Hivi humu JF kuna aliyeishia la 7 kweli?

Hivi humu JF kuna aliyeishia la 7 kweli?

Mkuu upo Vain.....

Kwahio kwa logic yako mababu zetu ambao hawakua na formal training au vyeo vya hatua za kisomo (sio necessarily kuelimika) unaona walikuwa duni kuliko hawa wa sasa wanaojionzea herufi kwenye majina ?

 
Ukiandika message ya kingereza wanakuja kama wote mpaka PM wengine wanaponda wengine wanaomba watafsiriwe. .
La saba ni wengi sana. Mmoja Kani text "LIVE ME ALONE I DOESN'T AGREE YOU JOCKING"[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimecheka mbaya
Aisee[emoji23][emoji23]
 
Hata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!

Juzi si nmekutana na dada mmoja hivi wa humu JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yaani Kwa hapa JF anaheshimika sana watu wanamchukulia kama mtu mzito sana, mixer vingereza vingi. Juzi nmeomba kumeet nae aisee, ni kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa.

Hapa JF haitakiwi kua serious sana, wengi humu wanaingia kama kuigiza tuu.
NINI LA SABA MIMI NILIISHIA LA PILI TU
 
Back
Top Bottom