Hivi humu Jf ni mimi tu niliyepo bongo?

Hivi humu Jf ni mimi tu niliyepo bongo?

Faiza yupo Canada,diaspora yupo USA wengine Dubai ,wengine wanaishi kwenye yatch huko bahamas ,wengine South Africa,wengine wamezamia canada..
Halafu sasa ukija kwenye vyuo hamna aliesomea bongo(kasoro wale Wa Uzi Wa masihara) wengine wote wamesoma UK,Russia,states,India,Netherlands
Mpaka daah nahisi mimi tu sijatia.guu nje ya nchi au Jf kwenye playstore ya bongo haipatikani??
Uliowataja hapo tu sio wengi, sio kila mtu yuko nje wengi wako Bongo ila usijisikie vibaya mtu akisema yuko nje, wabongo wametapakaa duniani kote.
 
Back
Top Bottom