Hivi Hili ni mimi naliona kuhusu Dar au na wengne pia mnaona hivyo?

Hivi Hili ni mimi naliona kuhusu Dar au na wengne pia mnaona hivyo?

Umewaona wapi mlimani city njoo huku buza mkunduni kwa mpalange ujionee kina masha love manyonyo walivyo takataka
 
Mada Fupi tu maana Kuna mambo mengi ya kufanya pia.
Iko Hivi kuhusu Jiji la Dar es salaam
Mm Naona wanawake wa Dar ni warembo sana. Sure cjui ni macho yangu au nn!.
Kuna Saa unajitahidi hata usiangalie pembeni ukaze macho mbele kama Robot 😎
OK hivi Kuna mkoa mwingne unapiku Dar kwa wanake warembo, wazuri na wasafi?
Mwisho c Hitaji ushauri.. Una shida ya psychology wala nn
Ni mtazamo wangu nawe pia unaweza ukaona vingne.
Wenye data mkoa unao zidi Dar kwa weka hapa pls Ila najua hakuna.
Ngoja akija fataki atatusaidiq kujua vyema.
 
Sema unapenda Tutako twao, Dar joto wanavaa Sana madela bila chupi,vitako vinaonekana...na dar hali yake inatakatisha pia
 
Mada Fupi tu maana Kuna mambo mengi ya kufanya pia.
Iko Hivi kuhusu Jiji la Dar es salaam
Mm Naona wanawake wa Dar ni warembo sana. Sure cjui ni macho yangu au nn!.
Kuna Saa unajitahidi hata usiangalie pembeni ukaze macho mbele kama Robot 😎
OK hivi Kuna mkoa mwingne unapiku Dar kwa wanake warembo, wazuri na wasafi?
Mwisho c Hitaji ushauri.. Una shida ya psychology wala nn
Ni mtazamo wangu nawe pia unaweza ukaona vingne.
Wenye data mkoa unao zidi Dar kwa weka hapa pls Ila najua hakuna.
Karibu dar kaka
 
we dogo rudi kijijini tunakutafuta huku vilimo vimeanza.sio kilimo kimeanza unaranda randa mijini kutwa nzima unaangaika na matako ya wanawake.Narudia tena kilimo kimeanza
Nimejitahidi sana kujizuia nisicheke, lakini nimeshindwa. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
P

Ile. Abandoned mm wa hapa hapa ila kila nikienda kwa new area or office huwa nabaki kushangaaa nikudokeze mikia hua unaiona ndugu ?? Jaman msimbeze mtoa mada
Kila kitu naona hata awe black namna gani bado huo weusi ni kama kapigwa polishi.. Wanang'aa
 
P

Ile. Abandoned mm wa hapa hapa ila kila nikienda kwa new area or office huwa nabaki kushangaaa nikudokeze mikia hua unaiona ndugu ?? Jaman msimbeze mtoa mada
Kila kitu naona hata awe black namna gani bado huo weusi ni kama kapigwa polishi.. Wanang'
 
Ukitoka Mkoani lazima uone ivo Mkuu.
Ni hali ya kawaida apa nmetoka Nachingwea juzi apa hata muuza Matunda na Beseni namuona ni mali.
 
utawazoea tu kaka.lkn wapo wengine kama wa kijijin kwenu.
😃😃😃😃
 
Back
Top Bottom