Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa

Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa

Unatakiwa kufurahi kuwa plot yako ipo kwenye eneo zuri, kama huna uwezo wa kuijenga iweke for Sale, utauza pesa ndefu sana na kuweza kupata plot sehemu ya kawaida ukajenge nyumba nzuri.

Unaweza kuuza hata 500m, wenye hela wanaangalia mazingira tu. Wewe nenda sehemu nzuri ukanunue eneo zuri na kubwa ufanye maisha.

Usijifosi kuishi mazingira huwezi kumudu(huendani nayo)
 
Habari za Sabato Wakuu!

Wiki nzima hii nilikuwa huku Mbweni, ninakijiplot changu. Sasa kwa hali niliyoikuta nimejikuta ninakata tamaa.

Aiseeh! Hawa majirani zangu sio Pouwa. Hii mijengo walioidondosha na wanaoidondosha sio Pouwa! Unaweza ukadhani upo kwenye filamu za kinaijeria.

Hapa nashauriwa niuze hiki kiwanja kwa sababu pesa ya kujenga vyuma kama vile haiwezekaniki bila kuwa aidha mwekezaji, Fisadi, muuza madawa, mfanyabiashara wa madini, Mwanasiasa mlafi, mzee wa dili haramu na katili, mzee wa kuzamisha wavuni mipira iliyokufa na Watu wa aina hiyo.

Magari yanayopita huku ni magari mazito, Chris Lukosi huita madungu jeshi.

Hivi kweli hawa wanaojenga huku Mbweni ni Watanzania kweli? Maana umaskini wa nchi yetu na hizi nyumba huku ni mbingu na ardhi.

Santeni
Picha ziko wapi
 
Iko hivi Mkuu, wapiga madili wa nchi hii walishagawana maeneo yao ya kujenga, wale wa kipindi cha nyerere na kuanzia mwinyi wanakaa na wamejenga masaki na osterbay, late mwinyi na kuanzia kwa Mkapa wamejenga Msasani na Mikocheni, late Mkapa na Kikwete wamejenga mbezi Beach na ununio, hawa wa JPM na Mama ndo huko Mbweni sasa. Na wanajenga nyumba kwa miezi mitatu hadi finishing na miti wananunua iliyostawi kabisa hawataki shida.
So far, best categorization
 
Unatakiwa kufurahi kuwa plot yako ipo kwenye eneo zuri, kama huna uwezo wa kuijenga iweke for Sale, utauza pesa ndefu sana na kuweza kupata plot sehemu ya kawaida ukajenge nyumba nzuri.

Unaweza kuuza hata 500m, wenye hela wanaangalia mazingira tu. Wewe nenda sehemu nzuri ukanunue eneo zuri na kubwa ufanye maisha.

Usijifosi kuishi mazingira huwezi kumudu(huendani nayo)

Nataka kuiga kunya kwa tembo lakini naona uzalendo unanishinda
 
Habari za Sabato Wakuu!

Wiki nzima hii nilikuwa huku Mbweni, ninakijiplot changu. Sasa kwa hali niliyoikuta nimejikuta ninakata tamaa.

Aiseeh! Hawa majirani zangu sio Pouwa. Hii mijengo walioidondosha na wanaoidondosha sio Pouwa! Unaweza ukadhani upo kwenye filamu za kinaijeria.

Hapa nashauriwa niuze hiki kiwanja kwa sababu pesa ya kujenga vyuma kama vile haiwezekaniki bila kuwa aidha mwekezaji, Fisadi, muuza madawa, mfanyabiashara wa madini, Mwanasiasa mlafi, mzee wa dili haramu na katili, mzee wa kuzamisha wavuni mipira iliyokufa na Watu wa aina hiyo.

Magari yanayopita huku ni magari mazito, Chris Lukosi huita madungu jeshi.

Hivi kweli hawa wanaojenga huku Mbweni ni Watanzania kweli? Maana umaskini wa nchi yetu na hizi nyumba huku ni mbingu na ardhi.

Santeni
Huko mbweni bila "D" tatu za masomo ya sayansi huwezi elewa
 
Kaa apo hadi walete ofa ya maana iyo ni pesa iyo kila siku thamani ya eneo ina ongezeka .
 
Haha dada angu nimekumiss siku hizi umekuwa kimya sana humu kulikoni

Mbweni siyo yote ni ushuani kuna mitaa ni uswahilini na viwanja bado vinapatikana kwa bei rafiki kidogo

Japo ni kweli watu wanajitahidi kujenga majumba ya kisasa kuna mtaa ukikataza unaweza hisi uko beverly hills california
Eeh bwana nilipata same feeling ya Beverly Hills mkuu. Kweli we Mbweni umefika aisee.
 
Back
Top Bottom