Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Iwe adhoc,planned au vinginevyo,marehemu alikuwa mzuri kwenye lugha ya kuja na jahazi.Sijaongelea anapoongea kwa ku-be planned,nazungumzia kuutema ung'eng'e hata kwenye normal situation.

Hizo interviews zake zilikuwa adhok au planned? Ukishapata majibu ya hayo utajua kuwa anything planned has deceiving tendency.
 
Kazi hakuna na ukiajiriwa hawakuchukii kama acturial unaenda kafanya kazi za watu wa insurance kibongobongo hii koz michosho yahn bado sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlikuwa mnamcheka Dr wa maganda ya korosho au msemakweli ni mpenzi wa Mungu haya sasa huyo ni profesa semeni tena
 
Kama havina uhusiano unadhani kaongea cha nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumekuelewa ndalichako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
acha kumtetea,kwa msomi yeyote aliyefikia ngazi ya uProfesa ni lazima awe anajua kiingereza kwa kusoma na kuongea kwa ufasaha.Vinginevyo ni janja janja tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona yai lake lipo poa tu! Anaeleweka ... mama ndalichako kaa humuhumo ...
 
Kwa Linguist kama mimi, sioni tatizo hapo. Ninaona tatizo pale Mbongo anapolazimisha kuongea kama Mwingereza au Mmarekani. Kuongea broken ni sawa tu hasa pale hiyo lugha inapokuwa ni "Third Language" ya muongeaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…