Mungu niguse
JF-Expert Member
- Dec 19, 2024
- 272
- 729
- Thread starter
- #81
Katika lugha ya kifalsafa uzinzi na zinaa ni mambo mawili tofautiungetumia neno "anasa"
Uzinzi ni kufanya mambo ambayo hayana tija huitwa uzinzi mfano kuvuta masigara , kunywa mapombe n.k
Ila zinaa ni kushiriki ngono isiyotambulika na kiumbe chenye mwili wa nyama.