Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa

Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa

pesa ya kujenga vyuma kama vile haiwezekaniki bila kuwa aidha mwekezaji, Fisadi, muuza madawa, mfanyabiashara wa madini, Mwanasiasa mlafi, mzee wa dili haramu na katili, mzee wa kuzamisha wavuni mipira....
....wauza vitabu vya kijasusi mtandaoni tu, watibeli....

weka namba ya simu watu wanunue hiko kiwanja
 
Mi miaka ile ya 2005 nikawa nimeuza nyumba moja maeneo ya arusha nikaja kununua viwanja vinne JKT beach plot nilichekwa sana enzi zile. Kulikuwa por tupu. Lakin hesabu zangu ni kuwa mbweni jkt ndio eneo Dar lililo karibu na lenye beach so soon kutakuwa moto. Namshukuru Mungu aisee. Kuna eneo lingine watu hawajustuka soon wataanza kuongea. Kijana wetu wa Leo unajiona wapi miaka 10 ijayo ukijiangalia leo. Why don't u start today guys. Kila kitu kiko mbele yako anzia ulipo Mungu anabariki ni hakika.
Mkuu embu fungua hii code bas tupate kitu😒 dar bila 100M hupat uwanja wa maana la sivyo utaishi uswahilini
 
Back
Top Bottom