Hivi hiki Kiberiti Toyota Vits Engine 1 KR CC 990 vipi uimara wake kwa matumizi ya Mjini

Hivi hiki Kiberiti Toyota Vits Engine 1 KR CC 990 vipi uimara wake kwa matumizi ya Mjini

komasavaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2024
Posts
1,718
Reaction score
2,930
Natumai mpo vyema nyote wanajukwaa.Naombeni msaada kwa mwenye uzoefu na hivi VIBIRITI a.k.a BABY WALKER😁😁 Toyota vits ya 2013 engine 1KR CC 990.

Natafuta kigari cha kuagiza Japani ila nimezurura huko beforward nimeona kukiagiza kanachezea millioni 8 na vichenchi kadhaa mpaka hapo Daslam.

Napishana navyo sana huko road inaonekana vinaeleweka MNO kwa MIDDLE INCOME wasiotaka kashkash za daladala kupumuliana hovyo na kufika ofisini nguo zimejikunja viatu vimekanyagwa yaani ni HUZUNI😬.

Wakali wa hivi vigari ebu tupeane tips na uzoefu vipi je,

1. Ni imara havina usumbufu wa kuaribika hovyo kwenye main part kama ENGINE na GEAR BOX.

2.BODY lake ni GUMU au ni hovyohovyo tu.Maana kwa bei ya mtandaoni kanashawishi na hivi 1LITRE KANA SUKUMA 20.8KM hii ni neema kwa sisi mapopo na wabangaizaji wa mjini kuliko kupanda boda au bolt bora kumiliki haka ka mkebe.


📌📌📌Mapovu,kejeli,dhihaka,kubagaza ruksa tukutane kwenye comment tutoane badamu kama bamutu ba Congooo🙌🙌🙌
Mad Max
 
Kama sio mtu wa show off hutojuta, Niliwahi kuimiliki kipindi Cha nyuma Sana Iko poa Sana, hizi vitz hata used tu hapa bongo ukikutana na namba D tu bei yake imechangamka hazishuki value mapema, mafuta unasahau
 
Natumai mpo vyema nyote wanajukwaa.Naombeni msaada kwa mwenye uzoevu na hivi VIBIRITI a.k.a BABY WALKER😁😁 Toyota vits ya 2013 engine 1KR CC 990.

Natafuta kigari cha kuagiza Japani ila nimezurura huko beforward nimeona kukiagiza kanachezea millioni 8 na vichenchi kadhaa mpaka hapo kurasini kwenu.

Wakali wa hivi vigari ebu tupeane tips na uzoefu vipi je,

1. Ni imara havina usumbufu wa kuaribika hovyo kwenye maini part kama ENGINE na GEAR BOX.

2.BODY lake ni GUMU au ni hovyohovyo tu.Maana kwa bei ya mtandaoni kanashawishi na hivi 1LITRE KANA SUKUMA 20.8KM hii ni neema kwa sisi mapopo na wabangaizaji wa mjini kuliko kupanda boda au bolt bora kumiliki haka ka mkebe.


📌📌📌Mapovu,kejeli,dhihaka,kubagaza ruksa tukutane kwenye comment tutoane badamu kama bamutu ba Congooo🙌🙌🙌
Sasa we mwenyewe kitu umesha kiita KIBIRITI unategemea nini?
 
Kama sio mtu wa show off hutojuta, Niliwahi kuimiliki kipindi Cha nyuma Sana Iko poa Sana, hizi vitz hata used tu hapa bongo ukikutana na namba D tu bei yake imechangamka hazishuki value mapema, mafuta unasahau
💪💪💪sawa kamanda, vipi hiyo ya kwako engine ilikuwa hii hii 1KR au tofauti maana zina matoleo kama matatu hivi.
 
Kwani ni uongo si ni kiberiti a.k.a kimkebe😁😁😁🤗🤗

leta uzoefu wako na hii kigari.
Uzuri wa VIBIRITI, njiti (spea) ziko nyingi mitaani kwa bei chee, ukitaka used, mchina zimejaa ni wewe tuu. Mafuta umesha ambiwa kananusa, sasa unataka nini tena? Kuchakaa kila kitu kinachakaa hata wewe utachakaa ukikosa matunzo..
 
Uzuri wa VIBIRITI, njiti (spea) ziko nyingi mitaani kwa bei chee, ukitaka used, mchina zimejaa ni wewe tuu. Mafuta umesha ambiwa kananusa, sasa unataka nini tena? Kuchakaa kila kitu kinachakaa hata wewe utachakaa ukikosa matunzo..
My friend hii ingine ya 1KR ni non VVTI.

Hapo ndo wasiwasi wangu ulipo
VVTI ni type za ist na nduguze akina spacio,wish,run x pacha wake Allex so nataka uzoefu wa ENGINE NA GEAR BOX.

Hata hii vits kuna generation ina VVTI ila ni zile za cc1200.
 
💪💪💪sawa kamanda, vipi hiyo ya kwako engine ilikuwa hii hii 1KR au tofauti maana zina matoleo kama matatu hivi.
Sikusoma vizuri, mimi nilikua namaanisha Ile first generation zile old model kabisa, binafsi hizi za 2013 Wala sizikubali kabisa na kwenye soko Zinashuka value mapema Sana


Ila ya zamani ilikua 1SZ-FE engine Ina cylinder nne cc 990
 
Sikusoma vizuri, mimi nilikua namaanisha Ile first generation zile old model kabisa, binafsi hizi za 2013 Wala sizikubali kabisa na kwenye soko Zinashuka value mapema Sana


Ila ya zamani ilikua 1SZ-FE engine Ina cylinder nne cc 990
Sawa kiongozi nashukuru kwa msaada wako.

Hizo nimeziona na kweli bei yake huko mnadani imesimama🤝
 
Sawa kiongozi nashukuru kwa msaada wako.

Hizo nimeziona na kweli bei yake huko mnadani imesimama🤝
Mimi Kwa ushauri hizi first generation kama utaweza ni gari haswa, watu wanavidharau lakini bei zake zimesimama
 
Natumai mpo vyema nyote wanajukwaa.Naombeni msaada kwa mwenye uzoevu na hivi VIBIRITI a.k.a BABY WALKER😁😁 Toyota vits ya 2013 engine 1KR CC 990.

Natafuta kigari cha kuagiza Japani ila nimezurura huko beforward nimeona kukiagiza kanachezea millioni 8 na vichenchi kadhaa mpaka hapo Daslam.

Napishana navyo sana huko road inaonekana vinaeleweka MNO kwa MIDDLE INCOME wasiotaka kashkash za daladala kupumuliana hovyo na kufika ofisini nguo zimejikunja viatu vimekanyagwa yaani ni HUZUNI😬.

Wakali wa hivi vigari ebu tupeane tips na uzoefu vipi je,

1. Ni imara havina usumbufu wa kuaribika hovyo kwenye main part kama ENGINE na GEAR BOX.

2.BODY lake ni GUMU au ni hovyohovyo tu.Maana kwa bei ya mtandaoni kanashawishi na hivi 1LITRE KANA SUKUMA 20.8KM hii ni neema kwa sisi mapopo na wabangaizaji wa mjini kuliko kupanda boda au bolt bora kumiliki haka ka mkebe.


📌📌📌Mapovu,kejeli,dhihaka,kubagaza ruksa tukutane kwenye comment tutoane badamu kama bamutu ba Congooo🙌🙌🙌
cc;@Mad Max
Ni kama pikipiki tu. Beba mzigo unaoendana, zingatia service na usikape majukumu ya Subaru. Kaendeshe kwa mwendo kanaotaka. Kwa root za tambalale home to ofisini kanafaa.
 
Kwani ni uongo si ni kiberiti a.k.a kimkebe😁😁😁🤗🤗

leta uzoefu wako na hii kigari.
Wenzetu nchi zilizoendelea wanakuwa na gari mbili, hiyo ya cc 900 hadi cc 1500 halafu kuna above 1800cc. Nyingine root za Town halafu huo mwingine ni root za Mbeya to Arusha kupumzika wakati wa chakula tu
 
Wenzetu nchi zilizoendelea wanakuwa na gari mbili, hiyo ya cc 900 hadi cc 1500 halafu kuna above 1800cc. Nyingine root za Town halafu huo mwingine ni root za Mbeya to Arusha kupumzika wakati wa chakula tu
Hata mimi ni muumini wa hii kitu, kama sio mtu wa ku show off mambo ya usafiri hayasumbui Sana, gari ya safari ndogo ndogo mjini na gari ya Masafa umemaliza
 
Wenzetu nchi zilizoendelea wanakuwa na gari mbili, hiyo ya cc 900 hadi cc 1500 halafu kuna above 1800cc. Nyingine root za Town halafu huo mwingine ni root za Mbeya to Arusha kupumzika wakati wa chakula tu
Hii ni idea nzuri💪💪💪
 
Hata mimi ni muumini wa hii kitu, kama sio mtu wa ku show off mambo ya usafiri hayasumbui Sana, gari ya safari ndogo ndogo mjini na gari ya Masafa umemaliza
Huo ndio mpango mzuri sio migari yote ya kubugia wese. Cc 900 ukipiga mafuta ya 10,000 unapiga root nyingi sana bila kuvuja jasho wala kuchafuka. Muhimu kukatunza tu
 
Ila ya zamani ilikua 1SZ-FE engine Ina cylinder nne cc 990
Nilikuwa na Vits old model milango minne, gear box manual, 4 cylinder, cc 990!

Aisee kale kagari mpaka kesho huwa ninajilaumu kwa nini nilikauza. Maana kalikuwa stable barabarani, na kanatembea balaa! Halafu mafuta kalikuwa kananusa tu.
 
Back
Top Bottom