Hivi humu JF kuna aliyeishia la 7 kweli?

raha yake nini kwa mfano....
Kwanza baraka pia ni wafariji sana wansaidia kuwahasisha wazazi kwenye utafutaji yaani nimewaza nisingezaliwa huenda mzee angekuwa zake anakula Bata tu

Wanapunguza upweke kama mm nachat na watu wa jf had saa8 ningekuwa ninashughuli zingine za kufanya majukumu kwaajili ya mwanangu
 
dah, mimi najiona mzigo sana kwa mama yangu😂 ila usijali utabarikiwa inaonekana una shauku kwelikweli
 

Hakuna kazi yoyote halali iwe ya aibu. Ni fikra potofu tuu
 
Tupo Hadi wa darasa la pili C

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…