Hivi humu JF kuna aliyeishia la 7 kweli?

Mkuu upo Vain.....

Kwahio kwa logic yako mababu zetu ambao hawakua na formal training au vyeo vya hatua za kisomo (sio necessarily kuelimika) unaona walikuwa duni kuliko hawa wa sasa wanaojionzea herufi kwenye majina ?

 
Ukiandika message ya kingereza wanakuja kama wote mpaka PM wengine wanaponda wengine wanaomba watafsiriwe. .
La saba ni wengi sana. Mmoja Kani text "LIVE ME ALONE I DOESN'T AGREE YOU JOCKING"[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimecheka mbaya
Aisee[emoji23][emoji23]
 
NINI LA SABA MIMI NILIISHIA LA PILI TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…