Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Kwa waTZ wengi hata kama unakijua ukiwa katika panic mood ni rahisi kutokukinyoosha..

Lakini pia sisi huwa tuko makini kukosoa makosa katika kiingereza ila makosa yetu katika kiswahili hatuna habari nayo.

Kiingereza cha darasani katika uandishi nk si sawa na kile wakati wa kukizungumza, darasani unatulia pia unatafuta maneno sahihi ya kutumia, ila wakati wa mazungumzo haiko hivyo kama si lugha uitumiayo kila mara katika mawasiliano misamiati inakuwa michache

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, watu hawajahojj kuhusu Fluent English hapana bali wanashangaa kwa namna gani Prof wa Elimu ashindwe kuongea kiingeleza kinachoeleweka.
 
Halafu wanaita UDSM the home of intellectual
Aaaah hiki chuo ni vituko vitupu, ndo matunda ya hake yametufikisha hapa miaka 50 watu wanalia ukosefu wa maji, vijijini barabara hazipitiki na watoto wetu wanalala gizani maana umeme uko mijini tu. Vyuo vya maana kama TEKU serikali iliviyumbisha kisa hawana maghorofa kama ya UDSM......naishia hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa mkuu,wengi humu kiswahili sanifu kinatuzingua lakini hatuna time.Haki ya Ngai mkoloni alaaniwe milele.
 

achana na watu uku, kuna ushabiki unaendelea kwenye hii forum watu wengi walishaachaga kuwaelewesha hawa nyamera! ni kama kila kitu wametumwa kutoa negatives na wanasubiria kufanikiwa
 
Wewe ndo mwenye tatizo,ndalichako si muingereza native hatutegemei azungumze kama muingereza halisi kinachotakiwa ni kumuelewa alikuwa akimaanisha nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…