Hivi hiki Kiingereza kwenye Royal Tour kipo sawa?

Hivi hiki Kiingereza kwenye Royal Tour kipo sawa?

Ujuaji mwingi sana wabongo mnajifanya wajuvi wa kila kitu yani mnataka kingereza mlichofundishwa darasan kiongelelewe vile vile, kwani nyie mkwenye kiswahili huwa mnafuatilia kanuni zote za utamkaji wa maneno ya kiswahili?

Unaona mada hapo juu inasemaje kiongozi...? Mbele ya tittle yangu sijaweka an exclamation mark nimeweka question mark nikiwa nina maana ya kuuliza swali, Je hiki Kiingereza/sentensi iko sawa mkuu...?
 
Ila mama anajitahidi sana tofauti na yule marehemu Fontfed

Sawa kiongozi hilo sikatai ila hawa wasaidizi wa Rais wanashindwaje kumuweka sawa Rais pale panapotokea kosa linaloweza kurekebishika mkuu...?
 
View attachment 2214805

Wakuu habari zenu.

Nimepita kwenye status moja ya mdada nikakutana na hiyo clip ya Royal Tour kukiwa na maongezi kati ya Rais Samia na huyo mzungu.

Kuna kipande Rais Samia anamwambia huyo mzungu kuwa THIS IS BEGINNING OF BEAUTIFUL FRIENDSHIP. Nimejiuliza mara 2 kuhusu hiko Kiingereza je kipo sawa au?

Lakini pia, nnavyojua mimi kwenye ku-shoot movie/documentary/tamthilia kuna actions huwa zinarudiwa kurekodiwa mpaka scene husika inakaa sawa, sasa nnachojiuliza ni kuwa, katika kutengeneza hii Royal Tour hakukuwa na wasaidizi wake au watu wengine pembeni wakati Mh. Rais anaongea?

Lakini pia, wakati wana-edit hawakuskia hiko kipande, kwa sababu sauti nyingine zinaweza kuingizwa hata ukiwa studio, kwani wasingeweza kurekebisha hiko kipande?

Kwa kuwa nilisoma shule za Kata St. Kayumba nikasema niulize wadau kuhusu hiyo sentensi inatakiwa kuwa hivyo ilivyo (THIS IS BEGINNING) au kuna namna ilitakiwa kuwa wakuu?

NAWASILISHA.

Ignore that mistake, haiitaji uzi
 
Yupo sahihi kabisa. hiko ni chombo tu cha mawasiliano kama mkenya akiongea kiswahili kibovu tutaelewana vizuri tu.
Wapo Marais wengi wa nchi kubwa tu na kingereza kinawatatizo, tatizo ni nyinyi mliopata kusoma kingereza shule za kata ujuwaji ni mwingi sana..

Hahahah ujuaji uko wapi dada...? Hatujui ndio maana tukauliza je hiki Kiingereza kipo sawa ili wadau watusaidie kufahamu dada.
 
Barack Obama alikua ndo kiongozi namba moja anaongea kingereza kwa ufasaha kuliko wengine wote duniani yaan malkia mwenyewe hamfikii Obama ,sembuse mama yetu hapa bongo ambaye ni karani na kutoka ukarani Hadi mchumi wa sua mzumbe ....we vipi bwaaaaaana
 
Barack Obama alikua ndo kiongozi namba moja anaongea kingereza kwa ufasaha kuliko wengine wote duniani yaan malkia mwenyewe hamfikii Obama ,sembuse mama yetu hapa bongo ambaye ni karani na kutoka ukarani Hadi mchumi wa sua mzumbe ....we vipi bwaaaaaana
President George W. Bush.
English ya watu wazima!
 
Barack Obama alikua ndo kiongozi namba moja anaongea kingereza kwa ufasaha kuliko wengine wote duniani yaan malkia mwenyewe hamfikii Obama ,sembuse mama yetu hapa bongo ambaye ni karani na kutoka ukarani Hadi mchumi wa sua mzumbe ....we vipi bwaaaaaana
Unaongea pumba gani wewe
 
Barack Obama alikua ndo kiongozi namba moja anaongea kingereza kwa ufasaha kuliko wengine wote duniani yaan malkia mwenyewe hamfikii Obama ,sembuse mama yetu hapa bongo ambaye ni karani na kutoka ukarani Hadi mchumi wa sua mzumbe ....we vipi bwaaaaaana

Kweli kina kirefu aisee...!

🤣
 
View attachment 2214805

Wakuu habari zenu.

Nimepita kwenye status moja ya mdada nikakutana na hiyo clip ya Royal Tour kukiwa na maongezi kati ya Rais Samia na huyo mzungu.

Kuna kipande Rais Samia anamwambia huyo mzungu kuwa THIS IS BEGINNING OF BEAUTIFUL FRIENDSHIP. Nimejiuliza mara 2 kuhusu hiko Kiingereza je kipo sawa au?

Lakini pia, nnavyojua mimi kwenye ku-shoot movie/documentary/tamthilia kuna actions huwa zinarudiwa kurekodiwa mpaka scene husika inakaa sawa, sasa nnachojiuliza ni kuwa, katika kutengeneza hii Royal Tour hakukuwa na wasaidizi wake au watu wengine pembeni wakati Mh. Rais anaongea?

Lakini pia, wakati wana-edit hawakuskia hiko kipande, kwa sababu sauti nyingine zinaweza kuingizwa hata ukiwa studio, kwani wasingeweza kurekebisha hiko kipande?

Kwa kuwa nilisoma shule za Kata St. Kayumba nikasema niulize wadau kuhusu hiyo sentensi inatakiwa kuwa hivyo ilivyo (THIS IS BEGINNING) au kuna namna ilitakiwa kuwa wakuu?

NAWASILISHA.
This is the beginning of......(Nami wa kayumba mwenzako ndo nilivyowaza[emoji16])
 
Back
Top Bottom