatikisa kiberit au unatafuta kiki kwa pikpiki
Huu ugonjwa nahisi kwao hauna tiba. Yaani nilijua ni mimi tu huku.Wakuu sio mara moja au mbili ni mara kadhaa hasa ukipiga simu haipokelewi kwa wakati.
Ukija kuuliza unaambiwa simu ilikuwa mbali,ilikuwa ndani mimi nilikuwa naosha vyombo/nafua.
Visingizio hivi ni vya miaka na miaka haijawahi kubadirika kitu.
Kuna muda itakupasa upige simu kwa jirani maana yake umepiga zaidi ya mara5 haipokelewi.Na kwa sababu una shida unaamua kumtumia jirani yako walau ampelekee au amwambie apokee simu na kweli anakutafuta.
Si hivyo tu unaweza ukawa home ghafla anakwambia Baba p naomba uipigie simu yangu siioni sijui nimeweka wapi!!
Ukija kuipigia utakuta imewekwa kwenye manguo machafu au popote pale.
Mwanzo nilijua ni makusudi Nika mnyang'anya simu kubwa na kumpa kiswaswadu mambo yakawa Yale Yale.
Tena ukiwapo nyumbani inaweza achwa kitandani kutwa nzima Hana habari akipigiwa wewe ndo unamwabia ijia simu yako unapigiwa akimaliza kuongea anaicha sebreni. Ukimuuliza nini mana ya kuwa na simu Sasa........? Pona yako simu kupokelewa basi ukute anacheza game au yupo mtandaoni YouTube huko.
Hii changamoto mara nyingi nilijua mimi tu. Nikiwa kazini wengi huwa wanakuja kupiga simu nyumbani kwao kwa kutumia simu yangu.
Ukimpa simu anapo kurudishia utasikia analalamika huyu mwanamke sijui anashida gani yaani anapokeaga simu akijisikia yeye..ukija muuliza bona hukupokea simu yangu anaeleza sababu za kipuuzi tu.
Mdau wewe unadiri vipi na changamoto hii?View attachment 3245584
Mkuu wewe uliyekuwa tupe mwongozo basi yatoshaTatizo la wanaume wengi hawaijui saikolojia ya wanawake ndio maana kila jambo ni kulalamika tu juu ya wanawake kuna mambo ni aibu kuyaandika kwa wanaume wenzio, jitahidi ukue mkuu.
Mkuu ulichosema nikweli mimi simu yangu akiishika basi anaingia youtube huko maana yangu bando ni nadra kuishiwaMimi nilipokuwa na michepuko nilikuwa natumia akili nyingi kwa ajili ya kuficha simu na kufuta msg haraka sana.
Baadaye nikagundua najipa kazi ya bure maana mke wangu hata simu yake yenyewe hana mpango nayo.
Sasa mwanamke wa namna hiyo hiyo unapata wapi uhalali wa kumuita mke wako!!hapana sio wote! ni wale wanawake waliostaarabika na kuheshimu ndoa zao!
Hawa wengine mkia wa ngiri juu wenye michepuko kibao simu ipo mkononi 24/7 na akilala inawekwa chini ya mto.. Passiword kila kona..ana mpaka dating apps hatari sana
Huyu ni mimi, mimi ni huyu.
Nyumbani kwetu tumesolve hili tatizo na simu ya mezani, inakaa sebuleni na ina kelele sana lazima uisikie.
View attachment 3245602
wanawake wengine wana tabia ya kubadilika kadri muda unavoenda unakuta anaanza ku adapt tabia za kuficha simu e.t.c lazima kuna situation kama hiyo kwenye mahusiano.Sasa mwanamke wa namna hiyo hiyo unapata wapi uhalali wa kumuita mke wako!!
Kuna uzi humu mwanamke na mme wake walikutana kwenye group la wasap la dating nikiupata nitauweka hapa
Mkuu mimi huwa napiga mara2 au mara moja then napiga kwa jirani yangu wanaagizwa wtoto kumstua na nimeshazoea pia maana ubabe haukusaidia kituAisee Mimi mpaka sasa namtumia dada wa kazi kiwasiliana na mkewangu. Mtu unapiga simu mara 10 hapokei na yupo nyumbani na simu ipo nyumbani yani mpaka naona kama ananifanyia kusudi. Nikimuuliza anasema nilikua mbali na simu. Nimeamua kumzoea tu sasa nitafanyaje maana habadiliki.
wao hawajari hata ulalamike namna gani atajifanya kakuelewa kesho yake mwendo uleule.Ila wanawake mlio wengi mnazingua sana kwenye hii kesi ya kuacha simu mbali na nyinyi kuwa busy na mambo yenu! Mimi nisipokuwa tu na simu, naanza kujisachi muda huo huo mwili mzima.