Deportivo la coruna
Senior Member
- Aug 16, 2021
- 141
- 248
- Thread starter
- #21
Mbona unajua kusoma na kuandika vzurMi nimeishia la tatu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unajua kusoma na kuandika vzurMi nimeishia la tatu.
Kuna kazi ya aibu?Ni aibu kama huu uzi umeanzishwa na Mwanaume.
Huna akili ya kujua jina hilo linamaanisha nini.Una akili sana hata jina lako linaonyesha , safi mkuu
Mimi nimeishia darasa la tatu tuHata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!
Juzi si nmekutana na dada mmoja hivi wa humu JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Kwa hapa JF anaheshimika sana watu wanamchukulia kama mtu mzito sana, mixer vingereza vingi. Juzi nmeomba kumeet nae aisee, ni kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa.
Hapa JF haitakiwi kua serious sana, wengi humu wanaingia kama kuigiza tuu.
Aisee.....Hata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!
Juzi si nmekutana na dada mmoja hivi wa humu JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Kwa hapa JF anaheshimika sana watu wanamchukulia kama mtu mzito sana, mixer vingereza vingi. Juzi nmeomba kumeet nae aisee, ni kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa.
Hapa JF haitakiwi kua serious sana, wengi humu wanaingia kama kuigiza tuu.
Na wajanja wengi piaHumu JF wapumbavu ni wengi sana...
UDSM......Humu Kila Mtu ni Degree Holder wa Chuo kikubwa hapa Nchini.
Unauhakika ni halali?Kazi gan ya aibu?mtu ajitafutie halali we useme aibu?
Eeeh tupo wengi mno.Hata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!
Juzi si nmekutana na dada mmoja hivi wa humu JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Kwa hapa JF anaheshimika sana watu wanamchukulia kama mtu mzito sana, mixer vingereza vingi. Juzi nmeomba kumeet nae aisee, ni kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa.
Hapa JF haitakiwi kua serious sana, wengi humu wanaingia kama kuigiza tuu.
Ina shangaza kwa kweliKazi gan ya aibu?mtu ajitafutie halali we useme aibu?
Ni mwizi?jambazi auUnauhakika ni halali?