Revolution
JF-Expert Member
- Feb 28, 2008
- 960
- 927
- Thread starter
- #41
Ndivyo mifumo na taratibu zinavyopaswa kufanya kazi?Kuna madhara makubwa yametokea kwa kutoa taarifa kwa kushtukiza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo mifumo na taratibu zinavyopaswa kufanya kazi?Kuna madhara makubwa yametokea kwa kutoa taarifa kwa kushtukiza?
Ukifanya HIVI una-TRIGGER avalanche MOJA YA ajabu sana KWENYE communication system AMBAYO itaa-affect uchumi WA NCHI IKIWA NI PAMOJA NA KAZI zako ofisini kwako. HAPO ulipo wewe hutumii Bajaj AU Bodaboda LAKINI KUNA chain YA ajabu sana inayoku-link na VYOMBO HIVI KIASI KWAMBA vikisimama SIKU MOJA TU vina-affect shughuli zako zoteNaunga mkono ila napendekeza zoezi hili liwe endelevu lisilo na kikomo jijini Dar es Salaam kuzuia kabisa bodaboda na bajaj kuingia kufika maeneo ya mjini kati ziishie Ubungo mataa, Mwenge Stand, Mivinjeni Kilwa Road, Gongo la Mboto Banana, Temeke Kibasila Sekondari School, Kigamboni Navy.
Ni kweli, nitakutafuta unripe maujanja YA HUMU JFSasa unafanyaje kitu km mtoto wa darasa la pili na umesoma IT hivi mfano attached linked links zingekua zimewekwa km unavyoweka wewe pangetosha humu?
Sawa mkuu halafu uandishi wako wa kuchanganya herufi kubwa (zisizo na umuhimu wa kufanywa hivyo) kuzichanganya na ndogo nani amekufundisha au ndio huko huko kwenye IT?Ni kweli, nitakutafuta unripe maujanja YA HUMU JF
SASA wewe huoni KWAMBA WANAJARIBU sasa kukupa mwanga ILI UWEZE kuelewa NINI KINAENDELEA BAADA YA KUFANYIKA MKUTANO MWINGINE muhimu WA kushtukiza kama ulivyoshtukizwa ule wa CCM, na NDANI YA KIPINDI kifupi sana?Ni yale yale ya Mkutano Mkuu CCM ni kama vile hawajui kinachokwenda kutokea ni nini.
SIYO Mimi, ni gadget ninayotumia ambayo siyo computer; automatically inafanya HIVYO.Sawa mkuu halafu uandishi wako wa kuchanganya herufi kubwa (zisizo na umuhimu wa kufanywa hivyo) kuzichanganya na ndogo nani amekufundisha au ndio huko huko kwenye IT?
Haya sawa endelea na huyo gadget mkuu mwambie aendelee hivyo hivyoSIYO Mimi, ni gadget ninayotumia ambayo siyo computer; automatically inafanya HIVYO.
HATA copying YA links NDIYO yenyewe inayoamua ziwe KAMA ulivyoziona. SINA NAMNA YA kuizuia; ilishawahi KUWA hacked ikanyofolewa settings ZA kuizuia isifanye kama inavyofanya
HAPA inaonyesha dhahiri kabisa kuwa Jicho laKO la tatu hujalitumia; litumie ili uweze KUONA mbali zaidiPlanning na coordination ya huu mkutano haijafanywa kwa weledi aidha ni sababu ya kuteua wenzetu kwenye nafasi hii kitaalamu inaitwa ccm style.
Pia inaonesha jinsi gani elimu yetu haijandaa watumishi wenye weledi yaani iko vitabuni na ya kudesa kufaulu mitihani.
Wahusika walimezwa na mambo ya dodoma na posho za dodoma wakasahau majukumu makubwa mbele yao.
Hili la mkutano halafu kila kitu kinasimama linaleta ukakasi kidogo
AnakusikiaHaya sawa endelea na huyo gadget mkuu mwambie aendelee hivyo hivyo
Ma IT wao swala la mwandiko sio muhimu, code's zimewabadilisha, cha muhimu kwao ni semantics/ logicSawa mkuu halafu uandishi wako wa kuchanganya herufi kubwa (zisizo na umuhimu wa kufanywa hivyo) kuzichanganya na ndogo nani amekufundisha au ndio huko huko kwenye IT?
We ukitaka taarifa zisambae sambaza Ngono, sambaza aliyefumaniwa au Nabii aliyechoma gari na Video za Mchawi aliyekamatwa.Leo nimejua dissemination ya taarifa iko chini sana hapa nchini kwetu, pamoja na tangazo kuchelewa nimepita shule moja asubuhi wanafunzi wenye uniform wamezagaa.. wengine wanaingia wengine wanarudi baada ya kupewa taarifa hamna shule na wengine ndio wameona fursa ya kucheza na kutorudi nyumbani.
Nikajiuliza tukipata janga kama Taifa jinsi taarifa zinavyochelewa itakuwa majanga, na hapa ni mjini Dar es Salaam huko mikoani sijui hali itakuwaje. Wazazi wa hawa watoto watakuwa hawaangalii luninga, hawasikilizi redio wala hawako kwenye ulimwengu wa dijiti pia hawana mahusiano mazuri na wanajamii wenzao, maana mtoto anatoka nyumbani mpaka shule huku kati watu wote wanaomuona wanauchuna ilhali wakijua anajichosha na kupoteza muda.
Kwa hio ukiwa IT basi ukiandika unachanga herufi kubwa na ndogo humo humo umeambiwa hii ni Python au C# React Native?Ma IT wao swala la mwandiko sio muhimu, code's zimewabadilisha, cha muhimu kwao ni semantics/ logic
Sometime English medium zina nafuu yake, sisi tulio kwenye magroup ya shule taarifa zilitufikia kabla ya saa tatu.Leo nimejua dissemination ya taarifa iko chini sana hapa nchini kwetu, pamoja na tangazo kuchelewa nimepita shule moja asubuhi wanafunzi wenye uniform wamezagaa.. wengine wanaingia wengine wanarudi baada ya kupewa taarifa hamna shule na wengine ndio wameona fursa ya kucheza na kutorudi nyumbani.
Nikajiuliza tukipata janga kama Taifa jinsi taarifa zinavyochelewa itakuwa majanga, na hapa ni mjini Dar es Salaam huko mikoani sijui hali itakuwaje. Wazazi wa hawa watoto watakuwa hawaangalii luninga, hawasikilizi redio wala hawako kwenye ulimwengu wa dijiti pia hawana mahusiano mazuri na wanajamii wenzao, maana mtoto anatoka nyumbani mpaka shule huku kati watu wote wanaomuona wanauchuna ilhali wakijua anajichosha na kupoteza muda.
Makes sense pakubwa sana mkuu. Yaani humu kuna vitu vingi vya kufanyia kazi kuanzia serikali, jamii na mtu binafsi.Leo nimejua dissemination ya taarifa iko chini sana hapa nchini kwetu, pamoja na tangazo kuchelewa nimepita shule moja asubuhi wanafunzi wenye uniform wamezagaa.. wengine wanaingia wengine wanarudi baada ya kupewa taarifa hamna shule na wengine ndio wameona fursa ya kucheza na kutorudi nyumbani.
Nikajiuliza tukipata janga kama Taifa jinsi taarifa zinavyochelewa itakuwa majanga, na hapa ni mjini Dar es Salaam huko mikoani sijui hali itakuwaje. Wazazi wa hawa watoto watakuwa hawaangalii luninga, hawasikilizi redio wala hawako kwenye ulimwengu wa dijiti pia hawana mahusiano mazuri na wanajamii wenzao, maana mtoto anatoka nyumbani mpaka shule huku kati watu wote wanaomuona wanauchuna ilhali wakijua anajichosha na kupoteza muda.
Tena imeleta madhara makubwa, kuna wagonjwa ambao walikuwa na tiba Ocean Road imeshindikana kwenda kupatiwa huduma kwa sababu ya bajaji kukataliwa kuingia mjini.Planning na coordination ya huu mkutano haijafanywa kwa weledi aidha ni sababu ya kuteua wenzetu kwenye nafasi hii kitaalamu inaitwa ccm style.
Pia inaonesha jinsi gani elimu yetu haijandaa watumishi wenye weledi yaani iko vitabuni na ya kudesa kufaulu mitihani.
Wahusika walimezwa na mambo ya dodoma na posho za dodoma wakasahau majukumu makubwa mbele yao.
Hili la mkutano halafu kila kitu kinasimama linaleta ukakasi kidogo
Watulie kwenye runinga tena TBC tuWatoto wapo mapumziko siku 2/3 wanaangalia luninga nyumbani kwao mkutano wa World Sa100meet
Nimeshangaa mpaka huku machakani nilipo mimi eti watoto wameambiwa leo hakuna shule mpaka kesho kutwa
Uko pori Gani mkuu, maana mbona shule zinaendelea huku?Huku maporini kote leo ni mapumziko watoto wote wapo nyumbani muda huu, mmoja kafika hapa anaulizwa leo vipi shule anajibu mwalimu kasema leo na kesho hakuna shule