Karibu kwangu Ilazo Dodoma mkuu....Jidanganye sasa kuwa hutazikwa na nyumba uone utavyoteseka sana kuishi miaka mingi hadi kukufuru kwanini haufi ilihali nguvu zitakuwa hazipo wala chapaa uzeeni [emoji23]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Picha ziko wapiHabari za Sabato Wakuu!
Wiki nzima hii nilikuwa huku Mbweni, ninakijiplot changu. Sasa kwa hali niliyoikuta nimejikuta ninakata tamaa.
Aiseeh! Hawa majirani zangu sio Pouwa. Hii mijengo walioidondosha na wanaoidondosha sio Pouwa! Unaweza ukadhani upo kwenye filamu za kinaijeria.
Hapa nashauriwa niuze hiki kiwanja kwa sababu pesa ya kujenga vyuma kama vile haiwezekaniki bila kuwa aidha mwekezaji, Fisadi, muuza madawa, mfanyabiashara wa madini, Mwanasiasa mlafi, mzee wa dili haramu na katili, mzee wa kuzamisha wavuni mipira iliyokufa na Watu wa aina hiyo.
Magari yanayopita huku ni magari mazito, Chris Lukosi huita madungu jeshi.
Hivi kweli hawa wanaojenga huku Mbweni ni Watanzania kweli? Maana umaskini wa nchi yetu na hizi nyumba huku ni mbingu na ardhi.
Santeni
So far, best categorizationIko hivi Mkuu, wapiga madili wa nchi hii walishagawana maeneo yao ya kujenga, wale wa kipindi cha nyerere na kuanzia mwinyi wanakaa na wamejenga masaki na osterbay, late mwinyi na kuanzia kwa Mkapa wamejenga Msasani na Mikocheni, late Mkapa na Kikwete wamejenga mbezi Beach na ununio, hawa wa JPM na Mama ndo huko Mbweni sasa. Na wanajenga nyumba kwa miezi mitatu hadi finishing na miti wananunua iliyostawi kabisa hawataki shida.
Na wewe ninakuweka kwenye kundi lao Mkuu
Unatakiwa kufurahi kuwa plot yako ipo kwenye eneo zuri, kama huna uwezo wa kuijenga iweke for Sale, utauza pesa ndefu sana na kuweza kupata plot sehemu ya kawaida ukajenge nyumba nzuri.
Unaweza kuuza hata 500m, wenye hela wanaangalia mazingira tu. Wewe nenda sehemu nzuri ukanunue eneo zuri na kubwa ufanye maisha.
Usijifosi kuishi mazingira huwezi kumudu(huendani nayo)
Tayari baraka unazo mkuuKundi lao kivipi mkuu.
Au unaniombea baraka?
Tayari baraka unazo mkuu
Huko mbweni bila "D" tatu za masomo ya sayansi huwezi elewaHabari za Sabato Wakuu!
Wiki nzima hii nilikuwa huku Mbweni, ninakijiplot changu. Sasa kwa hali niliyoikuta nimejikuta ninakata tamaa.
Aiseeh! Hawa majirani zangu sio Pouwa. Hii mijengo walioidondosha na wanaoidondosha sio Pouwa! Unaweza ukadhani upo kwenye filamu za kinaijeria.
Hapa nashauriwa niuze hiki kiwanja kwa sababu pesa ya kujenga vyuma kama vile haiwezekaniki bila kuwa aidha mwekezaji, Fisadi, muuza madawa, mfanyabiashara wa madini, Mwanasiasa mlafi, mzee wa dili haramu na katili, mzee wa kuzamisha wavuni mipira iliyokufa na Watu wa aina hiyo.
Magari yanayopita huku ni magari mazito, Chris Lukosi huita madungu jeshi.
Hivi kweli hawa wanaojenga huku Mbweni ni Watanzania kweli? Maana umaskini wa nchi yetu na hizi nyumba huku ni mbingu na ardhi.
Santeni
sio mbaya kama utakuwa mfano wa fukara anaeishi mtaa wa Ma DonKunidhulumu hawawezi.
Ila nahisi nitatia aibu na kuaibisga huu mtaa.
Nitaishije na familia yangu katikati ya haya majengo
Sijaambulia kitu walahi....ufafanuzi plz ni watu gani hao usikute ndo majirani zangu hapa!mzee wa kuzamisha wavuni mipira iliyokufa
Wenye nchi akiwemo sa100 ndo wenye hiyo mijengoHawa ingekuwa enzi zetu za ujamaa tungewatia kashkashi waeleze wamepata wapi hela za kujenga hayo mahekalu
Atamtafuta Jerry Slaa muda si mrefu😂Kwa huko kwako kupenda kusema kweli sijui haki, uza tu hicho kiwanja la sivyo utasaidiwa kuuza na pesa usipate.
Eeh bwana nilipata same feeling ya Beverly Hills mkuu. Kweli we Mbweni umefika aisee.Haha dada angu nimekumiss siku hizi umekuwa kimya sana humu kulikoni
Mbweni siyo yote ni ushuani kuna mitaa ni uswahilini na viwanja bado vinapatikana kwa bei rafiki kidogo
Japo ni kweli watu wanajitahidi kujenga majumba ya kisasa kuna mtaa ukikataza unaweza hisi uko beverly hills california
Uzi upi huo nikacheke😀
Ni uzi wa mdau mwenye I'd hii:Nishasahau ni nani aliuweka. Jamaa aliandika kwa uchungu sana, alisema anafikiria kupauza 😅