Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini ya fichwa?Kwanini hamuyaweki kwenye mfuko ukahifadhika!?, Mpka muyabebe mkononi wazi wazi. Kwani ukibeba kwenye mfuko hayawi matunda!??
Uunataka kusema Mwajuma ndala ndefu anataka treatment za Shamila slay queen?That's your level. Tulia na ishi humo humo. Otherwise, endeavour to up-grade. 😎
-Kaveli-
NAKAZIA HAPA.Trust me
Am in my mid 30
Nimejifunza ukiweza ku ignore mambo madogo madogo utakua na inner peace
Dada una kitu utafika mbaliUnapewa pesa unaona aibu
Mi siogopi hata akiitisha press
But seriously atleast he is trying
Mwingine hata ya kukupa ya sabuni ukafulie kile kifuniko hakupi
Kwenye matunda au kitu chochote mtu akikibeba hata ashikilie mkononi
Kwanini ukereke
Learn to ignore
Seriously utapata pressure na masononeko sana
Si nimemjibu. Mm ndo Bado sijapata majibu kwa wahusika au sijaeleweka shida sio umetoa sh. Ngapi , shida kwanini uitoe hadharani au kwanini Huwa mnatoa Hela za nauli hadharani!? Mnafanya hvyo kwanini.Unaweza kujibu maswali ya Hannah ??
Ku maintan naturally yakeKwanini hamuyaweki kwenye mfuko ukahifadhika!?, Mpka muyabebe mkononi wazi wazi. Kwani ukibeba kwenye mfuko hayawi matunda!??
Kwasababu sisi ni akina kasongoMnakuwa na hizi tabia za kunanga vitu na Hela kwanini!!?.
Ndio uyabebe kama bendera ya taifa mifuko hakunaDuuh!mpaka mwanaume anayenunua matunda na kuyabeba mpaka nyumbani naye anasimangwa!wanaume tunywe bia hawa wanawake sio wa kuendekeza
Huwa tukiwapa bado tumekaa sehemu tulivu hamkawii kujilesi na kudai haitoshi au kuanza kudai na ya umeme.Yaani utakuta mtu amekutoa out mtaongea weeee, sasa muda wa kuondoka anakusindikiza mpka stand ndo unakuta anatoa elfu Tano au elfu kumi anakupa mbele ya kadamnasi itakusaidia nauli.
Sasa majirani watajuaje anahudumia familia kwa upendo mazagazaga kibao. 😍Khaa!! Yaani koteeee huko hukuona fursa ya kutoa hiyo nauli mpka usubirie mbele za watu ndo uitoe, ukiitoa wakati tupo wenyewe ingekuwaj?
Wakati mwingine ni mazoea tu. Halafu kuwatoa out msidhani wanaume wana pesa saana. We pokea matunda kula, kipi bora? Alete matunda ya 1,000 mkononi au alete matunda ya 500 kwenye mfuko wa 500? Wanaume wanapenda kujiongeza japo unawaona washamba.Utakuta wengine anatembea umbali mrefu na matunda yake mkononi.
Huwa mnafanya hivyo kwanini!? Mimi nimeshindwa kuwaelewa kbsaaa. Hebu tuelewesheni.
Hii ya majirani watajuaje anahudumia nimeielewa 😃 kwahy kumbe Huwa mnataka kuonekana na kusifiwa mnajua kuhudumia.Huwa tukiwapa bado tumekaa sehemu tulivu hamkawii kujilesi na kudai haitoshi au kuanza kudai na ya umeme.
Sasa majirani watajuaje anahudumia familia kwa upendo mazagazaga kibao. 😍
Wakati mwingine ni mazoea tu. Halafu kuwatoa out msidhani wanaume wana pesa saana. We pokea matunda kula, kipi bora? Alete matunda ya 1,000 mkononi au alete matunda ya 500 kwenye mfuko wa 500? Wanaume wanapenda kujiongeza japo unawaona washamba.
Anyway inategemea na kiwango cha ustaarabu wako.