Hivi huwa mnamaanisha nini kwa tabia hii enyi wanaume na wavulana?

Hivi huwa mnamaanisha nini kwa tabia hii enyi wanaume na wavulana?

Huwa tunafanya hesabu muda wote tutoe sh. Ngapi
Je haita athiri ratiba zilizobakia
Je nikimpa mapema si ataacha kuweka umakin kwemye story zetu na kuanza kuwaza kiasi nilicho mpa
Je nikimpa mapema si anaweza kusema hii ndogo niongezee nna shida hii na hii
Kumkomoa unampa mwishon kwenye kituo cha gari au boda, huwez kukumbana na utitiri wa maswali au lawama.
Ahaa sawa
 
Wanaofanya hivyo ni watoto sio wanaume kama sisi.
Mimi sikupindi ila nimeelezea tu jinsi unavyojali maadili ambayo mtu anatakiwa awe amefundishwa jinsi ya kubehave sehemu yoyote hio.
Sasa wewe ndio unatakiwa utumie akili kwenye kuchagua sio kila mwanaume anayekuja tu unakubali mwisho wake unakutana na vichaa. Kwanza why akupe elfu 5 siku ya date mbona ndogo sana au bado upo chuo?
Mm nimezungumzia kwa niyaonayo katika jamii na watu walionizunguka , haimaanishi inanilenga Mimi Moja kwa moja
 
Yaani utakuta mtu amekutoa out mtaongea weeee, sasa muda wa kuondoka anakusindikiza mpka stand ndo unakuta anatoa elfu Tano au elfu kumi anakupa mbele ya kadamnasi itakusaidia nauli.

Khaa!! Yaani koteeee huko hukuona fursa ya kutoa hiyo nauli mpka usubirie mbele za watu ndo uitoe, ukiitoa wakati tupo wenyewe ingekuwaj?

Au mume anakuja nyumbani kabebelea matunda kwenye vifuko vile vyeupe, au kashikilia mkononi, kwani mifuko hakuna huko ulipotoka!?, Mpka uje unavinanga barabarani
Attach files
?

Utakuta wengine anatembea umbali mrefu na matunda yake mkononi.

Huwa mnafanya hivyo kwanini!? Mimi nimeshindwa kuwaelewa kbsaaa. Hebu tuelewesheni.
Shida kubwa
kwa wanawake ndio iko hapa, shukuru hata umepewa hiyo, wanawake wengi mmewageuza wanaume kama chuma ulete, kwani ni lazima mpewe hela. Starehe ya wte why u demand fedha? Tena kwa malalamiko as if ni wajibu wa boy kukupatia, kwahiyo mapenzi mmegeuza biashara, ukiambiwa i love u, unataka ugharamikiwe kila kitu, why, si ujitegemee mwenyewe. Nikikuoa hapo sawa maana nimeyakubali majukumu, wanaume shtukeni acheni kujitia majukum ya kijinga, msiwape hela , maana hata mkiwapa wanalalamika kwann tumewapa stend, KATAA KUWAPA WANAWAKE HELA,
 
Yaani utakuta mtu amekutoa out mtaongea weeee, sasa muda wa kuondoka anakusindikiza mpka stand ndo unakuta anatoa elfu Tano au elfu kumi anakupa mbele ya kadamnasi itakusaidia nauli.

Khaa!! Yaani koteeee huko hukuona fursa ya kutoa hiyo nauli mpka usubirie mbele za watu ndo uitoe, ukiitoa wakati tupo wenyewe ingekuwaj?

Au mume anakuja nyumbani kabebelea matunda kwenye vifuko vile vyeupe, au kashikilia mkononi, kwani mifuko hakuna huko ulipotoka!?, Mpka uje unavinanga barabarani?

Utakuta wengine anatembea umbali mrefu na matunda yake mkononi.

Huwa mnafanya hivyo kwanini!? Mimi nimeshindwa kuwaelewa kbsaaa. Hebu tuelewesheni.
Pole kwanza tatizo lako kubwa una expectation kubwa mno, mawili humpend au hakupendi bado mnasomana
Pili kama ni mara yake ya kwanza kausha, else utaonekana materialistic sana

Or umekutana na mvulana
 
Screenshot_20241201-171323_1.jpg
 
Yaani utakuta mtu amekutoa out mtaongea weeee, sasa muda wa kuondoka anakusindikiza mpka stand ndo unakuta anatoa elfu Tano au elfu kumi anakupa mbele ya kadamnasi itakusaidia nauli.

Khaa!! Yaani koteeee huko hukuona fursa ya kutoa hiyo nauli mpka usubirie mbele za watu ndo uitoe, ukiitoa wakati tupo wenyewe ingekuwaj?

Au mume anakuja nyumbani kabebelea matunda kwenye vifuko vile vyeupe, au kashikilia mkononi, kwani mifuko hakuna huko ulipotoka!? Mpka uje unavinanga barabarani?

Utakuta wengine anatembea umbali mrefu na matunda yake mkononi.

Huwa mnafanya hivyo kwanini!? Mimi nimeshindwa kuwaelewa kbsaaa. Hebu tuelewesheni.
Nyie ndo wale mnaochagua wanaume mwanaume anayejitoa Kwa lolote lile sidhan kama ni aibu Bali ni kujal Sasa wewe ulitaka akupe hela ya nauli wap au sh ngap au Kwa sababu ni elf 5? Mtu akubebe matunda Toka huko alikotoka Kwa ajil yako halaf ww ndo uone aibu khaaaa unajiweka kwenye uclassic gan dada
 
Nyie ndo wale mnaochagua wanaume mwanaume anayejitoa Kwa lolote lile sidhan kama ni aibu Bali ni kujal Sasa wewe ulitaka akupe hela ya nauli wap au sh ngap au Kwa sababu ni elf 5? Mtu akubebe matunda Toka huko alikotoka Kwa ajil yako halaf ww ndo uone aibu khaaaa unajiweka kwenye uclassic gan dada
Kwani akiyaweka hayo matunda kwenye mfuko anapungukiwa nini!?. Kwahy Kila akipita Kila mtu eehee, Leo ameleta ndizi, enhee yule dada kapewa kiasi flani , kama sio kunangana ni nini!?.
 
Back
Top Bottom