huko kitunda kivule wanaishi low income earners wengi uchawi haukosekani na vigagulaView attachment 2955679
kuna hiki kiwanja hapa kipo... karibia na kitunda, kivule kilomita chache ukiwa unatokea banana.... kina ukubwa wa MITA 25*30 kinahitaji 25m tu...!
View attachment 2955685urefu wake ni kuanzia hiyo nguzo u nayo iona hadi ile nguzo ya juu kule ya umeme...
Bila picha hainogi...Habari za Sabato Wakuu!
Wiki nzima hii nilikuwa huku Mbweni, ninakijiplot changu. Sasa kwa hali niliyoikuta nimejikuta ninakata tamaa.
Aiseeh! Hawa majirani zangu sio Pouwa. Hii mijengo walioidondosha na wanaoidondosha sio Pouwa! Unaweza ukadhani upo kwenye filamu za kinaijeria.
Hapa nashauriwa niuze hiki kiwanja kwa sababu pesa ya kujenga vyuma kama vile haiwezekaniki bila kuwa aidha mwekezaji, Fisadi, muuza madawa, mfanyabiashara wa madini, Mwanasiasa mlafi, mzee wa dili haramu na katili, mzee wa kuzamisha wavuni mipira iliyokufa na Watu wa aina hiyo.
Magari yanayopita huku ni magari mazito, Chris Lukosi huita madungu jeshi.
Hivi kweli hawa wanaojenga huku Mbweni ni Watanzania kweli? Maana umaskini wa nchi yetu na hizi nyumba huku ni mbingu na ardhi.
Santeni
Mbweni JKT kwa ukubwa huo hahizidi 80m kule kwa Mama viwanja vikubwa ndio 200mUnatakiwa kufurahi kuwa plot yako ipo kwenye eneo zuri, kama huna uwezo wa kuijenga iweke for Sale, utauza pesa ndefu sana na kuweza kupata plot sehemu ya kawaida ukajenge nyumba nzuri.
Unaweza kuuza hata 500m, wenye hela wanaangalia mazingira tu. Wewe nenda sehemu nzuri ukanunue eneo zuri na kubwa ufanye maisha.
Usijifosi kuishi mazingira huwezi kumudu(huendani nayo)
Oohh okay usipotee sana jamaniNipo Mdogo wangu...Nilichukua break kidogo humu nimerudi...
Umenikumbusha Kuna sehemu pia Goba huko kunaitwa Goba Maghorofani...Hakuna nyumba ya chini hata moja....nyumba huko ni Maghofa tu.
Ahsante sana Mama la Mama, nikitimba tu Dodoma nitakucheki Mtani wangu.Karibu kwangu Ilazo Dodoma mkuu....
Sisi tuko Mbweni uswahilini 😂😂Wasiokujua ndiyo uwaambie hayo maneno...Sawa eee[emoji2]
Hata Mama Samia Private residence yake ni hukohuko Mbweni.Habari za Sabato Wakuu!
Wiki nzima hii nilikuwa huku Mbweni, ninakijiplot changu. Sasa kwa hali niliyoikuta nimejikuta ninakata tamaa.
Aiseeh! Hawa majirani zangu sio Pouwa. Hii mijengo walioidondosha na wanaoidondosha sio Pouwa! Unaweza ukadhani upo kwenye filamu za kinaijeria.
Hapa nashauriwa niuze hiki kiwanja kwa sababu pesa ya kujenga vyuma kama vile haiwezekaniki bila kuwa aidha mwekezaji, Fisadi, muuza madawa, mfanyabiashara wa madini, Mwanasiasa mlafi, mzee wa dili haramu na katili, mzee wa kuzamisha wavuni mipira iliyokufa na Watu wa aina hiyo.
Magari yanayopita huku ni magari mazito, Chris Lukosi huita madungu jeshi.
Hivi kweli hawa wanaojenga huku Mbweni ni Watanzania kweli? Maana umaskini wa nchi yetu na hizi nyumba huku ni mbingu na ardhi.
Santeni
Kwani kariakoo bado kuna viwanjaKuna jamaa angu anajilaumu hadi leo hii kushindwa kununua Kiwanja Kariakoo miaka ya 98, anasema alipata mtu anataka kumuuzia bei nzuri lakini alikataa.
Leo hii 2024 huwezi kumudu gharama ya Kiwanja Kariakoo 🙌
uchawi ni vitu vya kusadikika mkuuhuko kitunda kivule wanaishi low income earners wengi uchawi haukosekani na vigagula
Hadi M 30 vipo mkuu ila sijajua hicho kina ukubwa gani ila hakifiki SQM 1000Kiwanja kinauzwa wastani wa bei gani ?
Ni juhudi za serikali ya awamu ya sita hizo. Kule wanaendesha ndinga number plate E series wote.Habari za Sabato Wakuu!
Wiki nzima hii nilikuwa huku Mbweni, ninakijiplot changu. Sasa kwa hali niliyoikuta nimejikuta ninakata tamaa.
Aiseeh! Hawa majirani zangu sio Pouwa. Hii mijengo walioidondosha na wanaoidondosha sio Pouwa! Unaweza ukadhani upo kwenye filamu za kinaijeria.
Hapa nashauriwa niuze hiki kiwanja kwa sababu pesa ya kujenga vyuma kama vile haiwezekaniki bila kuwa aidha mwekezaji, Fisadi, muuza madawa, mfanyabiashara wa madini, Mwanasiasa mlafi, mzee wa dili haramu na katili, mzee wa kuzamisha wavuni mipira iliyokufa na Watu wa aina hiyo.
Magari yanayopita huku ni magari mazito, Chris Lukosi huita madungu jeshi.
Hivi kweli hawa wanaojenga huku Mbweni ni Watanzania kweli? Maana umaskini wa nchi yetu na hizi nyumba huku ni mbingu na ardhi.
Santeni
Bunju 'B'Kakae sehemu unayofanana na mjirani zako
Kakudanganya huyo, hata mchikichini kwenye skwata huwa wanajiona wapo kariakoo.Kuna jamaa angu anajilaumu hadi leo hii kushindwa kununua Kiwanja Kariakoo miaka ya 98, anasema alipata mtu anataka kumuuzia bei nzuri lakini alikataa.
Leo hii 2024 huwezi kumudu gharama ya Kiwanja Kariakoo 🙌
Uza hapo hiçho kiwanja pesa utakayopata unañunuwa kiwanja Kinyerezi na unajenga nyumba nzuri Kwa millioni 35 tu.Kundi lao kivipi mkuu.
Au unaniombea baraka?