Hivi huu mwezi ukilipuliwa , mabaki yake yataangukia huku Duniani?

Curiosity kama yako ndio imeleta gunduzi nyingi, ila wabongo wanajifanya wanaakili sana hapa wanakwambia uache bangi.

Hata waliowaza kua binadamu anaweza kupaa angani walionekana wamechanganyikiwa less than 5 years later ndege zikagunduliwa.

Wabongo ujuaji mwngi ila hamna kitu.
 
Madhara:
-Hakutakuwa na kupatwa kwa mwezi, Jua na Dunia
-waislamu Hawatafunga Ramadhan kwa utulivu
-kutatokea Kupwa na Kujaa kwa Bahari
-Wanawake hawatoenda mwezini (astronomist😭😭?/)
 
Anga halina juu wala chini.
Ukiripuka vipande vyake vitasambaa katika mfumo wa orbit yake.
Kipande kitakachopenya kuangukia duniani, saazingine kisifike kwa kuteketea kwa msuguano.
Kama hujaelewa nambie niingie darasani nitoe somo ili kujibu maswali yako.
 
Vipande vya mwezi vitaizunguka dunia kama satellite ila havitaanguka duniani na hata vikijaribu kupenya duniani vitaungua kwasababu ya friction.
 
Vipande vya mwezi vitaizunguka dunia kama satellite ila havitaanguka duniani na hata vikijaribu kupenya duniani vitaungua kwasababu ya friction.
Nimekuelewa kaka mkubwa hqpaπŸ“ŒπŸ“πŸ”¨
 
Kabisa ... nimekaa nimewaza hapa ndio nikaleta hii mada humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…