Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
General knowledge ni ipi?Bongo general knowledge ni kitu adimu sana, si kwa wasomi si kwa wasiosoma. Wanaamini kuhusu hekaya nk.
Mfano jaribu kumwambia graduate au hata prof wa bongo kuwa nyongo ya mamba siyo sumu!!!ππ
Walidoji history aoHabarini wana jamvi...
Moja kwa moja kwenye mada husika.... Nilikuwa naperuzi kwenye mtandao mmoja maarufu na kukutana na habari ya kugunduliwa kwa mijusi (Dinosaurs) huko lindi ambao wanakadiriwa kuwepo miaka million 150 iliyopita...
Sasa kizaa zaa kikaanzia hapo watu kushangaa hio miaka eti sasa hivi ndio kwanza mwaka 2021, wanahoji hayo mamilioni ya miaka yametoka wapi?
Nimeishiwa na pozi kabisa yaani......
Kwa sisi tunao somea Geology (Jiolojia) hatubabaishwi kabisa na hizo data kwani dunia inakadiriwa kuwa na miaka bilioni 4.5..... So ndani ya huo muda vingi vimefanyika na kutokea
Nawasilisha
View attachment 1962274
View attachment 1962275
View attachment 1962276
View attachment 1962277
Aiseeπ€£Walidoji history ao
Ukimuona mtu kam huyo bora umpige nakonzi tuuAiseeπ€£
Wamekariri. Hata muhogo wa mpira wenye sumu, unaliwa.Bongo general knowledge ni kitu adimu sana, si kwa wasomi si kwa wasiosoma. Wanaamini kuhusu hekaya nk.
Mfano jaribu kumwambia graduate au hata prof wa bongo kuwa nyongo ya mamba siyo sumu!!!ππ
Kwa nini iwe 4.10, na siyo tarehe 97 mwezi 344.? Nani aliyepanga tarehe na miezi na kuihalalisha?Kwa hiyo Leo ni tarehe 4/10/150,000,000
Kwa sisi tunao somea Geology (Jiolojia) hatubabaishwi kabisa na hizo data kwani dunia inakadiriwa kuwa na miaka bilioni 4.5....
Mkuu Kuna sayansi ni Imani tu ...over!Wa 1,2&4 wanatania. Nina mashaka na huyo wa 3.
Lakini hatuwezi kuwa na ufahamu sawa.
Hata hivyo bado kuna changamoto hapa[emoji116]
[emoji115]Kama uliyeenda shule umesoma maadirio ya umri wa dunia tangu kuwepo kwake na siyo miaka halisi. Huoni kuwa hata huko kwenye elimu kuna shida?
Maana yake tangu akiyeongelea makadirio hayo kwa mara ya kwanza na kutafuta uthibitisho wake(kama upo) bado hakujatokea mtu mwingine wa kumchallenge hivyo kuendelea kusoma mawazo yake.
Kwani utaalamu unaotumika kukadiria hiyo miaka una uhakikia gani kuwa wanapatia ...eti miaka Milioni 6 !πππ
Hayo yote no kuffikirika tuh
Hahaha.. Sasa ingekua chini ya hpo (miaka hii yetu) si tungewaona hao viumbe. WangesimuliwaKwani utaalamu unaotumika kukadiria hiyo miaka una uhakikia gani kuwa wanapatia ...eti miaka Milioni 6 !πππ
Hayo yote no kuffikirika tu