Hivi huu mkutano wa nishati ulipangwa ghafla?

Hivi huu mkutano wa nishati ulipangwa ghafla?

Watanzania kuna vitu vitatu vikubwa hatuwezi.
1.Kupanga(Planning)
2.Kurekebisha(Maintenance)
3.Muda(Time).
Ni kama kalaana flani hivi kako.
 
Naunga mkono ila napendekeza zoezi hili liwe endelevu lisilo na kikomo jijini Dar es Salaam kuzuia kabisa bodaboda na bajaj kuingia kufika maeneo ya mjini kati ziishie Ubungo mataa, Mwenge Stand, Mivinjeni Kilwa Road, Gongo la Mboto Banana, Temeke Kibasila Sekondari School, Kigamboni Navy.
Ukifanya HIVI una-TRIGGER avalanche MOJA YA ajabu sana KWENYE communication system AMBAYO itaa-affect uchumi WA NCHI IKIWA NI PAMOJA NA KAZI zako ofisini kwako. HAPO ulipo wewe hutumii Bajaj AU Bodaboda LAKINI KUNA chain YA ajabu sana inayoku-link na VYOMBO HIVI KIASI KWAMBA vikisimama SIKU MOJA TU vina-affect shughuli zako zote
 
Ni yale yale ya Mkutano Mkuu CCM ni kama vile hawajui kinachokwenda kutokea ni nini.
SASA wewe huoni KWAMBA WANAJARIBU sasa kukupa mwanga ILI UWEZE kuelewa NINI KINAENDELEA BAADA YA KUFANYIKA MKUTANO MWINGINE muhimu WA kushtukiza kama ulivyoshtukizwa ule wa CCM, na NDANI YA KIPINDI kifupi sana?

YAANI wewe hadi muda huu bado unaona KUWA mashtukizo HAYA yote MAWILI yametokea kama coincidence za kawaida tu si NDIYO?
 
Sawa mkuu halafu uandishi wako wa kuchanganya herufi kubwa (zisizo na umuhimu wa kufanywa hivyo) kuzichanganya na ndogo nani amekufundisha au ndio huko huko kwenye IT?
SIYO Mimi, ni gadget ninayotumia ambayo siyo computer; automatically inafanya HIVYO.
HATA copying YA links NDIYO yenyewe inayoamua ziwe KAMA ulivyoziona. SINA NAMNA YA kuizuia; ilishawahi KUWA hacked ikanyofolewa settings ZA kuizuia isifanye kama inavyofanya
 
SIYO Mimi, ni gadget ninayotumia ambayo siyo computer; automatically inafanya HIVYO.
HATA copying YA links NDIYO yenyewe inayoamua ziwe KAMA ulivyoziona. SINA NAMNA YA kuizuia; ilishawahi KUWA hacked ikanyofolewa settings ZA kuizuia isifanye kama inavyofanya
Haya sawa endelea na huyo gadget mkuu mwambie aendelee hivyo hivyo
 
Planning na coordination ya huu mkutano haijafanywa kwa weledi aidha ni sababu ya kuteua wenzetu kwenye nafasi hii kitaalamu inaitwa ccm style.

Pia inaonesha jinsi gani elimu yetu haijandaa watumishi wenye weledi yaani iko vitabuni na ya kudesa kufaulu mitihani.

Wahusika walimezwa na mambo ya dodoma na posho za dodoma wakasahau majukumu makubwa mbele yao.

Hili la mkutano halafu kila kitu kinasimama linaleta ukakasi kidogo
HAPA inaonyesha dhahiri kabisa kuwa Jicho laKO la tatu hujalitumia; litumie ili uweze KUONA mbali zaidi
 
Sawa mkuu halafu uandishi wako wa kuchanganya herufi kubwa (zisizo na umuhimu wa kufanywa hivyo) kuzichanganya na ndogo nani amekufundisha au ndio huko huko kwenye IT?
Ma IT wao swala la mwandiko sio muhimu, code's zimewabadilisha, cha muhimu kwao ni semantics/ logic
 
Leo nimejua dissemination ya taarifa iko chini sana hapa nchini kwetu, pamoja na tangazo kuchelewa nimepita shule moja asubuhi wanafunzi wenye uniform wamezagaa.. wengine wanaingia wengine wanarudi baada ya kupewa taarifa hamna shule na wengine ndio wameona fursa ya kucheza na kutorudi nyumbani.

Nikajiuliza tukipata janga kama Taifa jinsi taarifa zinavyochelewa itakuwa majanga, na hapa ni mjini Dar es Salaam huko mikoani sijui hali itakuwaje. Wazazi wa hawa watoto watakuwa hawaangalii luninga, hawasikilizi redio wala hawako kwenye ulimwengu wa dijiti pia hawana mahusiano mazuri na wanajamii wenzao, maana mtoto anatoka nyumbani mpaka shule huku kati watu wote wanaomuona wanauchuna ilhali wakijua anajichosha na kupoteza muda.
We ukitaka taarifa zisambae sambaza Ngono, sambaza aliyefumaniwa au Nabii aliyechoma gari na Video za Mchawi aliyekamatwa.

Nchi nzima itajua in 1-2hours
 
Ma IT wao swala la mwandiko sio muhimu, code's zimewabadilisha, cha muhimu kwao ni semantics/ logic
Kwa hio ukiwa IT basi ukiandika unachanga herufi kubwa na ndogo humo humo umeambiwa hii ni Python au C# React Native?
 
Leo nimejua dissemination ya taarifa iko chini sana hapa nchini kwetu, pamoja na tangazo kuchelewa nimepita shule moja asubuhi wanafunzi wenye uniform wamezagaa.. wengine wanaingia wengine wanarudi baada ya kupewa taarifa hamna shule na wengine ndio wameona fursa ya kucheza na kutorudi nyumbani.

Nikajiuliza tukipata janga kama Taifa jinsi taarifa zinavyochelewa itakuwa majanga, na hapa ni mjini Dar es Salaam huko mikoani sijui hali itakuwaje. Wazazi wa hawa watoto watakuwa hawaangalii luninga, hawasikilizi redio wala hawako kwenye ulimwengu wa dijiti pia hawana mahusiano mazuri na wanajamii wenzao, maana mtoto anatoka nyumbani mpaka shule huku kati watu wote wanaomuona wanauchuna ilhali wakijua anajichosha na kupoteza muda.
Sometime English medium zina nafuu yake, sisi tulio kwenye magroup ya shule taarifa zilitufikia kabla ya saa tatu.

Sasa wenzetu na sie darasa lina wanafunzi 500, shule ina wanafunzi 2000 vipi mwalimu mkuu atafikisha taarifa.


Ukweli mfumo wa utoaji taarifa ni weakness sana, wananchi wengi wapo nje ya mfumo wa habari wengi kunapo pambazuka wanashukuru wanaenda kutafuta riziki.

Na hao ndio wengi wapiga kura , si ajabu kusikia ccm inaongoza kwa kishindo unajiuliza hao wanapigia kura wana toka wapi!
 
LEO MJINI KATI KUMEPENDEZA KWELI, KWELI NIMEAMINI MABAJAJI NA MABODA BODA NI UCHAFU MAJINI, LAKINI SIJUI SEREKALI IYAFANYAJE MAANA NAO WANAPATIA MKATE HUMO HUMO, LAKINI POSTA LEO PAZURI MNO
 
Leo nimejua dissemination ya taarifa iko chini sana hapa nchini kwetu, pamoja na tangazo kuchelewa nimepita shule moja asubuhi wanafunzi wenye uniform wamezagaa.. wengine wanaingia wengine wanarudi baada ya kupewa taarifa hamna shule na wengine ndio wameona fursa ya kucheza na kutorudi nyumbani.

Nikajiuliza tukipata janga kama Taifa jinsi taarifa zinavyochelewa itakuwa majanga, na hapa ni mjini Dar es Salaam huko mikoani sijui hali itakuwaje. Wazazi wa hawa watoto watakuwa hawaangalii luninga, hawasikilizi redio wala hawako kwenye ulimwengu wa dijiti pia hawana mahusiano mazuri na wanajamii wenzao, maana mtoto anatoka nyumbani mpaka shule huku kati watu wote wanaomuona wanauchuna ilhali wakijua anajichosha na kupoteza muda.
Makes sense pakubwa sana mkuu. Yaani humu kuna vitu vingi vya kufanyia kazi kuanzia serikali, jamii na mtu binafsi.
 
Planning na coordination ya huu mkutano haijafanywa kwa weledi aidha ni sababu ya kuteua wenzetu kwenye nafasi hii kitaalamu inaitwa ccm style.

Pia inaonesha jinsi gani elimu yetu haijandaa watumishi wenye weledi yaani iko vitabuni na ya kudesa kufaulu mitihani.

Wahusika walimezwa na mambo ya dodoma na posho za dodoma wakasahau majukumu makubwa mbele yao.

Hili la mkutano halafu kila kitu kinasimama linaleta ukakasi kidogo
Tena imeleta madhara makubwa, kuna wagonjwa ambao walikuwa na tiba Ocean Road imeshindikana kwenda kupatiwa huduma kwa sababu ya bajaji kukataliwa kuingia mjini.
 
Back
Top Bottom