Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂Tunawashangaa wajinga nyie hamna hata passo
balaa😂Halafu vinguo vyao plus vile vikukuu miguuni, Usipokuwa makini unaweza kujikuta unavunja shingo bure Kwa kuangalia yaliyomo 🙌
Bora tumezeeka sasa 😜balaa😂
sawa mkuuuSawa mkuu sasa hivi takua nakupa lift hapo T.O.T
Tunawaringishia magari yetu😂😂Habari za jumapili wana jf,
naomba kuwauliza wenye magari yenu hivi mkiwa mnapita kwenye vituo mkakuta watu wamesimama huwa mnagueza shingo zenu kushangaa nini?
mnahisi kuna watu mnawajua?
mnaangalia kama kuna watu mnaweza kuwapa lift?
au mnatushangaaa kwanini hatuna magari? au tunaonekana mga kama vikatuni😂
mje mnijibu😂
yenyewe unakuta vi passo na starletTunawaringishia magari yetu😂😂
nipo mahi wangu 🥹mambo ni mingi kuliko mudaUlikuwa wapi we?
au we huna gari kama mimiHahahaha...nimecheka sana😂😂
Sina ndugu😂😂au we huna gari kama mimi
😅😅😅😅Habari za jumapili wana jf,
naomba kuwauliza wenye magari yenu hivi mkiwa mnapita kwenye vituo mkakuta watu wamesimama huwa mnagueza shingo zenu kushangaa nini?
mnahisi kuna watu mnawajua?
mnaangalia kama kuna watu mnaweza kuwapa lift?
au mnatushangaaa kwanini hatuna magari? au tunaonekana mga kama vikatuni😂
mje mnijibu😂
Ila ndio hatusimami kituoni.yenyewe unakuta vi passo na starlet
Wajibu wao kuendesha magari siyo kutazama walioko vituoniHabari za jumapili wana jf,
naomba kuwauliza wenye magari yenu hivi mkiwa mnapita kwenye vituo mkakuta watu wamesimama huwa mnagueza shingo zenu kushangaa nini?
mnahisi kuna watu mnawajua?
mnaangalia kama kuna watu mnaweza kuwapa lift?
au mnatushangaaa kwanini hatuna magari? au tunaonekana mga kama vikatuni😂
mje mnijibu😂
Hiyo mahi sasa🤣🙌nipo mahi wangu 🥹mambo ni mingi kuliko muda
Hili ndilo jibu sahihiwanakumbukia enzi na wao walivyokuwa wanasuburia gari ili wapake rangi
😂😂afu nishazoea lolHiyo mahi sasa🤣🙌