Habari zenu wana jukwaa?
Hivi hizi ajira za tra let's say sisi watu wenye shahada za uhasibu naona kama kuna kada nyingi sana tunaingia,mfano tax management, customs,accounts officer, auditing etc.
Je inaruhusiwa kuomba zaidi ya nafasi moja?
Nisaidieni maana me sijawahi kuomba hizi kazi za serikali,mwaka huu ndio nataka nijaribu bahati yangu.
Na kingine nilitaka kujua na wao wana vigezo vya kuangalia GPA kama BOT?nisije nikapoteza muda wangu tu.
Hivi hizi ajira za tra let's say sisi watu wenye shahada za uhasibu naona kama kuna kada nyingi sana tunaingia,mfano tax management, customs,accounts officer, auditing etc.
Je inaruhusiwa kuomba zaidi ya nafasi moja?
Nisaidieni maana me sijawahi kuomba hizi kazi za serikali,mwaka huu ndio nataka nijaribu bahati yangu.
Na kingine nilitaka kujua na wao wana vigezo vya kuangalia GPA kama BOT?nisije nikapoteza muda wangu tu.