tell and assure the gentleman,
kama ananinizungumzia mimi,
mueleze bayana kwamba mimi si wa mchongo,
mimi ni Kiongozi wa wanainchi mnyonge sana, mwenye bidii halisi na asie choka, kimwili na kiroho, kisiasa, kijamii, kitaifa na kimataifa
kwasasa niko bize kidogo na mavuno kwa takribani mwezi mzima, sijaonekana hafla nyingi za kitaifa na kimataifa lakini nipo Kamili kwenye utumishi wa chama na serikali,
na kwenye maombi na maombezi sikosi, huko kwa kazi ya kufundisha vyuo vikuu mpaka October tena 🐒
kwahivyo kwa ujumla nipo ni mejaa tele na mimi ni halisi sio wa mchongo 🐒