Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Wakuu Kiingereza ni Uprofessor vina uhusiano gani?
Professor wa Mathematics na Fluent English kuna uhusiano gani?
Almost my whole university life nimefundishwa na Ma Prof. Wengi ambao ni wa mambo ya sayansi.. wote wanaongea kiingereza cha kawaida tu.

I see no problem there.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa si angeongea kiswahili tu kama boss wake siku hizi?
What I heard from her was a language similar to English.
 
Tatizo sio matamshi mabaya Bali matamshi mabovu na kutafuta maneno na kuungaunga kwa kuchapia,watu wa science na maths tunajua kuwa sio wazuri sana kwenye kuongea porojo nyingi,wao ni wazuri kwny vitendo,ila lugha na u processor wake lazima aijue vzr na atamke maneno mazuri maana huo u processor hakuupata kwa kufundishwa kiswahili darasani,
Wakuu Kiingereza ni Uprofessor vina uhusiano gani?
Professor wa Mathematics na Fluent English kuna uhusiano gani?
Almost my whole university life nimefundishwa na Ma Prof. Wengi ambao ni wa mambo ya sayansi.. wote wanaongea kiingereza cha kawaida tu.

I see no problem there.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The science of gambling on the future (to access risk of potential event) Tunatumia mathematics, statistics, economics and financial theory .

Nashindwa kuielezea kwa kiswahili.


Gambling on the future??-- to access risk of potential future!!, how??, would please cite an example!,

Halafu science hii imeanza lini?? By the way.
 
Sipo hapa kutetea bali naeleza nachokijua,mtu ana Phd halafu et uje kutilia mashaka phd yake kisa hamudu kuzungumza vizuri kiingereza! Hii ni kwa sababu mnashindwa kuelewa kwanini wanashindwa kuongea vizuri kiingereza ndio matokeo yake mnaenda kuhusisha na Phd zao.

Mnashindwa kutofautisha kati ya kutokujua kiingereza na kushindwa kuongea vizuri kiingereza ndiyo maana mnashangaa mwenye Phd kutokumudu kuongea vizuri kiingereza.

Hoja yako hapa ni nini? Yeye abaki kutishia tu kwa kusema kibiriti kimejaa. Ni vyema ukakaa kimya tu, sio kwa aibu hii.
 
Naweza kukukashifu lakini haina sababu..

Hata ukimkashifu itakuwa ni hasira iliyochanganyika na fedheha na aibu. Ni bora ukae kimya tu, hapa ni kama unazuia risasi kwa debe.
 
Hivi mwanaye "Dajos" naye si amesoma Canada!? Mbona anakiingereza kizuri kuliko mama?
Sasa alipoanza mama kusoma enzi hizo ni tofauti na kipindi mtoto alipoanza kusoma, hivyo lafudhi na mtiririko wa lugha utakuwa tofauti
 
Hata ukimkashifu itakuwa ni hasira iliyochanganyika na fedheha na aibu. Ni bora ukae kimya tu, hapa ni kama unazuia risasi kwa debe.
Mkuu 'Tindo' ngoja nikupe hii: hilo debe limetengenezwa kwa kitu inaitwa 'graphene'. Ulishawahi isikia?

Risasi haipenyi hapo!
 
Tanzania ni nchi pekee ambapo waziri wa elimu hana elimu.

Yale yale ya intaprinyuwa!

Ze dota of ze cow and ze water!

Na ana ujasiri wa kuwaita wenzake vilaza, tena hadharani!

Duh! Najiuliza tu alikuwa anafundishaje hapo udsm - the "cream of the nation". Heheheee

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana elimu gani tena?
 
Kiingereza kikisha kuwa affected na accent yako toka utotoni ndio inakuwa hivyo, na ma professor wengi iwe wa bongo au nchi zingine nao matamshi yao hayako sawa, hivyo kusomea canada ukubwani ni ngumu kubadilisha accent yake.

Wacha kutetea upimbi wewe!! Lugha uliyosomea na kuandikia mpaka ukapata uprof leo inakushindaje mwana zuoni na waziri wa elimu?!? Walimu waongee nini sasa?? Huwa wanasema shule za kata mtoto wa form four anashindwa kiinglishi cha latatu Leo tumeona profeza anashindwa kingleza cha lakwanza... You wiki steyi inisaidi ndonini?? Oni the seli?? The the zakutosha bwahahahhhaaaa.... ndomana hawataki kuifanyia mageuzi elimu yetu!!
Kakosea wapi au umekariri sound za filamu za kifilipino unataka mama aongee hivyo au ujui kuna east africa english ujui acheni ushamba wenu mama kakosea nini fluent inawadatisha mama anatoa sentensi zenye maana na hazina makosa kisarufi uko kuongea kwake kwa kustop stop ndio hajui au msimchukulie pouwa mama yupo vizuri
 
Hoja yako hapa ni nini? Yeye abaki kutishia tu kwa kusema kibiriti kimejaa. Ni vyema ukakaa kimya tu, sio kwa aibu hii.
Hoja yangu ni kwamba kuna tofauti kati ya mtu kutojua kiingereza na kushindwa kuongea vizuri kiingereza,na ndiyo maana sishangi kuona profesa kushindwa kuongea vizuri kiingereza.
 
Back
Top Bottom