Deportivo la coruna
Senior Member
- Aug 16, 2021
- 141
- 248
Kuna kazi ya aibu?Ni aibu kama huu uzi umeanzishwa na Mwanaume.i kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa
Hata tweeter sio hivyo aisee, Yan ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!
Juzi SI nmekutana na dada mmoja hivi wa humu jf [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani Kwa hapa jf anaheshimika sana watu wanamchukulia kama mtu mzito sana, mixer vingereza vingi! Juzi nmeomba kumeet nae aisee, ni kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa
Hapa jf haitakiwi kua serious sana, weng humu wanaingia kama kuigiza tuu
HahahhahaWapo wengi tu tukianza na pascal mayalla
🤣🤣Kuna kazi ya aibu?Ni aibu kama huu uzi umeanzishwa na Mwanaume.
InasikitishaNaomba kuuliza kazi ya aibu ndio kazi gani mkuu?
ile fantasy yako ya kujamba ulifanikiwa kuitimiza?Naomba kuuliza kazi ya aibu ndio kazi gani mkuu?
Una akili sana hata jina lako linaonyesha , safi mkuuWapo ila si wajinga kama wewe.