Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbweni kiwanja milioni 150 bro.Zamani wakati mambo ya Picnic ndio ilikuwa fashion tulikuwa tukienda ndege Beach, Mbweni palikuwa porini.
Hiyo value ya Mbweni si ya miaka mingi Sana
Mama la mama,Santeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila haya mambo ya ujenzi! Jirani yangu Dodoma tunayetazamana/tumetengwa na barabara ya mtaa kaangusha kitu cha hatari, jirani yangu ubavuni ni Makonda! Mimi jeeee!? [emoji1787]
Ya aje rafiki?Mama la mama,
hapo kwako hakuna kazi
Uza kiwanja uhamie Buza mkuuHabari za Sabato Wakuu!
Wiki nzima hii nilikuwa huku Mbweni, ninakijiplot changu. Sasa kwa hali niliyoikuta nimejikuta ninakata tamaa.
Aiseeh! Hawa majirani zangu sio Pouwa. Hii mijengo walioidondosha na wanaoidondosha sio Pouwa! Unaweza ukadhani upo kwenye filamu za kinaijeria.
Hapa nashauriwa niuze hiki kiwanja kwa sababu pesa ya kujenga vyuma kama vile haiwezekaniki bila kuwa aidha mwekezaji, Fisadi, muuza madawa, mfanyabiashara wa madini, Mwanasiasa mlafi, mzee wa dili haramu na katili, mzee wa kuzamisha wavuni mipira iliyokufa na Watu wa aina hiyo.
Magari yanayopita huku ni magari mazito, Chris Lukosi huita madungu jeshi.
Hivi kweli hawa wanaojenga huku Mbweni ni Watanzania kweli? Maana umaskini wa nchi yetu na hizi nyumba huku ni mbingu na ardhi.
Santeni
Weka bei ya hiyo ardhi yako chap tumalizane.Habari za Sabato Wakuu!
Wiki nzima hii nilikuwa huku Mbweni, ninakijiplot changu. Sasa kwa hali niliyoikuta nimejikuta ninakata tamaa.
Aiseeh! Hawa majirani zangu sio Pouwa. Hii mijengo walioidondosha na wanaoidondosha sio Pouwa! Unaweza ukadhani upo kwenye filamu za kinaijeria.
Hapa nashauriwa niuze hiki kiwanja kwa sababu pesa ya kujenga vyuma kama vile haiwezekaniki bila kuwa aidha mwekezaji, Fisadi, muuza madawa, mfanyabiashara wa madini, Mwanasiasa mlafi, mzee wa dili haramu na katili, mzee wa kuzamisha wavuni mipira iliyokufa na Watu wa aina hiyo.
Magari yanayopita huku ni magari mazito, Chris Lukosi huita madungu jeshi.
Hivi kweli hawa wanaojenga huku Mbweni ni Watanzania kweli? Maana umaskini wa nchi yetu na hizi nyumba huku ni mbingu na ardhi.
Santeni
😂😂😂Hahahahahaaa
Umeamua kumpa za uso mchana mchana
Kama weweWakazi wengi wa mbweni ni
Tiss
Majenerali wa JWTZ
Ikulu nk
Sasa umenunua kiwanja 32m unakosaje mbavu za kujenga kitu cha maana hata mdogomdogo? Usije ifedhehesha familia yako ukajenga kitu cha ajabu ukawa maskini wa mtaa....wataishi kinyonge maisha yao yote. Mimi nakumbuka enzi za utoto kuna jirani nyumba yao ilikuaga duni afu haikuaga na umeme,mpaka tumekua wakubwa na jamaa wanamaisha yao ila ile picha ya kuwa jamaa walikuaga wanyonge wa mtaa haijapotea..na wao imewaathiri kiaina japo saizi wanamaisha poa walisawazisha baada ya kumaliza vyuo na kupata ajira...na dada yao mkubwa yuko US
Kama una 50mil kuna kiwanja Goba Kulangwa, mita 100 kutoka barabara ya lami ya Goba kwenda Madale, ukubwa ni 600sqms.Mkuu embu fungua hii code bas tupate kitu😒 dar bila 100M hupat uwanja wa maana la sivyo utaishi uswahilini
Ok, nikiuona nitaku tagNimeutafuta uzi sijauona naomba tag yako tafadhali🙏🏻
Haha ninyi ndio mnaponza wenzenu watu humu watadhani mimi kweli wa kishua halafu wakija kunifahamu nje ya jf wanakuta kumbe ni mpuuzi mmoja tu asiye na maajabu yoyote, mkuu trust me mimi siyo wa kishua Mbweni kuna mitaa ni uswahilini typical kama unabisha funga safari uje ujionee hiyo mitaa mwenyewe, mimi wala sina ushua wowote sisi ni masikini wenye unafuu tu wewe ndio unaonekana kwenu wa kishua ila unatuchora tu hapa 😀😀Kishua wanajulikana tu, mboga nane huwa mnakuwaga na tumaneno au tukauli unajua kabisa huyu mtoto hata joto la jua la Dar halimtesi kabisa ndani AC, akitoka nje yupo kwenye Alphard ya mshua kiyoyozi mwaaah. Wakishua acha kutusolola mboga moja bakuli size ya kikombe cha kahawa ugali mlima hadi humuoni wa upande wa pili, mixer mbonga unajitafutia mwenyewe ugali utapewa bure.
Ntakutafuta unipe hata kazi ya udereva tuwe tunabishana kwenye gari lenu.
Kuna mtu anauza maeneo yale kwasababu ameona hawezi kujenga kama walivyojenga majirani.Nipo Mdogo wangu...Nilichukua break kidogo humu nimerudi...
Umenikumbusha Kuna sehemu pia Goba huko kunaitwa Goba Maghorofani...Hakuna nyumba ya chini hata moja....nyumba huko ni Maghofa tu.
Hapo kwa wanaojenga hiyo mijengo mikali umesahau na wale wazee wanaolala na chatu...Habari za Sabato Wakuu!
Wiki nzima hii nilikuwa huku Mbweni, ninakijiplot changu. Sasa kwa hali niliyoikuta nimejikuta ninakata tamaa.
Aiseeh! Hawa majirani zangu sio Pouwa. Hii mijengo walioidondosha na wanaoidondosha sio Pouwa! Unaweza ukadhani upo kwenye filamu za kinaijeria.
Hapa nashauriwa niuze hiki kiwanja kwa sababu pesa ya kujenga vyuma kama vile haiwezekaniki bila kuwa aidha mwekezaji, Fisadi, muuza madawa, mfanyabiashara wa madini, Mwanasiasa mlafi, mzee wa dili haramu na katili, mzee wa kuzamisha wavuni mipira iliyokufa na Watu wa aina hiyo.
Magari yanayopita huku ni magari mazito, Chris Lukosi huita madungu jeshi.
Hivi kweli hawa wanaojenga huku Mbweni ni Watanzania kweli? Maana umaskini wa nchi yetu na hizi nyumba huku ni mbingu na ardhi.
Santeni
Nitakuja ila nitabeba na vyeti kabisa just in case umetupiga kamba hapa.Haha ninyi ndio mnaponza wenzenu watu humu watadhani mimi kweli wa kishua halafu wakija kunifahamu nje ya jf wanakuta kumbe ni mpuuzi mmoja tu asiye na maajabu yoyote, mkuu trust me mimi siyo wa kishua Mbweni kuna mitaa ni uswahilini typical kama unabisha funga safari uje ujionee hiyo mitaa mwenyewe, mimi wala sina ushua wowote sisi ni masikini wenye unafuu tu wewe ndio unaonekana kwenu wa kishua ila unatuchora tu hapa [emoji3][emoji3]