The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Sijajua Sheria za JF Forum zikoje juu ya watu kama hawa waharibifu wa jukwaa.Kwanini asiwe reported huyu mtu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua Sheria za JF Forum zikoje juu ya watu kama hawa waharibifu wa jukwaa.Kwanini asiwe reported huyu mtu?
Huyo Muuza vifurushi vya Bongo movie Mstaafu wa DSTv(Mr Beans) na yule aliyesomea utatuzi wa migogoro ughaibuni(Bush Electrical Engineer Kipara) wanamuingiza chaka sana Mama Maridhiano![emoji1787]Naangalia taarifa ya habari ITV sasa hivi, nimestaajabu kumuona CEO wa TANESCO Maharage akisema umeme wa grid ndio uko asilimia 47 kuelekea Kigoma. Mimi labda siko Tanzania au sielewi.
Nakumbuka kwa masikio yangu nimesikia tena sio mara moja kwamba umeme wa grid ulishafika Kigoma miezi kadhaa sasa imepita. Tena kukawa na maelezo kuhusu kuokolewa gharama kubwa kutokana na kuacha kutumika mafuta mazito.
Leo nashangaa eti kumbe bado umeme wa grid kufika Kigoma. Hebu anayejua vizuri hii issue atujuze labda mimi hizi taarifa nilikuwa naota ndoto.
Mimi kwanza nilivyoona Kipara katangaza Bodi mpya ya Tanesco imejaa maswaiba wake ambao ni Bankers wakina Mafuru, Mchechu et al nikasema twafwa!Nawe ukaamini kabisa ?
mimba ya jpm itakutesa milele kumbuka huyo mwendazake aliacha amelipa makandarasi wa barabara baadhi ya fedha tangu malipo hayo kufanyika barabara zimebaki zimechimbwa bila kumalizika kutoka kibondo kasulu makandarasi wanalia hawana fedha na mbarawa yupo ofsini anakula kiyoyozi . serikali hii maigizo ni mengi kuliko vitendo maana hata ufatliaji wa karibu haupo kila kiongozi anafanya kazi kwa kuviziana siku ikiwa mbaya kwako wabakubebesha zigo ka kukufukuza kazi au kusimamishwa ndiyo serikali ya sasa.Moja kati ya sifa kubwa za Magufuli ilikuwa ni UONGO.
Mkuu hivi hujui kuwa kila Mheshimiwa afanyapo ziara sehemu fulani mojawapo ya kazi zake ni kuzindua miradi iliyopo, iliyokuwepo na itakayokuja!?Naangalia taarifa ya habari ITV sasa hivi, nimestaajabu kumuona CEO wa TANESCO Maharage akisema umeme wa grid ndio uko asilimia 47 kuelekea Kigoma. Mimi labda siko Tanzania au sielewi.
Nakumbuka kwa masikio yangu nimesikia tena sio mara moja kwamba umeme wa grid ulishafika Kigoma miezi kadhaa sasa imepita. Tena kukawa na maelezo kuhusu kuokolewa gharama kubwa kutokana na kuacha kutumika mafuta mazito.
Leo nashangaa eti kumbe bado umeme wa grid kufika Kigoma. Hebu anayejua vizuri hii issue atujuze labda mimi hizi taarifa nilikuwa naota ndoto.