Hivi hizi taa za kuongozea magari zinazofungwa sasa hapa Dar zimefanyiwa Tathmini au ni Upigaji?

Sasa yafaa nini kuweka zote hizo?
Hizi za Morocco zina afadhali ujue
Wameamua kuzingatia watembea kwa miguu. Kitu tofauti na sehemu nyingine ni hizo taa za vivuko vya watembea kwa miguu tu. Ngoja tuone zikianza kufanya kazi itakuwaje.
 
Ndiyo uwezo wetu wa wahandisi..Na mlimani city Kuna taa juu ya taa yaani kwenye zebra Kuna taa na mbele kama mita kumi taa Tena.
 
Ndiyo uwezo wetu wa wahandisi..Na mlimani city Kuna taa juu ya taa yaani kwenye zebra Kuna taa na mbele kama mita kumi taa Tena.
Ufanisi wake ukoje?
 
😹😹😹 Yule mbunge alitaka kumalizia story sema waungwana mkamletea nongwa ikabidi ahirishe.!!
Tlaatlaah unaitwa huku
tell and assure the gentleman,

kama ananinizungumzia mimi,
mueleze bayana kwamba mimi si wa mchongo,
mimi ni Kiongozi wa wanainchi mnyonge sana, mwenye bidii halisi na asie choka, kimwili na kiroho, kisiasa, kijamii, kitaifa na kimataifa

kwasasa niko bize kidogo na mavuno kwa takribani mwezi mzima, sijaonekana hafla nyingi za kitaifa na kimataifa lakini nipo Kamili kwenye utumishi wa chama na serikali,

na kwenye maombi na maombezi sikosi, huko kwa kazi ya kufundisha vyuo vikuu mpaka October tena πŸ’

kwahivyo kwa ujumla nipo ni mejaa tele na mimi ni halisi sio wa mchongo πŸ’
 
Niko hapa kukupigia kampeni
 
Honi za yutong nouma.!! Usiombe ukutane nazo asubuhi wanakupigia vinanda mwenyewe unawapisha πŸ˜‚

Sema mi nayaogopa malori hawachelewi kukuingiza uvunguni wale.!!
Ukipata chance nicheck sio lazima tufanyie Morogoro road, tunaweza kwenda hata mkuranga kibiti huko ma.
 
Au sio mh 😹😹
CCM oyeeeee.!!
Mitano tena
 
"Its look too much."❌

It looks too muchβœ”οΈ
 
Au sio mh 😹😹
CCM oyeeeee.!!
Mitano tena
na hiyo ni muhimu zaidi ikafahamika hivyo, na kukaa ndraani kabisa ya moyo wa kila Mtanzania mpaka kwenye sanduku la kura serikali za mitaa na uchaguzi mkuu πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…