Hivi huu utititili wa makanisa una faida Gani wakati maovu ndo yanazidi kuwa mengi?

Hivi huu utititili wa makanisa una faida Gani wakati maovu ndo yanazidi kuwa mengi?

Mi nilikili wingi wa makanisa uendane na kubadilisha tabia za waamini wao. Hebu fikiri hapa dar wizi, udokozi, ujambazi unaongeza daily na watu wanashinda makanisani, au kanisa ni fashion tu. I'm sure hata padre, askofu mchungaji akiipata fursa ya kuiba lazima aitumie kama ilivyokuwa kipindi Cha ascrow akina kilaini na euzebius.

Kwa Nini zanzibar hamna wizi kabisa au tuamini ukristo siyo dini ya mungu? Zanzibar ukidondosha hata wallet Ina pesa mtu anaokota anakurudishia au anatangaza radioni.

Nenda kule Arusha na moshi ambao ndo waasisi wa ukristo au ukristo ndo mwingi unaweza kuchinjwa mchana kweupe hasa wakikuona una hela mfukoni
Lazima makanisa yafunguliwe mengi mpaka siku utakapoona umuhimu uokoke na kumwani yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yakoo
 
Mbona misiki hata hapa dar ipo kila mahali na ndio waalim wenu ww madrasa huzitumia kulawiti watoto?. Zanzibar kila Kona Kuna misikiti ila mashoga wapo kila Kona kwahiyo hiyo misikiti inahamasisha ushoga?.
 
Maandalizi ya ujio wa Kristo kwa mujibu wa maandiko
Mi nilikili wingi wa makanisa uendane na kubadilisha tabia za waamini wao. Hebu fikiri hapa dar wizi, udokozi, ujambazi unaongeza daily na watu wanashinda makanisani, au kanisa ni fashion tu. I'm sure hata padre, askofu mchungaji akiipata fursa ya kuiba lazima aitumie kama ilivyokuwa kipindi Cha ascrow akina kilaini na euzebius.

Kwa Nini zanzibar hamna wizi kabisa au tuamini ukristo siyo dini ya mungu? Zanzibar ukidondosha hata wallet Ina pesa mtu anaokota anakurudishia au anatangaza radioni.

Nenda kule Arusha na moshi ambao ndo waasisi wa ukristo au ukristo ndo mwingi unaweza kuchinjwa mchana kweupe hasa wakikuona una hela mfukoni
 
Mi nilikili wingi wa makanisa uendane na kubadilisha tabia za waamini wao. Hebu fikiri hapa dar wizi, udokozi, ujambazi unaongeza daily na watu wanashinda makanisani, au kanisa ni fashion tu. I'm sure hata padre, askofu mchungaji akiipata fursa ya kuiba lazima aitumie kama ilivyokuwa kipindi Cha ascrow akina kilaini na euzebius.

Kwa Nini zanzibar hamna wizi kabisa au tuamini ukristo siyo dini ya mungu? Zanzibar ukidondosha hata wallet Ina pesa mtu anaokota anakurudishia au anatangaza radioni.

Nenda kule Arusha na moshi ambao ndo waasisi wa ukristo au ukristo ndo mwingi unaweza kuchinjwa mchana kweupe hasa wakikuona una hela mfukoni
Kumbe arusha ni waasisi wa ukristo?

Nenda
Mi nilikili wingi wa makanisa uendane na kubadilisha tabia za waamini wao. Hebu fikiri hapa dar wizi, udokozi, ujambazi unaongeza daily na watu wanashinda makanisani, au kanisa ni fashion tu. I'm sure hata padre, askofu mchungaji akiipata fursa ya kuiba lazima aitumie kama ilivyokuwa kipindi Cha ascrow akina kilaini na euzebius.

Kwa Nini zanzibar hamna wizi kabisa au tuamini ukristo siyo dini ya mungu? Zanzibar ukidondosha hata wallet Ina pesa mtu anaokota anakurudishia au anatangaza radioni.

Nenda kule Arusha na moshi ambao ndo waasisi wa ukristo au ukristo ndo mwingi unaweza kuchinjwa mchana kweupe hasa wakikuona una hela mfukoni
Huko znz hakuna wizi Kuna ushoga, kavae kobazi ukawasalimie
 
Mzee mbona madanguro, Maclub, vilabu vya pombe, guest houses, hotels, mabar, betting companies pia na misikiti nayo inaongezeka.
Alafu Zanzibar gani? Mbona Pwani kuna misikiti Mingi na wizi upo? Mbona Zanzibar huko ndio kunaongoza kwa ufiraji na ushoga?

Kwanini kila siku Kanisa tu? Tupumzisheni, tujadili hata issue za Bandari au lah, tuongelee uteuzi wa Maharage aliyeshindwa TANESCO akapelekwa TTCL.

Unasema Zanzibar kunaongoza kwa ufiraji , hivi ulifika Zanzibar ukafirwa ??
 
Makanisa kama yanahubiri mema, hayaibii watu kwa kuuza mafuta na sabuni, yanahubiri wokovu, ni jambo jema yawe mengi kila mahali. ila kama yanaibia watu namna hiyo, siyaungi mkono.

unasema zanzibar hakuna wizi..., usifikiri wanaogopa kuiba, no, wanaogopa kulogwa au kusomewa albadili.
Libya 99% ni waislamu lakini walichinjana kama kuku.
Sudani pale waislamu kwa 99% lakini wanauana kwa uroho wa madaraka
 
Wakati wa Yesu kulikuwa na akina Yuda, wazinzi, na waovu wengine. Sasa leo Yesu alishaondoka zake unategemea dunia yenye utakatifu?
Mbona mpaka akhera kuna uzinzi wala ushangai ndugu? Hapa Allah anakupa mabikra 72, wewe kazi yako ni kufanya ngono na wanawake mabikra.

Quran 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.
 
Makanisa kama yanahubiri mema, hayaibii watu kwa kuuza mafuta na sabuni, yanahubiri wokovu, ni jambo jema yawe mengi kila mahali. ila kama yanaibia watu namna hiyo, siyaungi mkono.

unasema zanzibar hakuna wizi..., usifikiri wanaogopa kuiba, no, wanaogopa kulogwa au kusomewa albadili.
Uko sahihi.
 
Wakati wa Yesu kulikuwa na akina Yuda, wazinzi, na waovu wengine. Sasa leo Yesu alishaondoka zake unategemea dunia yenye utakatifu?
Mbona mpaka akhera kuna uzinzi wala ushangai ndugu? Hapa Allah anakupa mabikra 72, wewe kazi yako ni kufanya ngono na wanawake mabikra
Wanaume watapewa mabikra 72, wanawake watapewa wanaume wangapi? Kuna dini zingine ni za shetani kabisa. Umalaya mpaka akhera

Wote hao tunawapeleka vyuo vya upadri, au hujionei huko?
Quran 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.
 
Libya 99% ni waislamu lakini walichinjana kama kuku.
Labda ni mwehu tu asiyeelewa sababu na kwanini USA iliongoza majeshi ya NATO kumuondoa Libya kwa visingizio vya maagizo ya Umoja wa Mataifa. Jisomee wanavyofichua "siri wazi" zao wenyewe:

 
Hili andiko halina mashiko kabisa,kama unaona wizi mwingi hamia huko Zanzibar au hata ahera ambako ni salama zaidi,sio kutuletea blabla za makanisa,
 
Mi nilikili wingi wa makanisa uendane na kubadilisha tabia za waamini wao. Hebu fikiri hapa dar wizi, udokozi, ujambazi unaongeza daily na watu wanashinda makanisani, au kanisa ni fashion tu. I'm sure hata padre, askofu mchungaji akiipata fursa ya kuiba lazima aitumie kama ilivyokuwa kipindi Cha ascrow akina kilaini na euzebius.

Kwa Nini zanzibar hamna wizi kabisa au tuamini ukristo siyo dini ya mungu? Zanzibar ukidondosha hata wallet Ina pesa mtu anaokota anakurudishia au anatangaza radioni.

Nenda kule Arusha na moshi ambao ndo waasisi wa ukristo au ukristo ndo mwingi unaweza kuchinjwa mchana kweupe hasa wakikuona una hela mfukoni
Nani alikuambia makanisa ni kwa ajili ya kupunguza uovu. Wengi ni wajasiriamali.
 
Baba yako ndio alifika huko akafanyiwa hivyo.
Tulia mume wenu ana watafuta umejificha wapi? Yeremia 3:14 SRUV Rudini, enyi watoto wenye kuasi, asema BWANA; maana mimi ni mume wenu;
 
Back
Top Bottom