Hivi Hili ni mimi naliona kuhusu Dar au na wengne pia mnaona hivyo?

Hivi Hili ni mimi naliona kuhusu Dar au na wengne pia mnaona hivyo?

Huku kila msichana mzuri.

Nimesimamisha ujenzi kwa muda.
 
Mkuu wasikubeze,Kuna kipindi niliingia na tumilioni twangu huko ndio niliju kua kumbe nimepauka,kale kajoto kanawasoftisha.
 
Mleta mada vipimo vinaonyesha unakaa kwa Shemeji Tena bado Anajitafuta huwa akiondoka hapo home hakuachii mia mbovu sasa kutokana na kwamba toka uje Dar inaonekana ujapaona hivyo Nyeg zinakusumbua zinasababisha kila mwanamke kwako ni Mrembo yaani una katabia kile kama vile umetoka jela au Machimboni ningekuwA na namba za shemeji ako ningempigia awe makini na watoto wa majirani na mabekitatu .
 
Mleta mada vipimo vinaonyesha unakaa kwa Shemeji Tena bado Anajitafuta huwa akiondoka hapo home hakuachii mia mbovu sasa kutokana na kwamba toka uje Dar inaonekana ujapaona hivyo Nyeg zinakusumbua zinasababisha kila mwanamke kwako ni Mrembo yaani una katabia kile kama vile umetoka jela au Machimboni ningekuwA na namba za shemeji ako ningempigia awe makini na watoto wa majirani na mabekitatu .
Nyie ndio wale watu mnao tungia watu stori za uwongo na kuapa ni Kweli.. Ckai Kwa shemeji tembea mbele Huko.. Mtu Naenda hadi nje nchi N kurudi ndio nikae kwa shemeji.. Una shida kum kichwa
 
Kuna kipindi nilikuwa kama wewe Kila Demu nilikuwa namuona nzuri upwiru mbaya Sana, nilipita na kazi mbovu Sana baadae ndio nastuka kuwa kazi mbovu, nikawa nakutana nao mtaani najiuliza hivi huyu nilipigaje kweli huyu kwahyo nyeg** tu hizo
 
Back
Top Bottom