Wanakutisha tu mbona wanarudia yale yakKweli kabisa kuwa na watoto Raha sana mm pia natamni sana aisee Ila suala la mia halipo huko Lebanon ni roho mkononi😀
saa nane hiyo mamamae 😂unatafuta matatizo we dogo 😀 kuna baba wakwe wengine sio wa kutaka kuoa kwao utajutia sana
ngoja nikalale niwaache ambao mko single 😀raha yake nini kwa mfano....
kesho nalala mpaka saa saba mchana wewe kesho unaamkia chuosaa nane hiyo mamamae 😂
Kwanza baraka pia ni wafariji sana wansaidia kuwahasisha wazazi kwenye utafutaji yaani nimewaza nisingezaliwa huenda mzee angekuwa zake anakula Bata turaha yake nini kwa mfano....
dah bado mwaka tu nimekoma sirudii tena 😂kesho nalala mpaka saa saba mchana wewe kesho unaamkia chuo
raha ya kuwa jobless unalala tu🤣
😀😀Hawanitishi bhana ni kweliWanakutisha tu mbona wanarudia yale yak
ukishika mkono wa mwanao utafurah sana😀
😂😂 Ngoja nilale usiku mwemasaa nane hiyo mamamae 😂
dah, mimi najiona mzigo sana kwa mama yangu😂 ila usijali utabarikiwa inaonekana una shauku kwelikweliKwanza baraka pia ni wafariji sana wansaidia kuwahasisha wazazi kwenye utafutaji yaani nimewaza nisingezaliwa huenda mzee angekuwa zake anakula Bata tu
Wanapunguza upweke kama mm nachat na watu wa jf had saa8 ningekuwa ninashughuli zingine za kufanya majukumu kwaajili ya mwanangu
How are you Ghapo unawaza habari za kuolewa au watoto sio bure[emoji3][emoji3]
I am good uko poa?
Mtu ni lazima ukamae na haliyako.Mbona unajua kusoma na kuandika vzur
Au siomnanifananisha sana na hao madogo ye34nbe na Binadamu Mtakatifu
usiyatie moyoni bro😂Au sio
Nimetake it easy mkuuusiyatie moyoni bro😂
Hata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!
Juzi si nmekutana na dada mmoja hivi wa humu JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Kwa hapa JF anaheshimika sana watu wanamchukulia kama mtu mzito sana, mixer vingereza vingi. Juzi nmeomba kumeet nae aisee, ni kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa.
Hapa JF haitakiwi kua serious sana, wengi humu wanaingia kama kuigiza tuu.
Tupo Hadi wa darasa la pili CHata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!
Juzi si nmekutana na dada mmoja hivi wa humu JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Kwa hapa JF anaheshimika sana watu wanamchukulia kama mtu mzito sana, mixer vingereza vingi. Juzi nmeomba kumeet nae aisee, ni kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa.
Hapa JF haitakiwi kua serious sana, wengi humu wanaingia kama kuigiza tuu.