Hivi huu utititili wa makanisa una faida Gani wakati maovu ndo yanazidi kuwa mengi?

Hivi huu utititili wa makanisa una faida Gani wakati maovu ndo yanazidi kuwa mengi?

Labda ni mwehu tu asiyeelewa sababu na kwanini USA iliongoza majeshi ya NATO kumuondoa Libya kwa visingizio vya maagizo ya Umoja wa Mataifa. Jisomee wanavyofichua "siri wazi" zao wenyewe:

Wazungu wanajua uislamu ni dini ya ugaidi (Shetani) ndiyo maana hawatumii nguvu bali akili kiduchu sana.
NATO waliwatumia waislamu kuuana wenyewe kwa wenyewe maana ni dini ya maovu. Maana wakifa wataenda kupewa mabikira 72 akhera.
Sudani pale wanachinjana ovyo ovyo halafu kuna misikiti kama yote. Sijui wanahubiri amani au vita?
Marekani, bunduki zinazuzwa kama pipi na ukifikisha miaka 18 unaenda kununua bunduki ila huwezi kusikia kuna kikundi cha kigaidi au wanapigana wenyewe kugombea madaraka
 
Andiko lako Lina maana sana sema Sasa umegusa iman za watu hasa dini moja na kuacha dini nyingine ebu Sasa lifanye liwe kwa ujumla ili tujadili kwa upana wake. Na je Suala la uharifu, wizi ,ujambazi , uzinzi na mambo mengine yanawezwa kumalizwa na dini tu ?
 
Acha mapoyoyo yawe wengi ili kuwe na amani duniani dini ni kwa ajili ya watu wenye magonjwa ya akili ukiona unafata dini yoyote jua kuwa wewe una ugonjwa wa akili schizophrenia ukitaka kuamini kablan sijaanza toa uongo na makosa ya vitabu vya dini jifunze hili mtu anajifanya anampenda Mungu kwa nguvu zote ilihali jirani yake au ndugu yake au rafiki yake hampendi yaan Mungu hujawahi muona unampenda wakati jirani yako au ndugu yako au rafiki ako humpendi hii kimantiki ni uwongo
Watu wa dini wote mna matatizo ya akili ukisikia stori za vitabu vyao sijui kuna watu waliwahi kugeuka chumvi kuna wengine wamezaliwa bila ya baba wengine wanasubiri bikra peponi full uchizi 😂😂😂
 
Mashoger ni waislam au umemsahau afande.... Ushoger Zanzibar ni Kama kunywa maji.... Masheikh wanawalawati watoto hovyoo... Wapelekeni madrasa nyambafu.
Huyo si mlimharibu huko Moshi kwa ujinga wake.

Unaijuwa Vatukano na Kanisa katoliki linaendeshwa na mashoga 80% Ushahidi huu hapa:


Usifiche hayo maradhi kwa kuwa wewe ni mkristo tu, kemea huo ushenzi. Au na wewe ni wale wale?
 


Quran 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Qur'an 2:25. Na wabashirie walio amini na wakatenda mema kwamba watapata mabustani yapitayo mito kati yake; kila watapo pewa matunda humo, watasema: Haya ndiyo kama tuliyo pewa mbele. Na wataletewa matunda yaliyo fanana; na humo watakuwa na wake walio takasika; na wao humo watadumu.

Tatizo lako nini hapo, au unaona wivu?
 
K
Mi nilikili wingi wa makanisa uendane na kubadilisha tabia za waamini wao. Hebu fikiri hapa dar wizi, udokozi, ujambazi unaongeza daily na watu wanashinda makanisani, au kanisa ni fashion tu. I'm sure hata padre, askofu mchungaji akiipata fursa ya kuiba lazima aitumie kama ilivyokuwa kipindi Cha ascrow akina kilaini na euzebius.

Kwa Nini zanzibar hamna wizi kabisa au tuamini ukristo siyo dini ya mungu? Zanzibar ukidondosha hata wallet Ina pesa mtu anaokota anakurudishia au anatangaza radioni.

Nenda kule Arusha na moshi ambao ndo waasisi wa ukristo au ukristo ndo mwingi unaweza kuchinjwa mchana kweupe hasa wakikuona una hela mfukoni
Kwanza nikusahihishe kidogo,
walioko Arusha na Moshi si waasisi wa ukristo. Ukristo na wakristo walianza kuitwa hivyo Antiokia zaidi ya miaka 2000 iliyopita, si Arusha na Moshi. Kabla ya hapo waliomwamini Yesu waliitwa wanafunzi au wafuasi wa Yesu (Disciples of Jesus).

Aidha, kanisa si madhehebu yanayoanzishwa na wanadamu, bali ni kusanyiko la wale wote wanaomwamini Yesu duniani na kuzaliwa mara ya pili katika roho. Mwasisi na kichwa cha kanisa ni Yesu mwenyewe.

Wakristo wanaweza kuwa katika madhehebu mbalimbali lakini ni wamoja katika roho. Ila usidhani kila mkristo ni mwovu au kila ajiitaye mkristo ni mwema. Usiwahukumu wakristo wote kwa matendo maovu ya baadhi yao. Wapo wema wengi.

Na mwisho, Mchungaji mwema na kielelezo chetu ni Yesu, mfuate huyo. Usimfuate mtu awaye yeyote yule hata angekuwa na jina kubwa la kidini. Mwokozi wetu ni mmoja tu - Yesu Kristo!
 
Qur'an 2:25. Na wabashirie walio amini na wakatenda mema kwamba watapata mabustani yapitayo mito kati yake; kila watapo pewa matunda humo, watasema: Haya ndiyo kama tuliyo pewa mbele. Na wataletewa matunda yaliyo fanana; na humo watakuwa na wake walio takasika; na wao humo watadumu.

Tatizo lako nini hapo, au unaona wivu?
Nione wivu kufanya ngono na wanawake 72 akhera wakati mmoja tu ananitoa jasho.

Quran 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.
 
Wazungu wanajua uislamu ni dini ya ugaidi (Shetani) ndiyo maana hawatumii nguvu bali akili kiduchu sana.
NATO waliwatumia waislamu kuuana wenyewe kwa wenyewe maana ni dini ya maovu. Maana wakifa wataenda kupewa mabikira 72 akhera.
Sudani pale wanachinjana ovyo ovyo halafu kuna misikiti kama yote. Sijui wanahubiri amani au vita?
Marekani, bunduki zinazuzwa kama pipi na ukifikisha miaka 18 unaenda kununua bunduki ila huwezi kusikia kuna kikundi cha kigaidi au wanapigana wenyewe kugombea madaraka
Sasa wewe wazungu wanakuhusu nini?
Ni sawa na kupulizwa na shetani mkunduni mkiwa msikitini. Quran 12:4
Uongo haukusaidii kitu, soma:

Qur'an 12:4. Yusuf alipo mwambia baba yake: Ewe babaangu! Hakika mimi nimeota nyota kumi na moja, na jua, na mwezi. Nimeota zikinisujudia. 4
 
Mi nilikili wingi wa makanisa uendane na kubadilisha tabia za waamini wao. Hebu fikiri hapa dar wizi, udokozi, ujambazi unaongeza daily na watu wanashinda makanisani, au kanisa ni fashion tu. I'm sure hata padre, askofu mchungaji akiipata fursa ya kuiba lazima aitumie kama ilivyokuwa kipindi Cha ascrow akina kilaini na euzebius.

Kwa Nini zanzibar hamna wizi kabisa au tuamini ukristo siyo dini ya mungu? Zanzibar ukidondosha hata wallet Ina pesa mtu anaokota anakurudishia au anatangaza radioni.

Nenda kule Arusha na moshi ambao ndo waasisi wa ukristo au ukristo ndo mwingi unaweza kuchinjwa mchana kweupe hasa wakikuona una hela mfukoni
Duu hii akili ya kisoda ,unataka kutuaminisha kuwa watu wote wa dar ni wakristo? Kimsingi dar wavaa kubazi ni wengi kuliko wakristo
 
Wazungu wanajua uislamu ni dini ya ugaidi (Shetani) ndiyo maana hawatumii nguvu bali akili kiduchu sana.
NATO waliwatumia waislamu kuuana wenyewe kwa wenyewe maana ni dini ya maovu. Maana wakifa wataenda kupewa mabikira 72 akhera.
Sudani pale wanachinjana ovyo ovyo halafu kuna misikiti kama yote. Sijui wanahubiri amani au vita?
Marekani, bunduki zinazuzwa kama pipi na ukifikisha miaka 18 unaenda kununua bunduki ila huwezi kusikia kuna kikundi cha kigaidi au wanapigana wenyewe kugombea madaraka
Sasa wewe wazungu wanakuhusu nini?

Wewe hauishi na Waislam hapa Tanzania?
 
1672502141288.jpg
 
Kuna jamaa la kitaa linaonekana ni mtu wa dini sana anafuga Fuga midevu, Sasa katika harakati mke wake nikamwomba mbususu akanitunuku,Sasa kwenye mechi huyo mke wake akayo anaomba nipite mtaroni,kumdodosa anasema huyo ndugu ndiye kambikiri mtaro
 
Nilivyosoma neno utitili nikakumbuka jinsi shell au vituo vya mafuta vinavyoongezeka kujengwa mijini wakati mafuta yanapanda kila mwezi
 
Back
Top Bottom