Hivi hizi hesabu toka JamiiForums zinaweza kuashiria tabia ya mchangiaji?

Hivi hizi hesabu toka JamiiForums zinaweza kuashiria tabia ya mchangiaji?

From my point of view. You are wrong. top 3 wenye rep power wamezipataga chit chat na waliobaki wamesomba kule MMU na zinatolewa kiurafiki zaidi. ILI KUTAMBUA VILAZA angalia post areas. angalia top 5.

Mtu mmoja anaweza kuwa na ID's tofauti na kila moja inachangia jukwaa tofauti...

Ni ngumu sana kutambua uhalisia wa wahusika wa majukwaa ya JF maana hata wale walioverified huwa wanajiwehusha wakati mwingine...
 
Mimi nadhani kupokea likes na rep power cyo u- gt au ukilaza. kwa nini? Kwa mfano Mimi sijawahi kumpa MTU yeyote likes lakini Mimi nimepewa zaidi ya 600. Siyo kwamba kwa kutotoa likes post nazosoma ndio za vilaza. hamy d kwa mfano, akianzisha Uzi anapata power reply nyingi kwa kuwa tu atakuwa anaisema vibaya chadema. Na manazi wa chadema watakuwa wakipambana nae kukanusha majungu na fitina, huku vijana was buku 7 wakimwagia likes za kutosha.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nadhani kupokea likes na rep power cyo u- gt au ukilaza. kwa nini? Kwa mfano Mimi sijawahi kumpa MTU yeyote likes lakini Mimi nimepewa zaidi ya 600. Siyo kwamba kwa kutotoa likes post nazosoma ndio za vilaza. hamy d kwa mfano, akianzisha Uzi anapata power reply nyingi kwa kuwa tu atakuwa anaisema vibaya chadema. Na manazi wa chadema watakuwa wakipambana nae kukanusha majungu na fitina, huku vijana was buku 7 wakimwagia likes za kutosha.

Mkuu, kwa kipimo tunacho-propose hapa wewe utahesabika kuwa KIASILI ni mchoyo na mbahili pia ni mgumu wa kurudisha fadhila kwa wenzako. Kimahesabu Likes Given (0)/Likes received (325) = 0 (ukarimu wako). Uzito wa posts zako kuwagusa wana JF itakuwa Likes received (325)/Posts (1344)= 0.24. Hii ikiimanisha ni asilimia 24% tuu ya posts zako zinazoonekana kama za maana na wasomaji. Kwenye ukilaza hujafikia ila Uchoyo umo(hahahahahah). Tembelea pages za GT kisha pima ukarimu. Ukiweza tupe feedback.

cc Mashaxizo, Mkuu wa chuo, mshana jr,
 
Last edited by a moderator:
Wadau,

Ni kawaida kukuta wachangiaji wa JF wakipewa mrejesho (feedback) za POSTS, LIKEs, UNLIKES, Quotes nk. Sasa nauliza:

1. Ukikuta mtu kapost 10,000 postings, katika hizo postings ana jumla ya LIKEs 100. Ina maana gani kwa kuwa ukigawa Likes/postings unapata 0.1. Lakini ukikuta mwingine pia mwenye 10,000 postings lakini ana Likes 9600 (ratio 0.96) Jee haitakuwa kweli kumchukulia mwenye ratio ndogo (Likes 100) kama ni kilaza au for most time anajiandikia garbage?

2. Jee kama watu wawili wote wana likes recieved 9000. Kisha mmoja wao ana Likes given 10,000 (ratio 1.1) huku mwenziwe ana likes given 440 (ratio 0.05) ina maana gani? Hizi ratio haziwezi kuwa kama kiashiria kuwa mwenye ndogo (ratio 0.05) kiasili ni mchoyo na mbinafsi sana kuliko mwenziwe mwenye ratio kubwa?

Nawakilisha

Kwa experience yangu jamii forums imejaa vilaza zaidi. Kama asilimia 90 hivi. Kwa hiyo vilaza huwa wanaweza wakapata likes nyingi kutoka kwa vilaza wenzao. Topic zenye akili sana ni chache watu huvutiwa nazo. :becky::becky:
 
Swali lingine la kizushi. Mtu ukiangalia profile yake achangia atleast an average of 15 posts in a day. Na wachangiaji wa aina hii mara nyingi posts zao ziko MMU. Hapa utaona kabisa kwamba huyu mtu ni kilaza pamoja na kuwa na likes nyingi. Hapa inaonyesha kabisa kuna watu hawafanyi kazi walizoajiriwa effectivelly bali wanashinda jamii forums. Mimi nimejiunga hapa 2008. Lakini mpaka leo nina post si zaidi ya 300. Kwa hiyo nikifanya calculation inamaana huwa naandika ana avarage of two posts in every ten days. :becky::becky::becky:. N
 
Swali lingine la kizushi. Mtu ukiangalia profile yake achangia atleast an average of 15 posts in a day. Na wachangiaji wa aina hii mara nyingi posts zao ziko MMU. Hapa utaona kabisa kwamba huyu mtu ni kilaza pamoja na kuwa na likes nyingi. Hapa inaonyesha kabisa kuna watu hawafanyi kazi walizoajiriwa effectivelly bali wanashinda jamii forums. Mimi nimejiunga hapa 2008. Lakini mpaka leo nina post si zaidi ya 300. Kwa hiyo nikifanya calculation inamaana huwa naandika ana avarage of two posts in every ten days. :becky::becky::becky:. N

Naunga mkono hoja 100%. Mimi naweza pita humu jf kila cku but sichangii chochote nasoma tu comment za watu. Post 1344 tangu October 2011 ni chache sana


Kuna watu kila thread lazima wachangie.
 
Duh hongereni mie wala sijawahi waza kuangalia hizo mambo sabbu nimeingia JF kujifunza na zaidi sana kuburudika.
 
Ndio maana wakati mwingine huwa naharibu tu makusudi kwani likes kwangu mimi huwa zinanisaidia nini? Cha muhimu kukwepa ban tu.
 
Mkuu, kwa kipimo tunacho-propose hapa wewe utahesabika kuwa KIASILI ni mchoyo na mbahili pia ni mgumu wa kurudisha fadhila kwa wenzako. Kimahesabu Likes Given (0)/Likes received (325) = 0 (ukarimu wako). Uzito wa posts zako kuwagusa wana JF itakuwa Likes received (325)/Posts (1344)= 0.24. Hii ikiimanisha ni asilimia 24% tuu ya posts zako zinazoonekana kama za maana na wasomaji. Kwenye ukilaza hujafikia ila Uchoyo umo(hahahahahah). Tembelea pages za GT kisha pima ukarimu. Ukiweza tupe feedback.

cc Mashaxizo, Mkuu wa chuo, mshana jr,

Wengine hatujui jinsi ya kulike...may be coz tunatumia simu
 
Last edited by a moderator:
Wengine hatujui jinsi ya kulike...may be coz tunatumia simu

Kuna entry kwenye uzi huu ambayo mshana jr, ameshauri watumiaji wa simu ku-download JF APP kwenye simu zao kisha wataweza ku-like etc, vinginevyo hebu-mPM ili akueleweshe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom