Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja akija fataki atatusaidiq kujua vyema.Mada Fupi tu maana Kuna mambo mengi ya kufanya pia.
Iko Hivi kuhusu Jiji la Dar es salaam
Mm Naona wanawake wa Dar ni warembo sana. Sure cjui ni macho yangu au nn!.
Kuna Saa unajitahidi hata usiangalie pembeni ukaze macho mbele kama Robot 😎
OK hivi Kuna mkoa mwingne unapiku Dar kwa wanake warembo, wazuri na wasafi?
Mwisho c Hitaji ushauri.. Una shida ya psychology wala nn
Ni mtazamo wangu nawe pia unaweza ukaona vingne.
Wenye data mkoa unao zidi Dar kwa weka hapa pls Ila najua hakuna.
Ile. Abandoned mm wa hapa hapa ila kila nikienda kwa new area or office huwa nabaki kushangaaa nikudokeze mikia hua unaiona ndugu ?? Jaman msimbeze mtoa madaHee Nishaoneka wa Kuja Tena.. Asante kwa ukaribishao.🙌
Hahaaa mwanamke mrembo kachora tattoo mdomo mweusi na kakamaaa kama maiti aliekolewa kwenye moto jamaaa wakubali lakini hapa hatuongelei wao hapa daslam
Karibu dar kakaMada Fupi tu maana Kuna mambo mengi ya kufanya pia.
Iko Hivi kuhusu Jiji la Dar es salaam
Mm Naona wanawake wa Dar ni warembo sana. Sure cjui ni macho yangu au nn!.
Kuna Saa unajitahidi hata usiangalie pembeni ukaze macho mbele kama Robot 😎
OK hivi Kuna mkoa mwingne unapiku Dar kwa wanake warembo, wazuri na wasafi?
Mwisho c Hitaji ushauri.. Una shida ya psychology wala nn
Ni mtazamo wangu nawe pia unaweza ukaona vingne.
Wenye data mkoa unao zidi Dar kwa weka hapa pls Ila najua hakuna.
Nimejitahidi sana kujizuia nisicheke, lakini nimeshindwa. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣we dogo rudi kijijini tunakutafuta huku vilimo vimeanza.sio kilimo kimeanza unaranda randa mijini kutwa nzima unaangaika na matako ya wanawake.Narudia tena kilimo kimeanza
Kila kitu naona hata awe black namna gani bado huo weusi ni kama kapigwa polishi.. Wanang'aaP
Ile. Abandoned mm wa hapa hapa ila kila nikienda kwa new area or office huwa nabaki kushangaaa nikudokeze mikia hua unaiona ndugu ?? Jaman msimbeze mtoa mada
Kila kitu naona hata awe black namna gani bado huo weusi ni kama kapigwa polishi.. Wanang'P
Ile. Abandoned mm wa hapa hapa ila kila nikienda kwa new area or office huwa nabaki kushangaaa nikudokeze mikia hua unaiona ndugu ?? Jaman msimbeze mtoa mada
😂Kakutane nao wakitoka kuamka tu kabla ya kukandika miputi usoni, kope za bandia, kucha feki, nywele za maiti, shepu ya kununua.
Utastaajabu unatongoza Beyonce na kuamka na Bambo.
Sawa Asante NdgFanya mpango uoe kiongozi