Ubongo wa mende
Member
- Aug 11, 2018
- 37
- 81
π‘πππππMimi pia naomba tu nipewe elimu, hilo deni ni la nini?
- Kama ni la jengo, jengo gani linaongelewa hapa?
- Je kama mimi ni mpangaji tu, mwenye jengo pia anakatwa?
- Na kwa kuanzia tu kwa nini linaitwa deni?
Duh mkuu hapa inamaana ni kwamba umelipia umeme wa 50,000 lakini umepewa units za umeme wa 39,754.10?
Itakuwa ndio ameachiwa awe ananunua luku sasa ndio ameona.Umeanza kununua umeme lini? (LUKU)
ππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππππππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏHabari zenu JFView attachment 3223023
Naomba kuuliza mwenye kuelewa anijuze, nimenunua LUKU mwisho mwa meseji nimeona wameandika DEBT COLLECTED, Hili deni wanalokusanya ni deni Gani?, Kodi ya nyumba au ni Nini?,
Deni kwa kuwa Tanesco wanakusanya kwa niaba ya halmashauri/TRA.
Habari zenu JFView attachment 3223023
Naomba kuuliza mwenye kuelewa anijuze, nimenunua LUKU mwisho mwa meseji nimeona wameandika DEBT COLLECTED, Hili deni wanalokusanya ni deni Gani?, Kodi ya nyumba au ni Nini?,
Hapa ndio kwenye pointi, wameshatuona sisi ni mazwazwa hakuna kitu tunaweza fanyaNi wizi tu, ukizingatia wananchi wenyewe hatujielewi ....shida tupu!
Hapa ndio kwenye pointi, wameshatuona sisi ni mazwazwa hakuna kitu tunaweza fanyaNi wizi tu, ukizingatia wananchi wenyewe hatujielewi ....shida tupu!
kabisa, hali itazidi kukabaTujiandae na Tozo na kodi mpya, baada ya beberu kusitisha misaada tutakamuliwa kisawasawa.
Rais wenu ananunua magoli.. utegemee kodi za wamarekani..Changia ARV Trump msenge anataka tufe
Hapa kama vile alikuwa anahimiza tozo kama mbadala wa mikopo.Itakuwa ndio ameachiwa awe ananunua luku sasa ndio ameona.
Hizo tozo ndio zilimtoa ndugai madarakani. πππ€£π€£π€£ππΏππΏππΏπ€£
View attachment 3223385
kama uko nyumba ya kupanga ya kawaida mwambie mwenye nyumba wako awe anakupa 1,500/= kila mwezi kodi ya pango na kama unaishi nyumba ya ghorofa akupe 5,000/=Mimi pia naomba tu nipewe elimu, hilo deni ni la nini?
- Kama ni la jengo, jengo gani linaongelewa hapa?
- Je kama mimi ni mpangaji tu, mwenye jengo pia anakatwa?
- Na kwa kuanzia tu kwa nini linaitwa deni?
Yap. Na akatupwa nje na Mama.Hapa kama vile alikuwa anahimiza tozo kama mbadala wa mikopo.
Kwamba mkuu wewe huishi Tanzania hadi hujui hicho kipengele??Habari zenu JFView attachment 3223023
Naomba kuuliza mwenye kuelewa anijuze, nimenunua LUKU mwisho mwa meseji nimeona wameandika DEBT COLLECTED, Hili deni wanalokusanya ni deni Gani?, Kodi ya nyumba au ni Nini?,