Hivi humu JF kuna aliyeishia la 7 kweli?

Hivi humu JF kuna aliyeishia la 7 kweli?

Ambao hatukufika hata la saba nao tupo wengi wengi tu. Kwani nyie mliofika mpaka vyuo vikuu mkatunukiwa shahada za uzamivu mnataka kutuambia nini sisi ambao hata la saba hatukufika?
 
Hata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!

Juzi si nmekutana na dada mmoja hivi wa humu JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yaani Kwa hapa JF anaheshimika sana watu wanamchukulia kama mtu mzito sana, mixer vingereza vingi. Juzi nmeomba kumeet nae aisee, ni kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa.

Hapa JF haitakiwi kua serious sana, wengi humu wanaingia kama kuigiza tuu.
Mimi nimeishia darasa la tatu tu
 
Darasa la 7 mbona mbali sana mkuu? Tupo tulioishia darasa la4 wengi tu hamtutambui au tutumie lugha&uandishi mbovu ndipo mtutambue?

HATASISIPIANIWATUJAMANIKWANINIMNATUTENGAHIVYO?
AMAMNATAKAHUMUMUBAKIPEKEYENU JAMIIFORAMU? TUONEENIHURUMANASISITUNAIPENDAMITANDAO HATAKAMAHATUJASOMASANAKAMANYIEMABOSIZETU[emoji26].

[emoji23][emoji23]
 
Hata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!

Juzi si nmekutana na dada mmoja hivi wa humu JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yaani Kwa hapa JF anaheshimika sana watu wanamchukulia kama mtu mzito sana, mixer vingereza vingi. Juzi nmeomba kumeet nae aisee, ni kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa.

Hapa JF haitakiwi kua serious sana, wengi humu wanaingia kama kuigiza tuu.
Aisee.....
 
Hata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!

Juzi si nmekutana na dada mmoja hivi wa humu JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yaani Kwa hapa JF anaheshimika sana watu wanamchukulia kama mtu mzito sana, mixer vingereza vingi. Juzi nmeomba kumeet nae aisee, ni kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa.

Hapa JF haitakiwi kua serious sana, wengi humu wanaingia kama kuigiza tuu.
Eeeh tupo wengi mno.
 
Wewe utakua ni mvulana,huna sifa ya kuitwa mwanaume,

Mwanaume anayejielewa hawezi kukutana na mdada wa JF nje ya JF kisha akakimbilia JF kuja kuanzisha Thd ya kumponda,usimuhukumu mtu kwa kukutana nae mara moja tu,

Gentleman never kiss and tell.
 
Back
Top Bottom