Hivi hizi R na L zimetukosea nini?

Hivi hizi R na L zimetukosea nini?

Hichi❌
Hiki✅
Mtu husema 'kiswahili changu sio kizuri' au ni 'kiswahili kangu sio kizuri'?

Katengenezeni kwanza hizi R na L zenu ndio tuje kuangalia mambo ya ngeli na vitenzi.
Kwa sasa unahangaika sana mkuu.
 
Mtu husema 'kiswahili changu sio kizuri' au ni 'kiswahili kangu sio kizuri'?

Katengenezeni kwanza hizi R na L zenu ndio tuje kuangalia mambo ya ngeli na vitenzi.
Kwa sasa unahangaika sana mkuu.
Wewe unatuharibia lugha yetu adhimu ya Kiswahili

Hakuna neno "hichi" kwenye lugha ya Kiswahili
 
Vilaza tupu.
Kinacho takiwa kuelewa kakusudia nn kwanza hii rugha ya kiswahili maneno mengi yaliomo humo sio asili yetu sijui unacho shangaa au ni ujuaji kunifanya msomile kumbe tutusa tu
 
Kinacho takiwa kuelewa kakusudia nn kwanza hii rugha ya kiswahili maneno mengi yaliomo humo sio asili yetu sijui unacho shangaa au ni ujuaji kunifanya msomile kumbe tutusa tu
Mkuu, nini hii umeandika?
 
Back
Top Bottom