Hivi huwa mnasomaje ili kufaulu Mitihani?

Hivi huwa mnasomaje ili kufaulu Mitihani?

Kusoma hakuna formular..

Kuna wengine wakali wa kukariri na kuna wengine bila kuelewa tulikuwa hatutoboi..

Kwa hiyo Wewe jua ni jinsi gani akili yako inafanya kazi kwa ufanisi zaidi na jiwekee ratiba inyoendana nayo. Japo kujiumiza sometimes inaruhusiwa maana kama kufaulu kwa kawaida imeshindikana, unaforce kidogo

Pia sali kiasi maana jitihada hazizidi kudra lakini pia kuna wengine hawana tabia au vinasaba vya kufaulu maana ukoo mzima hakuna aliyewahi kufaulu. Kwa hiyo mlima huwa mkubwa kwao
 
Kusoma hakuna formular..

Kuna wengine wakali wa kukariri na kuna wengine bila kuelewa tulikuwa hatutoboi..

Kwa hiyo Wewe jua ni jinsi gani akili yako inafanya kazi kwa ufanisi zaidi na jiwekee ratiba inyoendana nayo. Japo kujiumiza sometimes inaruhusiwa maana kama kufaulu kwa kawaida imeshindikana, unaforce kidogo

Pia sali kiasi maana jitihada hazizidi kudra lakini pia kuna wengine hawana tabia au vinasaba vya kufaulu maana ukoo mzima hakuna aliyewahi kufaulu. Kwa hiyo mlima huwa mkubwa kwao
Asante kaka kwa ushauri mzuri
 
Kila mtu anayo namna ya usomaji ila namna zote ambazo watu walikua wanazitumia Mimi zilinishinda ila nilipodevelop tabia ya kukaa katika hali ya utulivu wa akili kwa maana ya meditation ndio nilianza kuona matokeo mazuri.

Kwahiyo soma kawaida iwe uko mwenyewe au na wengine kwa maana ya mijadala ila baada ya hapo hakikisha unapata muda mzuri wa kutafakari kile ulichokisoma kwa kujiuliza maswali kadha wa kadha like kwanini hiko ulichokisoma kipo namna hiyo na si namna nyingine na kadhalika.

Hapo utajikuta unapata namna tofauti tofauti ya kuyaelewa mambo na kwa namna hiyo huwa ni ngumu sana kuyasahau.
 
Back
Top Bottom