Hivi humu JF kuna aliyeishia la 7 kweli?

Kazi ya aibu ni ipi??? Usidharau kazi ya mtu kama hajawahi kukuomba chochote ...wale darasa la saba wenzangu..kazi iendeleee.....don't be ashamed with your hustle nobody will feed you when you're hungry
 
Humu Kila Mtu ni Degree Holder wa Chuo kikubwa hapa Nchini.
Sio kweli, tupo wengine hata shule hatujuwi milango yake inatazama upande gani. Ila Kwa mtazamo wangu uwezo wa mtu wa kufikiri, busara hekima na kutoa hoja havitokani na elimu. Ni vile kipaji unachopewa na Mungu, ingawa elimu husaidia kuboresha kipaji hicho.
Hivyo basi mwenye kipaji hata asipoenda shule kipaji atabaki nacho na kitaonekana kwenye jamii.
 
Kazi ya aibu ni ipi??? Usidharau kazi ya mtu kama hajawahi kukuomba chochote ...wale darasa la saba wenzangu....don't be ashamed with your hustle nobody will feed you when you're hungry
nakazia.... wanaochukulia baadhi ya kazi kua za 'aibu' wanajicheleweshea mafanikio yao wenyewe
 
Ukiandika message ya kingereza wanakuja kama wote mpaka PM wengine wanaponda wengine wanaomba watafsiriwe. .
La saba ni wengi sana. Mmoja Kani text "LIVE ME ALONE I DOESN'T AGREE YOU JOCKING"[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimecheka mbaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi wee roho kwatuuu?
Mchaga una sifa weyee khaaaah
 
Kuna nini hukooo nje ya JF?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tittle na Uzi haviendani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…