Mifumo ya ufundishaji kiingereza ni mibovu duniani kote si kwetu tu.Mbona kajitahidi sana kuongea kizungu, tatizo ni mifumo yetu ya elimu ni mibovu, watoto tunapokuwa nyumbani ni kiswahili kwa kwenda mbele, tukifika shuleni (sekondari) ni kiswahili kwa kwenda mbele tukiingia darasani ni Kiswanglish (kiswakinge) kwa kwenda mbereee, sasa ni lini tunaweza kuwa good at English??!π€£
One hundred and fifty million TZS
Hahaha hahaha uwiiiiAwamu ya Tano inapiga kazi balaa, mama Prop yuko site anatimiza kauli mbiu ya Hapa kazi tu, soon Tanzania itaanza kutoa misaada kwa mataifa masikini, Mama Profesa Mtaalamu anapiga ung'eng'e balaa mpaka huyo mchina anashangaa shangaa hiyo English ya ndani kabisa pale London na kama hujakaa UK huwezi kuelewa kabisa, HIVI HUYU MAMA NI PROFESA NA NI WAZIRI WA ELIMU..?? haya twendeni tu..
Uchumi unakua kwa 7% watanzania wanafurahia maisha mitaan. machinga, mamantilie hawasumbuliwi tena.. Pato la Mtanzania limekua na linazidi kukua kwa kasi..
Mkuu unajua phd inachukuliwaje .aliwezaje kuandika kitabu akashawish maprofesa nguli waone ,anafaa kupata phd kwa kiingereza cha utani .hata graduate wa degree hawezi kusema et find CERTIFICATE PEOPLEMleta mada anadai kiingereza cha huyo professor ni kibovu au sub standard, mimi ndio nasema kwamba licha ya huo ubovu bado kajitahidi ukizingatia misingi yetu ya kitanzania ni mibovu kwenye kiingereza ni tofauti na kenya kwa mfano ambapo na wao kiswahili ni wabovu kwa sababu ya misingi mibovu ya Kiswahili.
Mifumo ya ufundishaji kiingereza ni mibovu duniani kote si kwetu tu.
Hivi tatizo ni kiingereza chake au lafudhi yake??? Au vyote???Hapa akitoa maagizo ya kukamatwa Mhandisi Mchina.
View attachment 1315270
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unajua phd inachukuliwaje .aliwezaje kuandika kitabu akashawish maprofesa nguli waone ,anafaa kupata phd kwa kiingereza cha utani .hata graduate wa degree hawezi kusema et find CERTIFICATE PEOPLE
Kwahiyo umeamua kuandika kingereza kuthibitisha kwamba unakiweza kuliko profeseri?Very poor! I feel ashamed really that she holds that high post in the government.
nyie wa st joseph mna mamboWakuu Kiingereza ni Uprofessor vina uhusiano gani?
Professor wa Mathematics na Fluent English kuna uhusiano gani?
Almost my whole university life nimefundishwa na Ma Prof. Wengi ambao ni wa mambo ya sayansi.. wote wanaongea kiingereza cha kawaida tu.
I see no problem there.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ta
Hivi tatizo ni kiingereza chake au lafudhi yake??? Au vyote???
Hapa ndipo napata moyo kumbe kilaza sio mimi tu hata waziri wa elimu ni kilazaYou're going to stay on the cell[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekutana na maprof. wengi wenye uwezo mzuri wa kumudu lugja walizosomea masomo yao. Wengine wamesomea Ujerumani, wanaongea Kiingereza safi, Kijerumani Kizuri na Kiswahili sanifu.Huyu ndalichako ana kakiingereza kakavu sana!
Hiyo aina ya Kiingereza anaongea mtoto wa form two anayejifunza sarufi.
If a PhD holder's linguistic competence is equivalent to that of a form two student, then you know how bigger the problem really is.
Nimekutana na maprofesa na wakufunzi wengi na wazuri mno wenye umahiri mkubwa wa lugha zote mbili humu humu Tanzania.
Hivyo, sidhani kama ni tatizo la "mfumo" wa elimu [entirely].
Huyu mama ni kilaza tu katika personal capacity yake mwenyewe (na ni waziri wa elimu?).
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππππππππKwahiyo umeamua kuandika kingereza kuthibitisha kwamba unakiweza kuliko profeseri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo umeamua kuandika kingereza kuthibitisha kwamba unakiweza kuliko profeseri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliandikiwaaaa, Tanzania kila kitu kinawezekana, kama tunaweza kubaini wanaotarajia kujinyonga tutashindwaje kuandika mavitabu kuwashawishi maprofessor?Mkuu unajua phd inachukuliwaje .aliwezaje kuandika kitabu akashawish maprofesa nguli waone ,anafaa kupata phd kwa kiingereza cha utani .hata graduate wa degree hawezi kusema et find CERTIFICATE PEOPLE
A na B yote sawaHivi ta
Hivi tatizo ni kiingereza chake au lafudhi yake??? Au vyote???
Being not trainable is one of the indicators of low IQ.
Yeah nakubali wewe ni zaidi ya professeri[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
By the way, you know me and you know I am better than her!
Cc: Mishil