miviga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2024
- 1,721
- 6,037
Curiosity kama yako ndio imeleta gunduzi nyingi, ila wabongo wanajifanya wanaakili sana hapa wanakwambia uache bangi.
Hata waliowaza kua binadamu anaweza kupaa angani walionekana wamechanganyikiwa less than 5 years later ndege zikagunduliwa.
Wabongo ujuaji mwngi ila hamna kitu.
Hata waliowaza kua binadamu anaweza kupaa angani walionekana wamechanganyikiwa less than 5 years later ndege zikagunduliwa.
Wabongo ujuaji mwngi ila hamna kitu.