Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa

Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa

Vijana kutwaa jamii forum...pesa hamna ni umbeya tuu.,,hakuna serikali itakayo pambana nq familia yako bila ww kujitoa.,,kila kitu kinawezekana...pesa lazima iwe pesa..wenye akil ni wengi hivyo bas ili upate pesa wanahitajika wajanja...
 
Nilikuwa huko dsm miaka kadhaa imepita,ndugu yangu nilifikia kwake akanipeleka nicheck mjeiii wake hapo mbweni,wakati huo hata Magu hajaingia,
Alinambia kiwanja pekee 37M.

Banaaaa,nilijiona natakiwa kuongeza bidii sababu hata walioko abrodiiio hawafit,hongereni sana watz wenzetu.

Sasa hivi nahisi imeongezeka maradufu.
 
Iko hivi Mkuu, wapiga madili wa nchi hii walishagawana maeneo yao ya kujenga, wale wa kipindi cha nyerere na kuanzia mwinyi wanakaa na wamejenga masaki na osterbay, late mwinyi na kuanzia kwa Mkapa wamejenga Msasani na Mikocheni, late Mkapa na Kikwete wamejenga mbezi Beach na ununio, hawa wa JPM na Mama ndo huko Mbweni sasa. Na wanajenga nyumba kwa miezi mitatu hadi finishing na miti wananunua iliyostawi kabisa hawataki shida.
Viwanja vya mbweni watu walishavispot kitambo sana tokea longtime
Maeneo mazuri yote watu vigogo walishajipigia mapande wanavutana tu ......kuitana

Ova
 
Sasa umenunua kiwanja 32m unakosaje mbavu za kujenga kitu cha maana hata mdogomdogo? Usije ifedhehesha familia yako ukajenga kitu cha ajabu ukawa maskini wa mtaa....wataishi kinyonge maisha yao yote. Mimi nakumbuka enzi za utoto kuna jirani nyumba yao ilikuaga duni afu haikuaga na umeme,mpaka tumekua wakubwa na jamaa wanamaisha yao ila ile picha ya kuwa jamaa walikuaga wanyonge wa mtaa haijapotea..na wao imewaathiri kiaina japo saizi wanamaisha poa walisawazisha baada ya kumaliza vyuo na kupata ajira...na dada yao mkubwa yuko US
Kuna watu Wana fikra za ajabu sana......yaani unakosaje raha kwa kuwa tu unaishi kwenye makazi duni kwa kujiringanisha na wengine.........??
 
Usiuze wewe jenga kutokana na uwezo wako, watoto wako ndo watafaidi hicho kiwanja na watakushukuru kwa kununua huko.
Usiwe na mawazo ya kuwaza vitu vidogo uwezo wako huo mdogo, do big things.

Tena sisi ambao hatuna pesa, tuna pesa za kudunduliza ndo tunafanya big things.

Miaka mi 3 ilopita nilikutana na ramani mtandaoni nikasema nitajenga nyumba kama hii, ile ramani ni kaliiiiiii balaa akijenga tajiri akakufulu.
2021 hiyo nikaweka msingi tu, nikatulia wakaongea weee ,oh kujidai hii nyumba ataiwezea wapi? Nyumba kubwa kama kanisa yetu macho msingi utamaliza miaka 20🤣 nyumba ina kona kama barabara 😅
Mungu sio ldi juzi nikaenda nikanyanyua nikaipiga lenta mbili, ninavyoongea muda huu majirani hawanisalimii.

Soon naezeka afu natulia niwape nafasi ya kukaa vikao tena. Nahitaji bati kama 150. Maana kutokana na ile design zinakatwa sana.
Sina haraka nikipata laki 5 nafanya kidogo. Hela za kufanya kwa mkupuo sina ila lazima nifike malengo, haijalishi itachukua miaka mingapi.

Sasa wewe umeweza nunua kiwanja mil 32 utashindwa kujenga nyumba nzuri kisa majirani ji mataita?
Unatakiwa kuishi na hao hao la muhimu tafuta ramani nzuri.

Sisi ambao tunadunduliza ndo tunafanya vitu vikali usiogope. Kula kutokana na urefu wa kamba yako.

Mimi sijawahi kuwaza vitu vidogo ningekuwa na hela kama ninavyoona watu wanachezea hela ningefanyaga vitu vikubwa.

N.b usijinyime ukala vibaya kisa unaserv kwa ajili ya kujenga, kula vizuri fanya mazoezi, kunywa maji mengi sana, tumbo mdo tutaenda nalo kaburini, nyumba na magari vitabaki vikigombaniwa dunia.

Mbinguni hakuna hotel.
 
Haina haja ya kuogopa,
Hiyo pesa unaweza kujenga nyumba ya kawaida ila ya viwango ( yenye muonekano mzuri sana )

Tafuta kampuni ya ujenzi nzuri ( Kampuni zipo nyingi sasa hivi na wanafanya kazi kwa ushindani mkubwa ),
Hiyo pesa wanakujengea nyumba ambayo hata hao wanaomiliki mahekalu watatamani nyumba yako hiyo ndogo.
Milioni 70 ni pesa ndogo sana kujenga nyumba kwa sasa, ukiniambia pagale nitaakuelewa!!
Nondo 12 mm huku nilipo ni karibu 23000, saruji 16000 shilingi
 
Usiuze wewe jenga kutokana na uwezo wako, watoto wako ndo watafaidi hicho kiwanja na watakushukuru kwa kununua huko.
Usiwe na mawazo ya kuwaza vitu vidogo uwezo wako huo mdogo, do big things.

Tena sisi ambao hatuna pesa, tuna pesa za kudunduliza ndo tunafanya big things.

Miaka mi 3 ilopita nilikutana na ramani mtandaoni nikasema nitajenga nyumba kama hii, ile ramani ni kaliiiiiii balaa akijenga tajiri akakufulu.
2021 hiyo nikaweka msingi tu, nikatulia wakaongea weee ,oh kujidai hii nyumba ataiwezea wapi? Nyumba kubwa kama kanisa yetu macho msingi utamaliza miaka 20[emoji1787] nyumba ina kona kama barabara [emoji28]
Mungu sio ldi juzi nikaenda nikanyanyua nikaipiga lenta mbili, ninavyoongea muda huu majirani hawanisalimii.

Soon naezeka afu natulia niwape nafasi ya kukaa vikao tena. Nahitaji bati kama 150. Maana kutokana na ile design zinakatwa sana.
Sina haraka nikipata laki 5 nafanya kidogo. Hela za kufanya kwa mkupuo sina ila lazima nifike malengo, haijalishi itachukua miaka mingapi.

Sasa wewe umeweza nunua kiwanja mil 32 utashindwa kujenga nyumba nzuri kisa majirani ji mataita?
Unatakiwa kuishi na hao hao la muhimu tafuta ramani nzuri.

Sisi ambao tunadunduliza ndo tunafanya vitu vikali usiogope. Kula kutokana na urefu wa kamba yako.

Mimi sijawahi kuwaza vitu vidogo ningekuwa na hela kama ninavyoona watu wanachezea hela ningefanyaga vitu vikubwa.

N.b usijinyime ukala vibaya kisa unaserv kwa ajili ya kujenga, kula vizuri fanya mazoezi, kunywa maji mengi sana, tumbo mdo tutaenda nalo kaburini, nyumba na magari vitabaki vikigombaniwa dunia.

Mbinguni hakuna hotel.

Hawakusalimii kwa nini? Utaishi kwa shida sana hapo
 
Haina haja ya kuogopa,
Hiyo pesa unaweza kujenga nyumba ya kawaida ila ya viwango ( yenye muonekano mzuri sana )

Tafuta kampuni ya ujenzi nzuri ( Kampuni zipo nyingi sasa hivi na wanafanya kazi kwa ushindani mkubwa ),
Hiyo pesa wanakujengea nyumba ambayo hata hao wanaomiliki mahekalu watatamani nyumba yako hiyo ndogo.
Niunganishe na hao jamaa
 
Back
Top Bottom