Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hata nauli ya daladala na bodaboda awe anawawekea madereva na makondakta kwenye bahasha rasmi.Anataka awekewe kwenye bahasha kama fungu la kumi😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata nauli ya daladala na bodaboda awe anawawekea madereva na makondakta kwenye bahasha rasmi.Anataka awekewe kwenye bahasha kama fungu la kumi😁
Hahahahah unaimarisha utawalaHela anaitoa mbele ya kadamnasi ili kuufahamisha umma kuwa wewe ni wake na kwamba mtu awaye yeyote asidiriki kukufuta.
Mbona mimi huwa ninatoka na demu wangu halafu nikifika mbele ya kadamnasi humpiga denda wakati nyumbani huwa asimpigi denda.
Wenzetu wazungu wanawatoa out wapenzi wao na kuwapiga kwa fimboyaukwaju mbele ya kadamnasi ile kila mtu ajue mmiliki wa demu husika.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Fala huyo demuHata nauli ya daladala na bodaboda awe anawawekea madereva na makondakta kwenye bahasha rasmi.
Ndo maana yake.Hahahahah unaimarisha utawala
Siyo visirani huyo Dada anaoneka ni mtu mwenyeaibu sana akifanya jambo anahisi watu watamuonaje huu ugonjwa upo kwa Watanzania wengi, hii tabia inasababishwa na Ujamaa, Wazangu wao hawana aibu kabisa yani unaeza ukatembea na Mzungu mfano ukaenda nae Kununua bidhaa sehemu na ukavaa kawada sana chini ukavaa ndala na akushangai na asemi unamtia aibu.Wadada na visirani visivyo na msingi
Mi huwa nakufinyia sikupi kama posho ya mbeba zegeHata kama ndo mtunange nazo!?.
Wala haihusiani na aibu, kwani ukikpa mtu pesa mkiwa wenyewe haifiki mpka ukampe mbele za watu!?.Siyo visirani huyo Dada anaoneka ni mtu mwenyeaibu sana akifanya jambo anahisi watu watamuonaje huu ugonjwa upo kwa Watanzania wengi, hii tabia inasababishwa na Ujamaa, Wazangu wao hawana aibu kabisa yani unaeza ukatembea na Mzungu mfano ukaenda nae Kununua bidhaa sehemu na ukavaa kawada sana chini ukavaa ndala na akushangai na asemi unamtia aibu.
Waume zako wabaya sanaYaani utakuta mtu amekutoa out mtaongea weeee, sasa muda wa kuondoka anakusindikiza mpka stand ndo unakuta anatoa elfu Tano au elfu kumi anakupa mbele ya kadamnasi itakusaidia nauli.
Khaa!! Yaani koteeee huko hukuona fursa ya kutoa hiyo nauli mpka usubirie mbele za watu ndo uitoe, ukiitoa wakati tupo wenyewe ingekuwaj?
Au mume anakuja nyumbani kabebelea matunda kwenye vifuko vile vyeupe, au kashikilia mkononi, kwani mifuko hakuna huko ulipotoka!?, Mpka uje unavinanga barabarani?
Utakuta wengine anatembea umbali mrefu na matunda yake mkononi.
Huwa mnafanya hivyo kwanini!? Mimi nimeshindwa kuwaelewa kbsaaa. Hebu tuelewesheni.
Utaipata picha ukikomaa na misinamo ya kuninanga na Hela barabarani, ukinipa ndani hakuna noma itakufanyikia😂Imagine umeshafunga ndoa na mwanamke kama huyu tena ya kanisani kufa na kuzikana pata picha hayo masimango humo ndani ya nyumba. Kubabeki. Ukisikia kuyakanyaga ndio huku sasa
You nailed it!😂😂😂😂
Angekupa 100k au 1M ungetaka akupe kwa kuficha ficha?
Angekununulia gari je? Usingetaka alilete na mapulizo juu watu waone? Ungetaka asubiri
Watu walale ndio alilete?
Haya Extrovert mna swali lenu huku.
Wanaofanya hivyo ni watoto sio wanaume kama sisi.Utaipata picha ukikomaa na misinamo ya kuninanga na Hela barabarani, ukinipa ndani hakuna noma itakufanyikia😂
Kwani mmefunga ndoa,?Hii naiona hata kwa watu wakubwa zangu , mashemeji , ma baba n.k , ni tabia yenu mnayo