Hivi huku ni kukosa Elimu kwa baadhi ya Watanzania au ni nini? Nimeshangaa sana!

Hivi huku ni kukosa Elimu kwa baadhi ya Watanzania au ni nini? Nimeshangaa sana!

Kwani utaalamu unaotumika kukadiria hiyo miaka una uhakikia gani kuwa wanapatia ...eti miaka Milioni 6 !😁😂😂
Hayo yote no kuffikirika tu
 
Waeleweshe kama unaelewa. Miaka 2021 tangu kuzaliwa Kristo. Wao ndio walianzisha hesabu hizi zinazotumika sasa sehemu kubwa ulimwenguni. Wachina wana hesabu zao, na Waislamu wana hesabu zao. Sasa kama kwa uelewa huo mdogo, kama Yesu alizaliwa ulimwengu upo, maana yake kuna muda mrefu nyuma yake.
 
Habarini wana jamvi...

Moja kwa moja kwenye mada husika....
Nilikuwa naperuzi kwenye mtandao mmoja maarufu na kukutana na habari ya kugunduliwa kwa mijusi (Dinosaurs) huko lindi ambao wanakadiriwa kuwepo miaka million 150 iliyopita...

Sasa kizaa zaa kikaanzia hapo watu kushangaa hio miaka eti sasa hivi ndio kwanza mwaka 2021, wanahoji hayo mamilioni ya miaka yametoka wapi?

Nimeishiwa na pozi kabisa yaani......

Kwa sisi tunao somea Geology (Jiolojia) hatubabaishwi kabisa na hizo data kwani dunia inakadiriwa kuwa na miaka bilioni 4.5..... So ndani ya huo muda vingi vimefanyika na kutokea

Nawasilisha

View attachment 1962274

View attachment 1962275

View attachment 1962276

View attachment 1962277
Acha ujuaji wewe,we mwenyewe unajiita mwanageolojia unahakika ngani kama hiyo mifupa 150milion umri wake? nawe si umekariri tu kutoka kwa wazungu hayo ni mambo ya kufikirika tu
 
Hawa watu inaonyesha hata elimu ya dini imewaangusha.
Theological dunia ina miaka elfu 6 ila hawa watu wanahesabu kuanzia tar 01.01.0001. wakijua sasa ina miaka elfu 2 tu.
Sayansi ndio ya kuisikiliza maana wsmekuja na utafiti sawia.
 
Waeleweshe kama unaelewa. Miaka 2021 tangu kuzaliwa Kristo. Wao ndio walianzisha hesabu hizi zinazotumika sasa sehemu kubwa ulimwenguni. Wachina wana hesabu zao, na Waislamu wana hesabu zao. Sasa kama kwa uelewa huo mdogo, kama Yesu alizaliwa ulimwengu upo, maana yake kuna muda mrefu nyuma yake.
Hata Waabeshi(Ethiopians), wana hesabu yao, yaani hii dunia tuliiikoroga wenyewe! 🤣 🤣 🤣
 
Bongo general knowledge ni kitu adimu sana, si kwa wasomi si kwa wasiosoma. Wanaamini kuhusu hekaya nk.

Mfano jaribu kumwambia graduate au hata prof wa bongo kuwa nyongo ya mamba siyo sumu!!!😀😀
 
Habarini wana jamvi...

Moja kwa moja kwenye mada husika.... Nilikuwa naperuzi kwenye mtandao mmoja maarufu na kukutana na habari ya kugunduliwa kwa mijusi (Dinosaurs) huko lindi ambao wanakadiriwa kuwepo miaka million 150 iliyopita...

Sasa kizaa zaa kikaanzia hapo watu kushangaa hio miaka eti sasa hivi ndio kwanza mwaka 2021, wanahoji hayo mamilioni ya miaka yametoka wapi?

Nimeishiwa na pozi kabisa yaani......

Kwa sisi tunao somea Geology (Jiolojia) hatubabaishwi kabisa na hizo data kwani dunia inakadiriwa kuwa na miaka bilioni 4.5..... So ndani ya huo muda vingi vimefanyika na kutokea

Nawasilisha

View attachment 1962274

View attachment 1962275

View attachment 1962276

View attachment 1962277
Hata jiografia ya form 6 ina mada ya geoligical time scale, kwa wakiristo na waislamu sijui hio time scale huwa wanaichikuliaje ukihusisha dini, ukiongezea na carbon dating unapata irrelevant information to religion.
Kwa hio ni ukosefu wa elimu tu,ukosefu wa elimu huwafanya watu washangae au waamini vitu kirahisi rahisi tu.
 
Back
Top Bottom