Hivi huku ni kukosa Elimu kwa baadhi ya Watanzania au ni nini? Nimeshangaa sana!

Hivi huku ni kukosa Elimu kwa baadhi ya Watanzania au ni nini? Nimeshangaa sana!

Bongo general knowledge ni kitu adimu sana, si kwa wasomi si kwa wasiosoma. Wanaamini kuhusu hekaya nk.

Mfano jaribu kumwambia graduate au hata prof wa bongo kuwa nyongo ya mamba siyo sumu!!!😀😀
General knowledge ni ipi?
 
Habarini wana jamvi...

Moja kwa moja kwenye mada husika.... Nilikuwa naperuzi kwenye mtandao mmoja maarufu na kukutana na habari ya kugunduliwa kwa mijusi (Dinosaurs) huko lindi ambao wanakadiriwa kuwepo miaka million 150 iliyopita...

Sasa kizaa zaa kikaanzia hapo watu kushangaa hio miaka eti sasa hivi ndio kwanza mwaka 2021, wanahoji hayo mamilioni ya miaka yametoka wapi?

Nimeishiwa na pozi kabisa yaani......

Kwa sisi tunao somea Geology (Jiolojia) hatubabaishwi kabisa na hizo data kwani dunia inakadiriwa kuwa na miaka bilioni 4.5..... So ndani ya huo muda vingi vimefanyika na kutokea

Nawasilisha

View attachment 1962274

View attachment 1962275

View attachment 1962276

View attachment 1962277
Walidoji history ao
 
Bongo general knowledge ni kitu adimu sana, si kwa wasomi si kwa wasiosoma. Wanaamini kuhusu hekaya nk.

Mfano jaribu kumwambia graduate au hata prof wa bongo kuwa nyongo ya mamba siyo sumu!!!😀😀
Wamekariri. Hata muhogo wa mpira wenye sumu, unaliwa.
 
Wa 1,2&4 wanatania. Nina mashaka na huyo wa 3.

Lakini hatuwezi kuwa na ufahamu sawa.

Hata hivyo bado kuna changamoto hapa[emoji116]
Kwa sisi tunao somea Geology (Jiolojia) hatubabaishwi kabisa na hizo data kwani dunia inakadiriwa kuwa na miaka bilioni 4.5....

[emoji115]Kama uliyeenda shule umesoma maadirio ya umri wa dunia tangu kuwepo kwake na siyo miaka halisi. Huoni kuwa hata huko kwenye elimu kuna shida?
Maana yake tangu akiyeongelea makadirio hayo kwa mara ya kwanza na kutafuta uthibitisho wake(kama upo) bado hakujatokea mtu mwingine wa kumchallenge hivyo kuendelea kusoma mawazo yake.
 
Wa 1,2&4 wanatania. Nina mashaka na huyo wa 3.

Lakini hatuwezi kuwa na ufahamu sawa.

Hata hivyo bado kuna changamoto hapa[emoji116]


[emoji115]Kama uliyeenda shule umesoma maadirio ya umri wa dunia tangu kuwepo kwake na siyo miaka halisi. Huoni kuwa hata huko kwenye elimu kuna shida?
Maana yake tangu akiyeongelea makadirio hayo kwa mara ya kwanza na kutafuta uthibitisho wake(kama upo) bado hakujatokea mtu mwingine wa kumchallenge hivyo kuendelea kusoma mawazo yake.
Mkuu Kuna sayansi ni Imani tu ...over!
 
Dunia imejaa wapumbavu wengi sana. Kwa hizi comments unaona kabisa instead ya kuutangazia ulimwengu kuhusu hii findings tupo busy kubishana na dunia.

Mtu hana shule ya archaeology bado anabishia waliosomea na mwingine hata form one hajafika kusoma history na geography kujua haya Mambo yapoje plus mahesabu ya hiyo miaka .

Nadhani hiyo ni wakati wa kutangazia ulimwengu tufungue Makumbusho kubwa na waturudishie yule dinosaur mwingine aliyepelekwa ujerumani. Hii inaonyesha Tanzania tulikuwa na hao wanyama ambao ni kivutio kikubwa tumekiacha ujerumani wanapiga hela tu.
 
wanajua, ila inaonekana wanatania kubisha kuchangamsha genge
 
Kwani utaalamu unaotumika kukadiria hiyo miaka una uhakikia gani kuwa wanapatia ...eti miaka Milioni 6 !😁😂😂
Hayo yote no kuffikirika tuh

Kwani utaalamu unaotumika kukadiria hiyo miaka una uhakikia gani kuwa wanapatia ...eti miaka Milioni 6 !😁😂😂
Hayo yote no kuffikirika tu
Hahaha.. Sasa ingekua chini ya hpo (miaka hii yetu) si tungewaona hao viumbe. Wangesimuliwa
 
Back
Top Bottom