Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Nitulize 😉🤣🤣🤣 Tulia wewee 😉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitulize 😉🤣🤣🤣 Tulia wewee 😉
😉Nitulize 😉
Hujambo😉
Niko poa sana,kwani wewe hupendi hela rafiki?🥴Hujambo
Napenda zangu ambazo sina ila nyie mnapenda na za wengine, hakika mna upendo mkubwa sana 😂Niko poa sana,kwani wewe hupendi hela rafiki?🥴
Hapo mwisho umeamua kunisema mimi sio😂😂 yaani mimi ni wa kupewa push present ambayo haina kadi?😂😂😂Mshamba huyo 😂 wanaume hatunaga habari. Yeye aseme kama buku 5 ndogo aongezewe ganji. Sasa mtu kubeba matunda mpaka uyafiche kwani ni bangi ile. Kama nimeyanunua karibu na nyumbani nabeba hivyo hivyo kwenye nailoni.
Ndio maana gari mnapewaga bila kadi!
Eeh kadi ya nini🤣 utapewa kwenye 50th annivesaryHapo mwisho umeamua kunisema mimi sio😂😂 yaani mimi ni wa kupewa push present ambayo haina kadi?😂😂😂
Mim nikimaliza kushenyenta demu geto, Kwa kawaida huwa naweka pesa chini ya kiboksi cha earbuds ambacho kipo kwenye showcase. Tukimaliza tu Namwambia funua hapo, anachukua kilichopo anasepa mwenyewe, Wala hawajawahi kusema mbona unanipa hii? Mpaka leo najiuliza kile kiboksi kina uchawi gani😀Yaani utakuta mtu amekutoa out mtaongea weeee, sasa muda wa kuondoka anakusindikiza mpka stand ndo unakuta anatoa elfu Tano au elfu kumi anakupa mbele ya kadamnasi itakusaidia nauli.
Khaa!! Yaani koteeee huko hukuona fursa ya kutoa hiyo nauli mpka usubirie mbele za watu ndo uitoe, ukiitoa wakati tupo wenyewe ingekuwaj?
Au mume anakuja nyumbani kabebelea matunda kwenye vifuko vile vyeupe, au kashikilia mkononi, kwani mifuko hakuna huko ulipotoka!? Mpka uje unavinanga barabarani?
Utakuta wengine anatembea umbali mrefu na matunda yake mkononi.
Huwa mnafanya hivyo kwanini!? Mimi nimeshindwa kuwaelewa kbsaaa. Hebu tuelewesheni.
Pole sanaYaani utakuta mtu amekutoa out mtaongea weeee, sasa muda wa kuondoka anakusindikiza mpka stand ndo unakuta anatoa elfu Tano au elfu kumi anakupa mbele ya kadamnasi itakusaidia nauli.
Khaa!! Yaani koteeee huko hukuona fursa ya kutoa hiyo nauli mpka usubirie mbele za watu ndo uitoe, ukiitoa wakati tupo wenyewe ingekuwaj?
Au mume anakuja nyumbani kabebelea matunda kwenye vifuko vile vyeupe, au kashikilia mkononi, kwani mifuko hakuna huko ulipotoka!? Mpka uje unavinanga barabarani?
Utakuta wengine anatembea umbali mrefu na matunda yake mkononi.
Huwa mnafanya hivyo kwanini!? Mimi nimeshindwa kuwaelewa kbsaaa. Hebu tuelewesheni.
Ni huzuni[emoji854]
Wewe kaka mzuri mzuri, ukitulia naomba nicheki.Nitulize [emoji6]
Sawa dada muzuriWewe kaka mzuri mzuri, ukitulia naomba nicheki.