Hivi huwa mnamaanisha nini kwa tabia hii enyi wanaume na wavulana?

Hivi huwa mnamaanisha nini kwa tabia hii enyi wanaume na wavulana?

Yaani utakuta mtu amekutoa out mtaongea weeee, sasa muda wa kuondoka anakusindikiza mpka stand ndo unakuta anatoa elfu Tano au elfu kumi anakupa mbele ya kadamnasi itakusaidia nauli.

Khaa!! Yaani koteeee huko hukuona fursa ya kutoa hiyo nauli mpka usubirie mbele za watu ndo uitoe, ukiitoa wakati tupo wenyewe ingekuwaj?

Au mume anakuja nyumbani kabebelea matunda kwenye vifuko vile vyeupe, au kashikilia mkononi, kwani mifuko hakuna huko ulipotoka!?, Mpka uje unavinanga barabarani?

Utakuta wengine anatembea umbali mrefu na matunda yake mkononi.

Huwa mnafanya hivyo kwanini!? Mimi nimeshindwa kuwaelewa kbsaaa. Hebu tuelewesheni.
Hela anaitoa mbele ya kadamnasi ili kuufahamisha umma kuwa wewe ni wake na kwamba mtu awaye yeyote asidiriki kukufuta.
Mbona mimi huwa ninatoka na demu wangu halafu nikifika mbele ya kadamnasi humpiga denda wakati nyumbani huwa asimpigi denda.
Wenzetu wazungu wanawatoa out wapenzi wao na kuwapiga kwa fimboyaukwaju mbele ya kadamnasi ile kila mtu ajue mmiliki wa demu husika.
 
Unapewa pesa unaona aibu

Mi siogopi hata akiitisha press
But seriously atleast he is trying
Mwingine hata ya kukupa ya sabuni ukafulie kile kifuniko hakupi

Kwenye matunda au kitu chochote mtu akikibeba hata ashikilie mkononi
Kwanini ukereke

Learn to ignore
Seriously utapata pressure na masononeko sana
Unaakili sana we dada..
 
ni ulimbukeni tu wa baadhi ya wanaume wenzangu, mi wangu huwa nampa tukiwa wenyewe, hili la kumpa mpenzi/mke kitu mbele ya kadamnasi ni aina flan ya udhalilishaji pia.
 
Yaani utakuta mtu amekutoa out mtaongea weeee, sasa muda wa kuondoka anakusindikiza mpka stand ndo unakuta anatoa elfu Tano au elfu kumi anakupa mbele ya kadamnasi itakusaidia nauli.

Khaa!! Yaani koteeee huko hukuona fursa ya kutoa hiyo nauli mpka usubirie mbele za watu ndo uitoe, ukiitoa wakati tupo wenyewe ingekuwaj?

Au mume anakuja nyumbani kabebelea matunda kwenye vifuko vile vyeupe, au kashikilia mkononi, kwani mifuko hakuna huko ulipotoka!?, Mpka uje unavinanga barabarani?

Utakuta wengine anatembea umbali mrefu na matunda yake mkononi.

Huwa mnafanya hivyo kwanini!? Mimi nimeshindwa kuwaelewa kbsaaa. Hebu tuelewesheni.
Tafuta pesa zako uache makasiriko
 
😂😂😂😂
Angekupa 100k au 1M ungetaka akupe kwa kuficha ficha?

Angekununulia gari je? Usingetaka alilete na mapulizo juu watu waone? Ungetaka asubiri
Watu walale ndio alilete?

Haya Extrovert mna swali lenu huku.
Mshamba huyo 😂 wanaume hatunaga habari. Yeye aseme kama buku 5 ndogo aongezewe ganji. Sasa mtu kubeba matunda mpaka uyafiche kwani ni bangi ile. Kama nimeyanunua karibu na nyumbani nabeba hivyo hivyo kwenye nailoni.

Ndio maana gari mnapewaga bila kadi!
 
Yaani utakuta mtu amekutoa out mtaongea weeee, sasa muda wa kuondoka anakusindikiza mpka stand ndo unakuta anatoa elfu Tano au elfu kumi anakupa mbele ya kadamnasi itakusaidia nauli.

Khaa!! Yaani koteeee huko hukuona fursa ya kutoa hiyo nauli mpka usubirie mbele za watu ndo uitoe, ukiitoa wakati tupo wenyewe ingekuwaj?

Au mume anakuja nyumbani kabebelea matunda kwenye vifuko vile vyeupe, au kashikilia mkononi, kwani mifuko hakuna huko ulipotoka!?, Mpka uje unavinanga barabarani?

Utakuta wengine anatembea umbali mrefu na matunda yake mkononi.

Huwa mnafanya hivyo kwanini!? Mimi nimeshindwa kuwaelewa kbsaaa. Hebu tuelewesheni.

Kweli ni ushamba flani hivi.
 
Shida sio kutoa elfu Tano kwamba ndogo , kwanini hata kamaa ni milioni haumpi mkiwa wenyewe mpka ukamnange mtu barabarani!?.
Hahahahah uamuzi tu, mwengine atakupa ndani ya gari kabla ya kushuka akishakufikisha stand. Wengine atakuminyia mkononi hata hutaona.
Shida inakuwa ni wewe kujistukia tu
 
Mbona kawaida tu kupeana fedha hadharani au unaogopa kukabwa na vibaka wakiona unakabidhiwa mwekundu?😅
 
Yaani utakuta mtu amekutoa out mtaongea weeee, sasa muda wa kuondoka anakusindikiza mpka stand ndo unakuta anatoa elfu Tano au elfu kumi anakupa mbele ya kadamnasi itakusaidia nauli.

Khaa!! Yaani koteeee huko hukuona fursa ya kutoa hiyo nauli mpka usubirie mbele za watu ndo uitoe, ukiitoa wakati tupo wenyewe ingekuwaj?

Au mume anakuja nyumbani kabebelea matunda kwenye vifuko vile vyeupe, au kashikilia mkononi, kwani mifuko hakuna huko ulipotoka!?, Mpka uje unavinanga barabarani?

Utakuta wengine anatembea umbali mrefu na matunda yake mkononi.

Huwa mnafanya hivyo kwanini!? Mimi nimeshindwa kuwaelewa kbsaaa. Hebu tuelewesheni.
Huwa unawatoa wapi wanaume wa hivyo wewe?
 
Unapewa pesa unaona aibu

Mi siogopi hata akiitisha press
But seriously atleast he is trying
Mwingine hata ya kukupa ya sabuni ukafulie kile kifuniko hakupi

Kwenye matunda au kitu chochote mtu akikibeba hata ashikilie mkononi
Kwanini ukereke

Learn to ignore
Seriously utapata pressure na masononeko sana
Bora wewe una moyo wa shukurani😂 mtu kama mtoa mada akawilii kusema mbona umenipa efu tano? Niongezee ni ndogo sana.
Ukipata mtu ana moyo hata wa kukupa hio nauli ni jambo la kushukuru.
 
Si nimemjibu. Mm ndo Bado sijapata majibu kwa wahusika au sijaeleweka shida sio umetoa sh. Ngapi , shida kwanini uitoe hadharani au kwanini Huwa mnatoa Hela za nauli hadharani!? Mnafanya hvyo kwanini.

Mfano: uliuliza " hivi kwanini dada zetu mnabandika kucha ndefu sanaa" . Jibu utapewa ni urembo.

Sasa kwanini mnazitoa hizo Hela na kubebelea matunda hadharani!?.
Ndio ipo hivyo kama hutaki unaacha tu. Mbona za mpesa unahesabiaga hadharani🤣 na hulalamiki?
 
Back
Top Bottom