Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee[emoji23][emoji23]Ukiandika message ya kingereza wanakuja kama wote mpaka PM wengine wanaponda wengine wanaomba watafsiriwe. .
La saba ni wengi sana. Mmoja Kani text "LIVE ME ALONE I DOESN'T AGREE YOU JOCKING"[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimecheka mbaya
it's true mangi it is. 😀Aisee[emoji23][emoji23]
it's true mangi it is. [emoji3]
Amekosa nini dada wa watu mpole[emoji23]nilikuw nataka nimtaje Leejay49 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ushasikia ni ex wangu sitaki nimwache afurah😀Amekosa nini dada wa watu mpole[emoji23]
Aisee[emoji23]Ushasikia ni ex wangu sitaki nimwache afurah[emoji3]
akitoka jf tu basi na mimi naaga[emoji3]
[emoji2956]Kuna kazi ya aibu?Ni aibu kama huu uzi umeanzishwa na Mwanaume.
Shuleni hakufundishwi HEKIMA ya kiwango apaswacho kuwa nacho mwanadamu.....Wengi ni wasomi walioenda shule kusomea ujinga.
Aka mapunguani.
[emoji2956]Wewe utakua ni mvulana,huna sifa ya kuitwa mwanaume,
Mwanaume anayejielewa hawezi kukutana na mdada wa JF nje ya JF kisha akakimbilia JF kuja kuanzisha Thd ya kumponda,usimuhukumu mtu kwa kukutana nae mara moja tu,
Gentleman never kiss and tell.
Whatever, I care the less.Shuleni hakufundishwi HEKIMA ya kiwango apaswacho kuwa nacho mwanadamu.....
Hekima hupatikana kwa njia 2 tu:-
1)Kizalia/charisma
2)Jitihada binafsi....hii huchukua muda kwa yule atakaye
Arrogance for the one who is championing religious issues......E
Whatever, I care the less.
Ooh, good for you.Arrogance for the one who is championing religious issues......
NINI LA SABA MIMI NILIISHIA LA PILI TUHata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!
Juzi si nmekutana na dada mmoja hivi wa humu JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Kwa hapa JF anaheshimika sana watu wanamchukulia kama mtu mzito sana, mixer vingereza vingi. Juzi nmeomba kumeet nae aisee, ni kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa.
Hapa JF haitakiwi kua serious sana, wengi humu wanaingia kama kuigiza tuu.
Wajinga watu.NINI LA SABA MIMI NILIISHIA LA PILI TU
Kiburi si imani....Ooh, good for you.