Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa

Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa

Kuna jamaa angu anajilaumu hadi leo hii kushindwa kununua Kiwanja Kariakoo miaka ya 98, anasema alipata mtu anataka kumuuzia bei nzuri lakini alikataa.

Leo hii 2024 huwezi kumudu gharama ya Kiwanja Kariakoo [emoji119]
Mwaka 1998 kariakoo hakukuwa na KIWANJA kinachouzwa plain na hata ukirudi 1988 pia hakukuwa na kiwanja kariakoo kinachouzwa plain
Mwananyamala yenyewe acha magomeni viwanja plain vilianza kuuzwa miaka ya 60
Hata hizo squatter area unaziona Katikati ya jiji like Tandale keko nk viwanja vilipatikana kuanzia miaka ya 70
miaka ya 98 ni juzi sana na bado kariakoo ilikuwa juu japo nyumba za miti udongo(zilipigwa plasta na Cement zilikuwa nyingi) maghorofa machache
Labda useme alipata BANDA kwa bei nafuu mana miaka hiyo wamiliki wenywe halisi wengi walikuwa wapo hai hvyo alimpata mtu mwenye BANDA lake akataka kumuuzia kwa bei nafuu lakini kwa wakati huo pesa ilikuwa nyingi na huyo jamaa yako lazima alikuwa vizuri laki i si kwa pesa ndogo
Ilikuwa kununua nyumba kkoo ilikuwa lazima uwe kibopa kweli kweli 7bu nyumba moja ukiuza kkoo miaka hiyo ya 98 ulikuwa unaweza kununu nyumba mbili mpk tatu maeneo ya mwananyamala kinondoni au magomeni
 
Mwaka 1998 kariakoo hakukuwa na KIWANJA kinachouzwa plain na hata ukirudi 1988 pia hakukuwa na kiwanja kariakoo kinachouzwa plain
Mwananyamala yenyewe acha magomeni viwanja plain vilianza kuuzwa miaka ya 60
Hata hizo squatter area unaziona Katikati ya jiji like Tandale keko nk viwanja vilipatikana kuanzia miaka ya 70
miaka ya 98 ni juzi sana na bado kariakoo ilikuwa juu japo nyumba za miti udongo(zilipigwa plasta na Cement zilikuwa nyingi) maghorofa machache
Labda useme alipata BANDA kwa bei nafuu mana miaka hiyo wamiliki wenywe halisi wengi walikuwa wapo hai hvyo alimpata mtu mwenye BANDA lake akataka kumuuzia kwa bei nafuu lakini kwa wakati huo pesa ilikuwa nyingi na huyo jamaa yako lazima alikuwa vizuri laki i si kwa pesa ndogo
Ilikuwa kununua nyumba kkoo ilikuwa lazima uwe kibopa kweli kweli 7bu nyumba moja ukiuza kkoo miaka hiyo ya 98 ulikuwa unaweza kununu nyumba mbili mpk tatu maeneo ya mwananyamala kinondoni au magomeni
Nakubaliana na wewe, alipata kibanda cha Mzee mmoja ambaye alikuwa anahitaji Hela ya matibabu by then

Kwasasa ana Juta sana kuikosa ile plot 🙌
 
Magari yanayopita huku ni magari mazito, Chris Lukosi huita madungu jeshi.
Hata Chris Lukosi nae amejenga bonge la mansion mbweni.

Aisee huko waliojenga 90% ni watu walio kwenye mfumo -viongozi wa chama na serikali na TEETH ,hiyo 10% ndiyo hao waliobakia na diaspora/CEOs/MDs.

Pale alipojenga Samia Mansion lake amezungukwa na viongozi wakubwa wenzake wa chama na serikali.

Mtibeli na wewe ni fisadi umepataje kiwanja mbweni?

-Mbweni JKT Price range 80 -500m
-Mbweni Malindi 80 -150m
-Mbweni Mpiji 50-100m
 
Habari za Sabato Wakuu!

Wiki nzima hii nilikuwa huku Mbweni, ninakijiplot changu. Sasa kwa hali niliyoikuta nimejikuta ninakata tamaa.

Aiseeh! Hawa majirani zangu sio Pouwa. Hii mijengo walioidondosha na wanaoidondosha sio Pouwa! Unaweza ukadhani upo kwenye filamu za kinaijeria.

Hapa nashauriwa niuze hiki kiwanja kwa sababu pesa ya kujenga vyuma kama vile haiwezekaniki bila kuwa aidha mwekezaji, Fisadi, muuza madawa, mfanyabiashara wa madini, Mwanasiasa mlafi, mzee wa dili haramu na katili, mzee wa kuzamisha wavuni mipira iliyokufa na Watu wa aina hiyo.

Magari yanayopita huku ni magari mazito, Chris Lukosi huita madungu jeshi.

Hivi kweli hawa wanaojenga huku Mbweni ni Watanzania kweli? Maana umaskini wa nchi yetu na hizi nyumba huku ni mbingu na ardhi.

Santeni
Nigeria ndio wana majumba mazuri? Kweli unakuwa kile unachoangalia.
 
Haha dada angu nimekumiss siku hizi umekuwa kimya sana humu kulikoni

Mbweni siyo yote ni ushuani kuna mitaa ni uswahilini na viwanja bado vinapatikana kwa bei rafiki kidogo

Japo ni kweli watu wanajitahidi kujenga majumba ya kisasa kuna mtaa ukikatiza unaweza hisi uko beverly hills california

Mbweni gani Uswahilini? Au Mbweni Kijijini pasipo Pimwa?
 
Nipo Mdogo wangu...Nilichukua break kidogo humu nimerudi...

Umenikumbusha Kuna sehemu pia Goba huko kunaitwa Goba Maghorofani...Hakuna nyumba ya chini hata moja....nyumba huko ni Maghofa tu.

Hahaa zipo za chini ila ni wale waliojenga zamani ila new comers wote wanapanda hewani....Kinzudi -Maghorofani.
 
Haha dada angu nimekumiss siku hizi umekuwa kimya sana humu kulikoni

Mbweni siyo yote ni ushuani kuna mitaa ni uswahilini na viwanja bado vinapatikana kwa bei rafiki kidogo

Japo ni kweli watu wanajitahidi kujenga majumba ya kisasa kuna mtaa ukikatiza unaweza hisi uko beverly hills california
Mbweni ipi uswahilini? Mie siamini wallah.
 
Sehemu kama hiyo ukijenga Kibanda utapewa ujumbe wa nyumba kumi au Mwenyekiti wa serikali ya mtaa maana utaonekana una muda wa kufuatilia mambo ya watu,
Mkuu angalia sana nyumba yako isije kua ya mfano mbaya kwa wageni Yaan wakifika hapo wanaambiwa utaona nyumba ndogo chafu chafu [emoji23],
Uza hapo njoo Kigamboni ule upepo wa bahari bila bughza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom