Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
- Thread starter
-
- #21
Ujuaji mwingi sana wabongo mnajifanya wajuvi wa kila kitu yani mnataka kingereza mlichofundishwa darasan kiongelelewe vile vile, kwani nyie mkwenye kiswahili huwa mnafuatilia kanuni zote za utamkaji wa maneno ya kiswahili?
Ni ujinga ujinga wa kitoto tuu watu huwezi kuwaweza wanamaarifa ya kitoto sana
Ila mama anajitahidi sana tofauti na yule marehemu Fontfed
Labda na wao ndio hivyo tena au pengine wamamrekebisha mpaka wakaweka mikono kwa hewaSawa kiongozi hilo sikatai ila hawa wasaidizi wa Rais wanashindwaje kumuweka sawa Rais pale panapotokea kosa linaloweza kurekebishika mkuu...?
View attachment 2214805
Wakuu habari zenu.
Nimepita kwenye status moja ya mdada nikakutana na hiyo clip ya Royal Tour kukiwa na maongezi kati ya Rais Samia na huyo mzungu.
Kuna kipande Rais Samia anamwambia huyo mzungu kuwa THIS IS BEGINNING OF BEAUTIFUL FRIENDSHIP. Nimejiuliza mara 2 kuhusu hiko Kiingereza je kipo sawa au?
Lakini pia, nnavyojua mimi kwenye ku-shoot movie/documentary/tamthilia kuna actions huwa zinarudiwa kurekodiwa mpaka scene husika inakaa sawa, sasa nnachojiuliza ni kuwa, katika kutengeneza hii Royal Tour hakukuwa na wasaidizi wake au watu wengine pembeni wakati Mh. Rais anaongea?
Lakini pia, wakati wana-edit hawakuskia hiko kipande, kwa sababu sauti nyingine zinaweza kuingizwa hata ukiwa studio, kwani wasingeweza kurekebisha hiko kipande?
Kwa kuwa nilisoma shule za Kata St. Kayumba nikasema niulize wadau kuhusu hiyo sentensi inatakiwa kuwa hivyo ilivyo (THIS IS BEGINNING) au kuna namna ilitakiwa kuwa wakuu?
NAWASILISHA.
Au huenda hicho kiingeraza kibovu kikawa nacho ni kivutio cha utalii maana watalii huwa hawapishani sana kitabia na watoto wa kikeCha muhimu vivutio vinaonekana vizuri, mengine yasikuumize kichwa...
Labda na wao ndio hivyo tena au pengine wamamrekebisha mpaka wakaweka mikono kwa hewa
Yupo sahihi kabisa. hiko ni chombo tu cha mawasiliano kama mkenya akiongea kiswahili kibovu tutaelewana vizuri tu.
Wapo Marais wengi wa nchi kubwa tu na kingereza kinawatatizo, tatizo ni nyinyi mliopata kusoma kingereza shule za kata ujuwaji ni mwingi sana..
Cha muhimu vivutio vinaonekana vizuri, mengine yasikuumize kichwa...
Ignore that mistake, haiitaji uzi
President George W. Bush.Barack Obama alikua ndo kiongozi namba moja anaongea kingereza kwa ufasaha kuliko wengine wote duniani yaan malkia mwenyewe hamfikii Obama ,sembuse mama yetu hapa bongo ambaye ni karani na kutoka ukarani Hadi mchumi wa sua mzumbe ....we vipi bwaaaaaana
Unaongea pumba gani weweBarack Obama alikua ndo kiongozi namba moja anaongea kingereza kwa ufasaha kuliko wengine wote duniani yaan malkia mwenyewe hamfikii Obama ,sembuse mama yetu hapa bongo ambaye ni karani na kutoka ukarani Hadi mchumi wa sua mzumbe ....we vipi bwaaaaaana
Wapi nimekuuzi mkuu au hujaelewaUnaongea pumba gani wewe
Barack Obama alikua ndo kiongozi namba moja anaongea kingereza kwa ufasaha kuliko wengine wote duniani yaan malkia mwenyewe hamfikii Obama ,sembuse mama yetu hapa bongo ambaye ni karani na kutoka ukarani Hadi mchumi wa sua mzumbe ....we vipi bwaaaaaana
Wasaidizi hawajui kiingereza.Sawa kiongozi hilo sikatai ila hawa wasaidizi wa Rais wanashindwaje kumuweka sawa Rais pale panapotokea kosa linaloweza kurekebishika mkuu...?
Wasaidizi hawajui kiingereza.
This is the beginning of......(Nami wa kayumba mwenzako ndo nilivyowaza[emoji16])View attachment 2214805
Wakuu habari zenu.
Nimepita kwenye status moja ya mdada nikakutana na hiyo clip ya Royal Tour kukiwa na maongezi kati ya Rais Samia na huyo mzungu.
Kuna kipande Rais Samia anamwambia huyo mzungu kuwa THIS IS BEGINNING OF BEAUTIFUL FRIENDSHIP. Nimejiuliza mara 2 kuhusu hiko Kiingereza je kipo sawa au?
Lakini pia, nnavyojua mimi kwenye ku-shoot movie/documentary/tamthilia kuna actions huwa zinarudiwa kurekodiwa mpaka scene husika inakaa sawa, sasa nnachojiuliza ni kuwa, katika kutengeneza hii Royal Tour hakukuwa na wasaidizi wake au watu wengine pembeni wakati Mh. Rais anaongea?
Lakini pia, wakati wana-edit hawakuskia hiko kipande, kwa sababu sauti nyingine zinaweza kuingizwa hata ukiwa studio, kwani wasingeweza kurekebisha hiko kipande?
Kwa kuwa nilisoma shule za Kata St. Kayumba nikasema niulize wadau kuhusu hiyo sentensi inatakiwa kuwa hivyo ilivyo (THIS IS BEGINNING) au kuna namna ilitakiwa kuwa wakuu?
NAWASILISHA.