Unazungumzia mwezi upi Ramadhan au MarchNimekaa nikawaza hapa , hizi kombora za nyuklia wanazomiliki mataifa makubwa ,wakazitumia kuulipua mwezi
Je mapande yake yataangukia huku duniani ?
Au ikatokea umelipuka wote , mabaki yatabaki huko angani yakielea?
Nawasilisha.
View attachment 3262502
Anga halina juu wala chini.Nimekaa nikawaza hapa , hizi kombora za nyuklia wanazomiliki mataifa makubwa ,wakazitumia kuulipua mwezi
Je mapande yake yataangukia huku duniani ?
Au ikatokea umelipuka wote , mabaki yatabaki huko angani yakielea?
Nawasilisha.
View attachment 3262502
Vipande vya mwezi vitaizunguka dunia kama satellite ila havitaanguka duniani na hata vikijaribu kupenya duniani vitaungua kwasababu ya friction.Nimekaa nikawaza hapa , hizi kombora za nyuklia wanazomiliki mataifa makubwa ,wakazitumia kuulipua mwezi
Je mapande yake yataangukia huku duniani ?
Au ikatokea umelipuka wote , mabaki yatabaki huko angani yakielea?
Nawasilisha.
View attachment 3262502
Kabisa ... nimekaa nimewaza hapa ndio nikaleta hii mada humuCuriosity kama yako ndio imeleta gunduzi nyingi, ila wabongo wanajifanya wanaakili sana hapa wanakwambia uache bangi.
Hata waliowaza kua binadamu anaweza kupaa angani walionekana wamechanganyikiwa less than 5 years later ndege zikagunduliwa.
Wabongo ujuaji mwngi ila hamna kitu.
Zingatia madaNini wewe mwenyewe upo kwenu?au Kuna wengine wakutegemewa?
Hii imekaa kitaalamu zaidiMabaki ya vipande yatakayosalia yatalitafuta pande kubwa kisha yanaanza kulizunguka.
Zikiwa particles ndogo sana zitatawanyika tu.
Ni hisia zangu tu.
Ndio halafu taratibu itakosa balance na kuanza kuvutwa na gravity ya juaJua lisipozama automatically ni kwamba dunia imeshindwa kujizungusha kwenye mhimili.wake
Kwani jobless hawana akili mkuuUmewaza vyema sema wanaokujibu wote ni jobless kasoro baadhi yao
Hawana akili,Wana stress π¬Kwani jobless hawana akili mkuu